Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KHADJA NITO AFUNGUKIA MAPENZI

Musa Mateja
MREMBO anayesumbua katika Bongo Fleva na singo yake ya  Maumivu, Khadija Maige ‘Khadja Nito’, juzikati alianika kuwa kama kuna kitu kinamvutia, basi ni kufanya mapenzi kila siku maana ndiyo starehe pekee anayoifurahia. MREMBO anayesumbua katika Bongo Fleva na singo yake ya  Maumivu, Khadija Maige ‘Khadja Nito’ Akizungumza na gazeti hili ofisini Bamaga Mwenge jijini Dar es Salaam,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KADJA NITO AFUNGUKIA UHUSIANO WAKE KIMAPENZI

Mtangazaji wa Kipindi cha Me & U with love, Shorvien Mohamed (kushoto) akifanya mahojiano na msanii Khadja Nito,  katika Studio za Global TV Online. Khadja akifafanua kwa upana moja ya swali aliloulizwa kwenye interview hiyo.. ... akifurahia jambo muda mfupi baada ya kuhitimisha mahojiano na Global TV…

 

10 years ago

GPL

KHADJA: NILIYEZAA NAYE, SITAKI HATA KUMSIKIA

LEO kupitia safu hii tunaye staa wa muziki wa kizazi kipya, Khadija Maige ‘Khadja’. Naye kama kawaida alibanwa na Mwandishi Wetu Shani Ramadhani kwa maswali 10 na bila hiyana alitoa ushirikiano katika kuyajibu.
Unajua aliulizwa nini na akajibu vipi? Ungana nami hapa chini. Staa wa muziki wa kizazi kipya, Khadija Maige ‘Khadja’. Ijumaa: Changamoto zipi unazozipata kupitia kazi yako ya muziki?
Khadja:...

 

10 years ago

Michuzi

Khadja Kopa, Bilal Mashauzi kuwasha moto USIKU WA KHANGA PARTY NOV 29

Na Andrew Chale
ASIA Idarous Khamsin na Safari  Carnival  wanakuletea usiku wa Khanga Party na Spice Modern Taarab watakaowasha moto wa burudani sambamba na gwiji wa mipasho nchini Khadija Kopa pamoja na Bilal Mashauzi,  Jumamosi ya usiku wa Novemba 29, ndan ya ukumbi wa Safari Carnival, Mikocheni B.
Kwa mujibu wa  mmoja wa wandaaji wa usiku huo, Asia Idarous Khamsin,  amesema tayari maandalizi yake yamekamilika na amewasihi wadau kujitokeza kwa wingi katika onesho hilo la aina yake  kwa...

 

10 years ago

GPL

KADJA NITO APIGWA KIBUTI

Musa mateja
STAA aliyetikisa kwenye Bongo Fleva na single ya Maumivu Niache, Khadija Maige ‘Kadja Nito’,  ameweka wazi kuwa yupo huru baada ya kuachika na aliyekuwa mpenzi wake, hivyo nafasi ya mwenza mpya inakaribishwa ila vigezo na masharti vitazingatiwa. Staa aliyetikisa kwenye Bongo Fleva na single ya Maumivu Niache, Khadija Maige ‘Kadja Nito’. Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni, Kadja...

 

10 years ago

GPL

KADJA NITO ATEMBELEA GLOBAL TV ONLINE

Msanii wa Bongo Fleva, Kadja Nito akiwa katika pozi kabla ya kufanya mahojiano na Global TV Online. Kadja Nito akiwasikiliza wanahabari wa Global Publishers (hawapi pichani) wakati wa maswali. (PICHA: GLOBAL TV…

 

10 years ago

Bongo Movies

Huu Ndiyo Mtazamo wa Shamsa Juu ya ‘Mapenzi ni Kupetipeti au Mapenzi ni Pesa’

Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford amabaye hivi sasa anatoka na Staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego baada ya kuachana na mumeo, ameweka wazi kuwa kwenye mapenzi yeye anahitaji kupetipetiwa na pesa pia vinginevyo atakusaliti.

Akiwa anaipa promo nyimbo mpya ‘Mapenzi au Pesa’ ya Nay wa Mitego na Diamond Platinum itakayotoka hivi karibuni,  Shamsa amefunguka hayo na kuwataka mashabiki wake watoe mitazamo yao ikiwa

“Eti mapenzi ni kupetipeti au mapenzi ni pesa..?? Kwa upande wangu vyote...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wimbo mpya: Kadja Nito — Sina Maringo

KadjaVover

Msanii wa Bongo Fleva, Kadja Nito.

Sikiliza wimbo wake wenye mahadhi ya Zouk hapa chini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani