Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Masogange afungukia mimba ya Davido

Aggy3 Agness Jerald ‘Masogange’.

Na Imelda Mtema
Video queen maarufu Bongo, Agness Jerald ‘Masogange’ amefungukia taarifa zinazoendelea kuenea kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii pamoja na mitaani kwamba amedungwa mimba na mwanamuziki ‘chakaramu’ kutoka nchini Nigeria, David Adedeji Adeleke ‘Davido’.

Akizungumza na mwandishi wetu, Masogange anayesifika kwa kuwa na umbo matata, alikanusha vikali taarifa hizo na kuongeza kuwa anashangazwa sana na watu wanaoendelea kumzushia wakati hana uhusiano...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MASOGANGE AFUNGUKIA PENZI LA DAVIDO

VIDEO Queen mwenye umbo tata Bongo, Agness Jerald ‘Masogange’ alifungukia penzi lake na staa wa muziki kutoka Nigeria, Davido. Video Queen mwenye umbo tata Bongo, Agness Jerald ‘Masogange’ . Akizungumza na Amani Masogange alisema kuwa kuna uvumi unaovumishwa na baadhi ya watu kwamba amekuwa akitoka kimalovee na Davido jambo ambalo halina ukweli wowote. “Kwanza kabisa Davido ni shemeji...

 

9 years ago

GPL

MASOGANGE, DAVIDO PENZI...

Agness Gerald ‘Masogange’ na staa wa muziki nchini Nigeria ‘Naija’, David Adedeji Adeleke ‘Davido’ wakijiachia katika klabu moja ya usiku nchini Afrika Kusini. Mwandishi wetu PENZI ni kikohozi, kulificha huwezi! Habari ya mjini kwa sasa ni mahaba niue ya muuza nyago kwenye nyimbo za wanamuziki wa Bongo Fleva, Agness Gerald ‘Masogange’ na staa wa muziki nchini Nigeria...

 

9 years ago

GPL

DAVIDO AWAGOMBANISHA MASOGANGE, DIVA

Video Queen maarufu Bongo Agness Jerald ‘Masongange’. Na Imelda Mtema KITUKO! Mtangazaji wa kituo cha redio cha Clouds, Loveness Malinzi ‘Diva’ na Video Queen maarufu Bongo Agness Jerald ‘Masongange’ wamejikuta wakiingia katika ugomvi, kisa kikiwa ni msanii wa muziki wa Nigeria, Davido. Mtangazaji wa kituo cha redio cha Clouds, Loveness Malinzi ‘Diva’. Akizungumza na gazeti...

 

9 years ago

Bongo5

Agnes Masogange ana ujauzito wa Davido?

masogange4

Kama ni ‘kiki’ basi imefanikiwa, kwa sababu hadi mitandao ya Nigeria imeripoti kuwa kuna uwezekano Agnes Masogange akawa na ujauzito wa staa wa Naija, Davido.

masogange4

Agnes na Davido wameonekana kuwa karibu siku za hivi karibuni, baada ya kuwa wanapost picha tofauti tofauti wakiwa wanakula bata pamoja kama couple.

maso david

Mtandao wa Pulse wa Nigeria umeandika kuwa kuna uwezekano malkia huyo wa ‘shepu’ Bongo, Agnes akawa na ujauzito wa Davido baada ya kupost picha ya kipimo cha mimba kinachoonesha...

 

9 years ago

Global Publishers

Davido na Tekno wanachangia penzi la Masogange?

Aggy31Agnes Masogange.

RIPOTI zimesambaa kwamba wanamuziki nyota wawili wa Nigeria, Davido na Tekno, huenda wanachangia penzi la mrembo wa Kitanzania, Agnes Masogange.

Mwezi Novemba mwaka huu mwimbaji Davido ambaye alivuma na album ya Omo Baba Olowo (Mtoto wa Tajiri) alijirusha na wasichana kadhaa wakati wa bethidei yake na mmoja wao alikuwa Masogane na baadaye zikaenea habari kwamba alikuwa mjamzito akitegemewa kumzalia Davido mtoto wa pili, lakini habari hizo baadaye zikakanushwa.

image (5)…..Akiwa na...

 

11 years ago

GPL

WEMA AFUNGUKIA ISHU YA MIMBA!

Stori: Shakoor Jongo
Wema Sepetu ambaye anadaiwa ana kitumbo, ameamua kufungukia madai hayo kwamba ni kweli anahitaji mtoto lakini kwa sasa bado mimba haijaingia. Diva katika tasnia ya filamu Bongo Wema Sepetu. Wema alifungukia hilo kwenye ukurasa wake wa nstagram ambapo alisema, anatamani siku moja aitwe mama lakini taarifa zilizoenea kuwa amenasa si za kweli. Akizungumzia hilo mpenzi wake Nasibu Abdul...

 

9 years ago

Bongo5

Davido aikana ‘mimba’ ya Masogange, aeleza kwa urefu

12356375_1643542822563037_1171860322_n

Davido amelazimika kuandika maelezo marefu kwenye Twitter kukanusha kuwa ndiye aliyempa ujauzito Agnes Masogange (japo hatujathibitisha iwapo ni kweli mrembo huyo huyo ana mimba).

12356375_1643542822563037_1171860322_n

Staa huyo wa Nigeria amedai kuwa boyfriend wa Masogange amekuwa akimpigia simu kwa fujo kulalamikia tetesi hizo kuwa huenda akawa analea mimba isiyo yake.

“Sijali kuhusu kile blog zinaandika, ukweli au uongo lakini pindi mtu anaponipigia simu kila muda kutoka nchi nyingine akilia kuhusu mchumba wake kuona habari...

 

9 years ago

Bongo Movies

Lulu Afungukia Mimba Yake Iliyonzia Insta

HAPA NA PALE: Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewaponda baadhi ya watu ambao hupenda kuvumisha mambo hasa kupitia mtandao picha wa Instagram kuhusiana na habari zizilosambaa siku za nyuma kuwa staa huyo ana ujauzito huku picha hiyo hapo juu ikitumika kuonyesha mimba yenyewe.

“Mimba yangu hii ilianzia Insta ikaishia insta. Pale unapoamua kufanya project zako binafsi na viungo vyako.Mana watu wakufanya nao project wameisha...wote washafanya project na washafanywa...

 

10 years ago

GPL

WAZIRI NYALANDU AFUNGUKIA MIMBA YA AUNT EZEKIEL

Mwandishi Wetu Hatimaye Waziri wa Maliasili na Utalii ambaye ni Mbunge wa Singida Kaskazini kwa leseni ya CCM, Lazaro Samwel Nyalandu na mkewe Faraja Kotta wamejibu tetesi kuwa mheshimiwa alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwigizaji wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson. Waziri wa Maliasili na Utalii ambaye ni Mbunge wa Singida Kaskazini kwa leseni ya CCM, Lazaro Samwel Nyalandu akiwa na mkewe Faraja Kotta. Awali tetesi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani