MASOGANGE, DAVIDO PENZI...
![](http://api.ning.com:80/files/V1mL*dW2oZbv1qs3atvNb95H4ZrR409kK9dcnXIFd9Dl0FHsy4pxXD6RsieMMoeMIgyeERhQjvv3-QKpP-94FKMUbg8z8lWB/DAVIDOMASOGANGE1.jpg)
Agness Gerald ‘Masogange’ na staa wa muziki nchini Nigeria ‘Naija’, David Adedeji Adeleke ‘Davido’ wakijiachia katika klabu moja ya usiku nchini Afrika Kusini. Mwandishi wetu PENZI ni kikohozi, kulificha huwezi! Habari ya mjini kwa sasa ni mahaba niue ya muuza nyago kwenye nyimbo za wanamuziki wa Bongo Fleva, Agness Gerald ‘Masogange’ na staa wa muziki nchini Nigeria...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ccv79ba4KWAd2biNNxwTAVdf*g6*1ilswfXSoXs8KO6ndQ6A2pgkAX2uN1ia2*zJWiqc2O67N4ADefw*LZKh4W8r3w0MdK6b/maso.jpg?width=650)
MASOGANGE AFUNGUKIA PENZI LA DAVIDO
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Davido na Tekno wanachangia penzi la Masogange?
Agnes Masogange.
RIPOTI zimesambaa kwamba wanamuziki nyota wawili wa Nigeria, Davido na Tekno, huenda wanachangia penzi la mrembo wa Kitanzania, Agnes Masogange.
Mwezi Novemba mwaka huu mwimbaji Davido ambaye alivuma na album ya Omo Baba Olowo (Mtoto wa Tajiri) alijirusha na wasichana kadhaa wakati wa bethidei yake na mmoja wao alikuwa Masogane na baadaye zikaenea habari kwamba alikuwa mjamzito akitegemewa kumzalia Davido mtoto wa pili, lakini habari hizo baadaye zikakanushwa.
…..Akiwa na...
9 years ago
Global Publishers23 Dec
Masogange afungukia mimba ya Davido
Agness Jerald ‘Masogange’.
Na Imelda Mtema
Video queen maarufu Bongo, Agness Jerald ‘Masogange’ amefungukia taarifa zinazoendelea kuenea kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii pamoja na mitaani kwamba amedungwa mimba na mwanamuziki ‘chakaramu’ kutoka nchini Nigeria, David Adedeji Adeleke ‘Davido’.
Akizungumza na mwandishi wetu, Masogange anayesifika kwa kuwa na umbo matata, alikanusha vikali taarifa hizo na kuongeza kuwa anashangazwa sana na watu wanaoendelea kumzushia wakati hana uhusiano...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IDSxpu6BW22OWdpJtf6hIU-uQle*8AbAlNUx5DtpKDeVR2RX0qhlcaT3*llsMkxH0y7h6TD6GDsuf8citvbJKfGaH*gY-n9O/MASOGANGE5.jpg?width=650)
DAVIDO AWAGOMBANISHA MASOGANGE, DIVA
9 years ago
Bongo512 Dec
Agnes Masogange ana ujauzito wa Davido?
![masogange4](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/masogange4-300x194.jpg)
Kama ni ‘kiki’ basi imefanikiwa, kwa sababu hadi mitandao ya Nigeria imeripoti kuwa kuna uwezekano Agnes Masogange akawa na ujauzito wa staa wa Naija, Davido.
Agnes na Davido wameonekana kuwa karibu siku za hivi karibuni, baada ya kuwa wanapost picha tofauti tofauti wakiwa wanakula bata pamoja kama couple.
Mtandao wa Pulse wa Nigeria umeandika kuwa kuna uwezekano malkia huyo wa ‘shepu’ Bongo, Agnes akawa na ujauzito wa Davido baada ya kupost picha ya kipimo cha mimba kinachoonesha...
9 years ago
Bongo517 Dec
Davido aikana ‘mimba’ ya Masogange, aeleza kwa urefu
![12356375_1643542822563037_1171860322_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12356375_1643542822563037_1171860322_n-300x194.jpg)
Davido amelazimika kuandika maelezo marefu kwenye Twitter kukanusha kuwa ndiye aliyempa ujauzito Agnes Masogange (japo hatujathibitisha iwapo ni kweli mrembo huyo huyo ana mimba).
Staa huyo wa Nigeria amedai kuwa boyfriend wa Masogange amekuwa akimpigia simu kwa fujo kulalamikia tetesi hizo kuwa huenda akawa analea mimba isiyo yake.
“Sijali kuhusu kile blog zinaandika, ukweli au uongo lakini pindi mtu anaponipigia simu kila muda kutoka nchi nyingine akilia kuhusu mchumba wake kuona habari...
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Haya ndio majibu ya Davido kuhusu ujauzito wa mrembo Agness Masogange!
Wiki moja iliyopita, Mtanzania Agness Masogange alikuwa topic kubwa kwenye mitandao ya kijamii baada ya post yake kwenye Instagram kuzua mjadala mkubwa na kuibua uvumi mkubwa sana kati yake na Davido staa wa muziki kutoka Nigeria. Masogange alipost kipimo cha ujauzito kwenye page yake ya Instagram, post iliyoibua mjadala mkubwa Nigeria na Tanzania na kuacha […]
The post Haya ndio majibu ya Davido kuhusu ujauzito wa mrembo Agness Masogange! appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Bongo524 Oct
Agnes Masogange adai sababu iliyomfanya Tekno amkane ni ukaribu wake na Davido!
9 years ago
Bongo512 Nov
Davido Exposed: Tazama video 5 za Davido ambazo hakuwahi kuzitoa
![davido A](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/davido-A-300x194.jpg)
Mwezi uliopita kituo cha MTV Base kilimfanyia mahojiano staa wa Nigeria, Davido kwenye kipindi maalum kilichopewa jina la ‘Davido Exposed’, ambapo alitambulisha video 5 ambazo hakuwahi kuzitoa. Video hizo ni za nyimbo za kwenye album yake ya kwanza ‘O.B.O’.
Kama kipindi hicho kilikupita kupitia MTV Base hii ni nafasi yako nyingine ya kukitazama na kuziona video 5 za Davido ambazo hakuzitoa. Pia amezungumzia mambo mengine ikiwemo album yake mpya ambayo kwa sasa ameisogeza mpaka...