Davido na Tekno wanachangia penzi la Masogange?
Agnes Masogange.
RIPOTI zimesambaa kwamba wanamuziki nyota wawili wa Nigeria, Davido na Tekno, huenda wanachangia penzi la mrembo wa Kitanzania, Agnes Masogange.
Mwezi Novemba mwaka huu mwimbaji Davido ambaye alivuma na album ya Omo Baba Olowo (Mtoto wa Tajiri) alijirusha na wasichana kadhaa wakati wa bethidei yake na mmoja wao alikuwa Masogane na baadaye zikaenea habari kwamba alikuwa mjamzito akitegemewa kumzalia Davido mtoto wa pili, lakini habari hizo baadaye zikakanushwa.
…..Akiwa na...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V1mL*dW2oZbv1qs3atvNb95H4ZrR409kK9dcnXIFd9Dl0FHsy4pxXD6RsieMMoeMIgyeERhQjvv3-QKpP-94FKMUbg8z8lWB/DAVIDOMASOGANGE1.jpg)
MASOGANGE, DAVIDO PENZI...
9 years ago
Bongo524 Oct
Agnes Masogange adai sababu iliyomfanya Tekno amkane ni ukaribu wake na Davido!
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ccv79ba4KWAd2biNNxwTAVdf*g6*1ilswfXSoXs8KO6ndQ6A2pgkAX2uN1ia2*zJWiqc2O67N4ADefw*LZKh4W8r3w0MdK6b/maso.jpg?width=650)
MASOGANGE AFUNGUKIA PENZI LA DAVIDO
9 years ago
Bongo522 Oct
Msanii wa Nigeria, Tekno akanusha kuwahi ‘kutembea’ na Masogange
9 years ago
Bongo523 Oct
Tekno anajua kitu gani kilichomuuma ndio maana anajishtukia — Agnes Masogange ajibu
9 years ago
Global Publishers23 Dec
Masogange afungukia mimba ya Davido
Agness Jerald ‘Masogange’.
Na Imelda Mtema
Video queen maarufu Bongo, Agness Jerald ‘Masogange’ amefungukia taarifa zinazoendelea kuenea kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii pamoja na mitaani kwamba amedungwa mimba na mwanamuziki ‘chakaramu’ kutoka nchini Nigeria, David Adedeji Adeleke ‘Davido’.
Akizungumza na mwandishi wetu, Masogange anayesifika kwa kuwa na umbo matata, alikanusha vikali taarifa hizo na kuongeza kuwa anashangazwa sana na watu wanaoendelea kumzushia wakati hana uhusiano...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IDSxpu6BW22OWdpJtf6hIU-uQle*8AbAlNUx5DtpKDeVR2RX0qhlcaT3*llsMkxH0y7h6TD6GDsuf8citvbJKfGaH*gY-n9O/MASOGANGE5.jpg?width=650)
DAVIDO AWAGOMBANISHA MASOGANGE, DIVA
9 years ago
Bongo512 Dec
Agnes Masogange ana ujauzito wa Davido?
![masogange4](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/masogange4-300x194.jpg)
Kama ni ‘kiki’ basi imefanikiwa, kwa sababu hadi mitandao ya Nigeria imeripoti kuwa kuna uwezekano Agnes Masogange akawa na ujauzito wa staa wa Naija, Davido.
Agnes na Davido wameonekana kuwa karibu siku za hivi karibuni, baada ya kuwa wanapost picha tofauti tofauti wakiwa wanakula bata pamoja kama couple.
Mtandao wa Pulse wa Nigeria umeandika kuwa kuna uwezekano malkia huyo wa ‘shepu’ Bongo, Agnes akawa na ujauzito wa Davido baada ya kupost picha ya kipimo cha mimba kinachoonesha...
9 years ago
Bongo517 Dec
Davido aikana ‘mimba’ ya Masogange, aeleza kwa urefu
![12356375_1643542822563037_1171860322_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12356375_1643542822563037_1171860322_n-300x194.jpg)
Davido amelazimika kuandika maelezo marefu kwenye Twitter kukanusha kuwa ndiye aliyempa ujauzito Agnes Masogange (japo hatujathibitisha iwapo ni kweli mrembo huyo huyo ana mimba).
Staa huyo wa Nigeria amedai kuwa boyfriend wa Masogange amekuwa akimpigia simu kwa fujo kulalamikia tetesi hizo kuwa huenda akawa analea mimba isiyo yake.
“Sijali kuhusu kile blog zinaandika, ukweli au uongo lakini pindi mtu anaponipigia simu kila muda kutoka nchi nyingine akilia kuhusu mchumba wake kuona habari...