Tekno anajua kitu gani kilichomuuma ndio maana anajishtukia — Agnes Masogange ajibu
Video vixen wa Bongo, Agnes Masogange ameonesha kupingana na kauli ya msanii wa Nigeria, Tekno Miles ambaye amekanusha kuwahi kuwa na uhusiano naye. Drama ya Agnes mshepu na hit maker wa ‘Duro’ imeibuka baada ya Tekno kufanyiwa mahojiano na mtangazaji wa Clouds Fm, Diva kupitia kipindi cha ‘Ala Za Roho’, ambapo alikanusha kabisa kuwahi kuwa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo524 Oct
Agnes Masogange adai sababu iliyomfanya Tekno amkane ni ukaribu wake na Davido!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcq2rEH9LQl*XnohnyIFjGRgz8TGbJ1t0JaNwboGXGbOkyS0kCk6iU9B4IN5xNLnawA01RTh1kcAO9ro4-Co1oAh/MASOGANGE3.jpg?width=650)
9 years ago
Bongo512 Dec
Agnes Masogange ana ujauzito wa Davido?
![masogange4](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/masogange4-300x194.jpg)
Kama ni ‘kiki’ basi imefanikiwa, kwa sababu hadi mitandao ya Nigeria imeripoti kuwa kuna uwezekano Agnes Masogange akawa na ujauzito wa staa wa Naija, Davido.
Agnes na Davido wameonekana kuwa karibu siku za hivi karibuni, baada ya kuwa wanapost picha tofauti tofauti wakiwa wanakula bata pamoja kama couple.
Mtandao wa Pulse wa Nigeria umeandika kuwa kuna uwezekano malkia huyo wa ‘shepu’ Bongo, Agnes akawa na ujauzito wa Davido baada ya kupost picha ya kipimo cha mimba kinachoonesha...
5 years ago
Bongo514 Feb
Agnes Masogange kukamatwa kwa amri ya Mahakama
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imetoa hati ya kukamatwa Msanii Agnes Gerald Waya maarufu kama Masogange (28), baada ya kushindwa kufika mahakamani mara kwa mara ya pili kesi yake ilipopangwa kutajwa.
Hakimu Mkazi Mkuu wa mahakama hiyo, Wilbroad Mashauri ametoa amri hiyo baada ya upande wa Jamhuri kudai kuwa kesi hiyo ilipangwa kutajwa lakini mshtakiwa, wadhamini na wakili wa utetezi wote hawakuwepo mahakamani.
Wakili wa Serikali Adolf Nkini alidai kuwa kesi hiyo...
11 years ago
Bongo504 Aug
Agnes Masogange apata uraia wa Afrika kusini na kubadili jina, sasa aitwa ‘Thando’
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Davido na Tekno wanachangia penzi la Masogange?
Agnes Masogange.
RIPOTI zimesambaa kwamba wanamuziki nyota wawili wa Nigeria, Davido na Tekno, huenda wanachangia penzi la mrembo wa Kitanzania, Agnes Masogange.
Mwezi Novemba mwaka huu mwimbaji Davido ambaye alivuma na album ya Omo Baba Olowo (Mtoto wa Tajiri) alijirusha na wasichana kadhaa wakati wa bethidei yake na mmoja wao alikuwa Masogane na baadaye zikaenea habari kwamba alikuwa mjamzito akitegemewa kumzalia Davido mtoto wa pili, lakini habari hizo baadaye zikakanushwa.
…..Akiwa na...
9 years ago
Bongo522 Oct
Msanii wa Nigeria, Tekno akanusha kuwahi ‘kutembea’ na Masogange
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RU-BxEuC-r5xrcVTu6HTgVX5srNWoCe-SvpswKfFTNcq8JmM1nhHFPdPUmk5HVc4L0pIJOx6m14LuGJM7wuOBWo225fwAHDr/ChidinmaandTekno.jpg?width=650)
CHIDINMA, TEKNO KUNA KITU KATI YAO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NnMed0rJC6aBJIQTwXqC*yPRVFg1q9PyOqyVT4WBIXVN8OUHS0tAB37fQ7KoauItL7QSrK-eE4rWkxzG0kdhBsvSA16toGSZ/MASOGANGE.jpg?width=650)
MASOGANGE: MAKALIO YANGU NDIYO KILA KITU