Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tekno anajua kitu gani kilichomuuma ndio maana anajishtukia — Agnes Masogange ajibu

Video vixen wa Bongo, Agnes Masogange ameonesha kupingana na kauli ya msanii wa Nigeria, Tekno Miles ambaye amekanusha kuwahi kuwa na uhusiano naye. Drama ya Agnes mshepu na hit maker wa ‘Duro’ imeibuka baada ya Tekno kufanyiwa mahojiano na mtangazaji wa Clouds Fm, Diva kupitia kipindi cha ‘Ala Za Roho’, ambapo alikanusha kabisa kuwahi kuwa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Agnes Masogange adai sababu iliyomfanya Tekno amkane ni ukaribu wake na Davido!

Mrembo Agnes Masogange ameendeleza episode nyingine ya drama yake na mwimbaji wa Nigeria, Tekno miles, iliyoibuka wiki hii baada ya mwimbaji huyo kukanusha kuwa hajawahi kuvunja naye amri ya sita! Katika muendelezo wa kutaka kuthibitisha kuwa alichokisema Tekno sio kweli, Agnes ameweka wazi sababu anayodai kuwa ndiyo iliyomfanya mwimbaji huyo wa ‘Duro’ amkane, kuwa ni […]

 

9 years ago

Bongo5

Agnes Masogange ana ujauzito wa Davido?

masogange4

Kama ni ‘kiki’ basi imefanikiwa, kwa sababu hadi mitandao ya Nigeria imeripoti kuwa kuna uwezekano Agnes Masogange akawa na ujauzito wa staa wa Naija, Davido.

masogange4

Agnes na Davido wameonekana kuwa karibu siku za hivi karibuni, baada ya kuwa wanapost picha tofauti tofauti wakiwa wanakula bata pamoja kama couple.

maso david

Mtandao wa Pulse wa Nigeria umeandika kuwa kuna uwezekano malkia huyo wa ‘shepu’ Bongo, Agnes akawa na ujauzito wa Davido baada ya kupost picha ya kipimo cha mimba kinachoonesha...

 

5 years ago

Bongo5

Agnes Masogange kukamatwa kwa amri ya Mahakama

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imetoa hati ya kukamatwa Msanii Agnes Gerald Waya maarufu kama Masogange (28), baada ya kushindwa kufika mahakamani mara kwa mara ya pili kesi yake ilipopangwa kutajwa.

Hakimu Mkazi Mkuu wa mahakama hiyo, Wilbroad Mashauri ametoa amri hiyo baada ya upande wa Jamhuri kudai kuwa kesi hiyo ilipangwa kutajwa lakini mshtakiwa, wadhamini na wakili wa utetezi wote hawakuwepo mahakamani.

Wakili wa Serikali Adolf Nkini alidai kuwa kesi hiyo...

 

11 years ago

Bongo5

Agnes Masogange apata uraia wa Afrika kusini na kubadili jina, sasa aitwa ‘Thando’

Video vixen maarufu wa Bongo Agnes Gerald maarufu zaidi kwa jina la Agnes Masogange ambaye kwa miezi kadhaa sasa amehamishia makazi yake Afrika Kusini, amebadili jina na huenda akawa raia wa huko! Kupita Instagram mrembo huyo mwenye umbo ‘matata’ alianza kwa kupost picha ya pasi ya kusafiria ya Afrika Kusini kama ishara kwamba amepata uraia […]

 

9 years ago

Global Publishers

Davido na Tekno wanachangia penzi la Masogange?

Aggy31Agnes Masogange.

RIPOTI zimesambaa kwamba wanamuziki nyota wawili wa Nigeria, Davido na Tekno, huenda wanachangia penzi la mrembo wa Kitanzania, Agnes Masogange.

Mwezi Novemba mwaka huu mwimbaji Davido ambaye alivuma na album ya Omo Baba Olowo (Mtoto wa Tajiri) alijirusha na wasichana kadhaa wakati wa bethidei yake na mmoja wao alikuwa Masogane na baadaye zikaenea habari kwamba alikuwa mjamzito akitegemewa kumzalia Davido mtoto wa pili, lakini habari hizo baadaye zikakanushwa.

image (5)…..Akiwa na...

 

9 years ago

Bongo5

Msanii wa Nigeria, Tekno akanusha kuwahi ‘kutembea’ na Masogange

Msanii wa Nigeria anayehit na wimbo wake uitwao Duro amekanusha kuwa aliwahi kuwa na uhusiano na Agnes Masogange. Miezi kadhaa iliyopita ziliwahi kuwepo tetesi kuwa msanii huyo ni mmoja wa wanaume waliofaidi umbo la video vixen huyo mwenye umbo la utata. Masogange aliwahi kupost mfululizo wa picha za Tekno kwenye Instagram kuonesha mahaba mazito kwake, […]

 

9 years ago

GPL

CHIDINMA, TEKNO KUNA KITU KATI YAO

Picha iliyowekwa na Chidinma Instagram. SIKU chache zilizopita iliripotiwa kuwa staa anayekuja juu Nigeria aliyewahi kutoka kimapenzi na ‘video queen’ wa Kibongo, Agnes Gerald ‘Masogange’, Tekno yuko katika penzi jipya baada ya kuanikwa na mwanadada Chidinma. Tekno ambaye anakimbiza na Ngoma ya Dulo ambayo kwa sasa ni gumzo nchini humo, juzi aliwekwa kwenye Ukurasa wa Instagram na mdada ambaye pia ni msanii, Chidinma...

 

11 years ago

GPL

MASOGANGE: MAKALIO YANGU NDIYO KILA KITU

Stori: Imelda Mtema
VIDEO QUEEN ‘grade one’ Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’ amefunguka kuwa hakuna kitu anakizimikia kwenye mwili wake kama makalio. Video Queen ‘grade one’ Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’ asogange aliiambia Bongowood kuwa:“Hakuna sehemu ninayoipenda kama makalio, yamekaa vizuri, nayapenda, najidai kupitia sehemu hiyo niliyojaaliwa na Mwenyezi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani