Msanii wa Nigeria, Tekno akanusha kuwahi ‘kutembea’ na Masogange
Msanii wa Nigeria anayehit na wimbo wake uitwao Duro amekanusha kuwa aliwahi kuwa na uhusiano na Agnes Masogange. Miezi kadhaa iliyopita ziliwahi kuwepo tetesi kuwa msanii huyo ni mmoja wa wanaume waliofaidi umbo la video vixen huyo mwenye umbo la utata. Masogange aliwahi kupost mfululizo wa picha za Tekno kwenye Instagram kuonesha mahaba mazito kwake, […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Davido na Tekno wanachangia penzi la Masogange?
Agnes Masogange.
RIPOTI zimesambaa kwamba wanamuziki nyota wawili wa Nigeria, Davido na Tekno, huenda wanachangia penzi la mrembo wa Kitanzania, Agnes Masogange.
Mwezi Novemba mwaka huu mwimbaji Davido ambaye alivuma na album ya Omo Baba Olowo (Mtoto wa Tajiri) alijirusha na wasichana kadhaa wakati wa bethidei yake na mmoja wao alikuwa Masogane na baadaye zikaenea habari kwamba alikuwa mjamzito akitegemewa kumzalia Davido mtoto wa pili, lakini habari hizo baadaye zikakanushwa.
…..Akiwa na...
9 years ago
Bongo524 Oct
Agnes Masogange adai sababu iliyomfanya Tekno amkane ni ukaribu wake na Davido!
9 years ago
Bongo523 Oct
Tekno anajua kitu gani kilichomuuma ndio maana anajishtukia — Agnes Masogange ajibu
9 years ago
Bongo506 Oct
Idris Sultan akanusha kuwahi kutoka kimapenzi na Wema Sepetu
9 years ago
Bongo Movies05 Jan
Lulu Akanusha Kutoka na Tekno, Atoa Maelezo ya Kina
Elizabeth ‘Lulu’ Michael amelazimika kuandika maelezo marefu kukanusha tetesi zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii kuwa alivunja amri ya sita na hitmaker wa Duro, Tekno aliyekuwepo Dar siku ya mwaka mpya.
Haya ni maelezo yake aliyoandika kwenye Instagram:
Okay…naona watu Mnatafutaga Topic Na mkipata picha story mnatungaga mnazozijua NI hivi….naomba heshima Na busara vitumike Nilikutana Na Tekno Kwenye show yake Na alikuja kunisalimia kwenye meza Yangu,picha zote zilizopigwa Na yeye au mtu...
9 years ago
Bongo505 Jan
Lulu akanusha kula uroda na Tekno, atoa maelezo ya kina
![10661050_464736387045632_291073524_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/10661050_464736387045632_291073524_n-300x194.jpg)
Elizabeth ‘Lulu’ Michael amelazimika kuandika maelezo marefu kukanusha tetesi zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii kuwa alivunja amri ya sita na hitmaker wa Duro, Tekno aliyekuwepo Dar siku ya mwaka mpya.
Haya ni maelezo yake aliyoandika kwenye Instagram:
Okay…naona watu Mnatafutaga Topic Na mkipata picha story mnatungaga mnazozijua NI hivi….naomba heshima Na busara vitumike Nilikutana Na Tekno Kwenye show yake Na alikuja kunisalimia kwenye meza Yangu,picha zote zilizopigwa Na yeye au mtu...
9 years ago
Global Publishers04 Jan
Gigy, msanii Tekno ukweli waanikwa
Muuza nyago kwenye video za wasanii wa Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’.
Mayasa Mariwata na Imelda Mtema
Siri imefichuka! Muuza nyago kwenye video za wasanii wa Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’ ameibua gumzo baada ya ukweli kuanikwa kwamba alilala kwenye Hoteli ya Serena iliyopo Posta jijini Dar akijiachia na msanii kutoka Nigeria, Tekno Miles.
Kwa mujibu wa vyanzo vya kuaminika, usiku wa kuamkia Ijumaa, mrembo huyo alionekana akijiachia na jamaa huyo ambaye alitua Bongo kwa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyWG5yeFdaOt05mc8tXD45xIG3zL4e0DVcngHrHbjqdAxUG3H8Sl*vAg9DOTv-yxWQPQPsRHCMP1sM1meN3idFD8/Msaniii.jpg?width=650)
MSANII ALEWA ASHINDWA KUTEMBEA
9 years ago
Global Publishers31 Dec
Msanii Tekno Miles kunogesha tamasha la Johnnie Walker