WEMA AFUNGUKIA ISHU YA MIMBA!
![](http://api.ning.com:80/files/fF4HFdlaoO6-DxzHAqR56EvneT9CUnOMKgSagz46NgbA9fNd3s38hegZ2HSVcOpAVOk*7k-ZyLvxtvajjuJzCtL74YyEsP3h/wema.jpg)
Stori: Shakoor Jongo Wema Sepetu ambaye anadaiwa ana kitumbo, ameamua kufungukia madai hayo kwamba ni kweli anahitaji mtoto lakini kwa sasa bado mimba haijaingia. Diva katika tasnia ya filamu Bongo Wema Sepetu. Wema alifungukia hilo kwenye ukurasa wake wa nstagram ambapo alisema, anatamani siku moja aitwe mama lakini taarifa zilizoenea kuwa amenasa si za kweli. Akizungumzia hilo mpenzi wake Nasibu Abdul...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QiexpI9hytpCasXe63qp1YD7XVekyssEZRhoX9dd7s8X0H-j7T9vacEV4S7hgZ*yUa-5Tp0cUxPt4TCdpgCWPhJDvBH4Z3a1/ccc.jpg?width=650)
10 QUESTIONS VAI WA UKWELI AFUNGUKIA ISHU YA USAGAJI, KUTOA MIMBA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kdMiOwfaxve890EA-gaiXu3zu59JDEsW9oarXBQGWBomiTvi4Iy2KCELTt599TPzB0-Dsi-j8Lse8XB*ZT8xZY-fElWmJV*j/patch.jpg)
PATCHOU MWAMBA AFUNGUKIA ISHU YA KUFUMANIWA
10 years ago
GPL08 Jan
9 years ago
Global Publishers23 Dec
Masogange afungukia mimba ya Davido
Agness Jerald ‘Masogange’.
Na Imelda Mtema
Video queen maarufu Bongo, Agness Jerald ‘Masogange’ amefungukia taarifa zinazoendelea kuenea kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii pamoja na mitaani kwamba amedungwa mimba na mwanamuziki ‘chakaramu’ kutoka nchini Nigeria, David Adedeji Adeleke ‘Davido’.
Akizungumza na mwandishi wetu, Masogange anayesifika kwa kuwa na umbo matata, alikanusha vikali taarifa hizo na kuongeza kuwa anashangazwa sana na watu wanaoendelea kumzushia wakati hana uhusiano...
9 years ago
Bongo Movies18 Nov
Lulu Afungukia Mimba Yake Iliyonzia Insta
HAPA NA PALE: Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewaponda baadhi ya watu ambao hupenda kuvumisha mambo hasa kupitia mtandao picha wa Instagram kuhusiana na habari zizilosambaa siku za nyuma kuwa staa huyo ana ujauzito huku picha hiyo hapo juu ikitumika kuonyesha mimba yenyewe.
“Mimba yangu hii ilianzia Insta ikaishia insta. Pale unapoamua kufanya project zako binafsi na viungo vyako.Mana watu wakufanya nao project wameisha...wote washafanya project na washafanywa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8k2*97pl68xa7NqpzzajpJsLH5ksHUfrlaH0aATNE09AgPuOVRhJTd3JT9pXNPUTW3a2P0rHAqm63ott4DbNIYRdmyqJDhQ2/Untitled5.jpg?width=650)
WAZIRI NYALANDU AFUNGUKIA MIMBA YA AUNT EZEKIEL
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tZHhhMhD8MAqu8DFAlNzsRtnjpo6S6e626DbrzrFSUF1IhbooCTgSi80Nva7xA-Yu1qvhc5sRYyCwMfKjmMHLMntNq3Vl-iq/2.jpg?width=650)
ISHU SIYO KUPEWA MIMBA, ANAYEKUPA NI NANI, WAKATI GANI?-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wTFR6FHHG9LlDHJZV15xLhOVADguktKhUWAr0563L-*cRsH*h1N3a1Ong-nQh0z6xwt3B4wREHs14dND4LEvNvL1bBAZiSEv/2.jpg?width=650)
ISHU SIYO KUPEWA MIMBA, ANAYEKUPA NI NANI, WAKATI GANI?
10 years ago
Bongo Movies17 Aug
Hatimaye Masanja aamua kufungikia ishu ya Diamond na Wema kwa kuwapa ushauri 'mzito'
Baada ya uhusiano wa diamond na wema kuingia katika misukosuko na diamond kutoa ujumbe mzito kumhusu wema sepetu, mchekeshaj maarufu hapa bongo masanja mkandami ameamua kufua ya moyoni kuhusiana na uhusiano wa wawili hawa.
masanja alisema haya
“Street pastor anasema.. hili swala la diamond na wema nadhani mungu amemuhurumia mmoja wapo kati ya hao wawili. kama wangekuwa watu wa kuoana wangesha oana uchumba gani mrefu kama wanasomea udokta???? rafiki yangu nasib, kama kweli mlipendana kwa...