Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ISHU SIYO KUPEWA MIMBA, ANAYEKUPA NI NANI, WAKATI GANI?

NIJumamosi nyingine tena Mungu ametukutanisha katika safu yetu hii ya Show The Love, kwenye uwanja wetu huu tunaweza kupeana mawili matatu yahusuyo maisha ya uhusiano. Niwashukuru wote walionitumia meseji kuonesha wameguswa na mada ya wiki iliyopita iliyokuwa inasema; ‘kuna ulazima wowote wanandoa kufichana vipato vyao?’
Hakika ulijifunza vya kutosha, moja kwa moja twende tukaitazame mada yetu ya leo iliyopo hapo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ISHU SIYO KUPEWA MIMBA, ANAYEKUPA NI NANI, WAKATI GANI?-2

BILA shaka mpenzi msomaji wa safu hii u-mzima wa afya. Tunakutana tena katika eneo letu maridhawa la kupeana elimu ya uhusiano.Kwa wale tuliokuwa pamoja, wiki iliyopita tuliianza mada iliyopo hapo juu. Mada hii ilikuwa na lengo la kuwataka wanawake wawe makini katika suala zima la kutaka kuzaa. Nilisema hatari anayoipata mwanamke asiyemjua vizuri mwanaume ni pamoja na kukubali kuwa mwanamke wa kuzugia. Yeye anachoangalia ni...

 

10 years ago

GPL

ISHU SI KUOA, ILA UNAMUOA NANI KWA VIGEZO GANI?

VITABU mbalimbali vya dini vinatufundisha umuhimu wa ndoa. Najua wengi tutakuwa tunafahamu juu ya huu mstari ambao upo kwenye Biblia; “Naye mwanamke atamuacha baba na mama yake, ataambatana na mumewe na kuwa mwili mmoja.” Marafiki zangu, mstari huo una maana kubwa sana. Ndoa ina mapana yake katika maisha ya mwanadamu. Ndoa si kufuliana nguo wala si kufanya tendo la ndoa peke yake. Ndoa inahusisha vitu vingi ambavyo...

 

10 years ago

GPL

ISHU SI KUOA, ILA UNAMUOA NANI KWA VIGEZO GANI?-2

Kwa moyo mkunjufu nikukaribishe mpenzi msomaji wa safu hii ya Love and Story, tunapata kujifunza mambo mbalimbali yahusuyo maisha ya uhusiano. Kwa wale tulioianza mada ya ishu siyo kuoa, ila unamuoa nani kwa vigezo gani wiki iliyopita, hakika wataungana nami kwamba ili uishi usije kujutia ndoa yako, yakupasa kuchagua mke au mume sahihi.
Tunaimalizia mada hii ambapo hakika itakuwa ni funzo kwa pande zote mbili, mwanaume na...

 

10 years ago

GPL

JACK WA CHUZ: NDOA SIYO ISHU

Mwigizaji Jacqueline Steven Pentezel ‘Jack wa Chuzi’. Brighton masalu
SIKU chache baada ya kudaiwa kuachana na mumewe, mwigizaji Jacqueline Steven Pentezel ‘Jack wa Chuzi’ amesema watu wasimshangae kuwa na mgogoro na mwanandoa mwenzake na kuweka bayana kuwa ndoa siyo kila kitu katika maisha! Katika mazungumzo ya njia ya simu na mwandishi wetu, msanii huyo alionekana kuwa mbogo kidogo, huku akijaribu...

 

11 years ago

GPL

WEMA AFUNGUKIA ISHU YA MIMBA!

Stori: Shakoor Jongo
Wema Sepetu ambaye anadaiwa ana kitumbo, ameamua kufungukia madai hayo kwamba ni kweli anahitaji mtoto lakini kwa sasa bado mimba haijaingia. Diva katika tasnia ya filamu Bongo Wema Sepetu. Wema alifungukia hilo kwenye ukurasa wake wa nstagram ambapo alisema, anatamani siku moja aitwe mama lakini taarifa zilizoenea kuwa amenasa si za kweli. Akizungumzia hilo mpenzi wake Nasibu Abdul...

 

10 years ago

GPL

MASTAA: WATOTO KWANZA, NDOA SIYO ISHU

Stori:  Gladness Mallya na Mayasa Mariwata/Risasi Mchanganyiko
WAKATI mastaa kadhaa wa kike wa filamu Tanzania wakionekana umri wao kuwatupa mkono, lakini wakiwa hawana ndoa wala watoto, baadhi yao wamefunguka kuwa wanahitaji zaidi kupata uzao kuliko kuishi maisha ya kuolewa. Staa wa filamu wa filamuBongo, Anti Lulu akipozi. Wakizungumza kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam, walisema suala la ndoa ni majaaliwa na si...

 

10 years ago

GPL

ISHU SIYO MATATIZO BALI NAMNA TUNAVYOYAPOKEA NA KUYATATUA!

Kwanza kabisa nichukue fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu ambaye amenijaalia uzima na kunipa afya pamoja na nguvu za kutosha hivyo kuniwezesha kuendelea kutimiza yale ambayo naamini nastahili kuyatenda katika kila siku ya maisha yangu. Ndugu zangu, mwaka ndiyo umeanza hivyo! Najua wengi wetu tuna malengo ambayo tumepanga kuyatimiza ndani ya mwaka huu wa 2015. Hilo ni jambo jema na nikufahamishe tu kwamba, maisha bila malengo...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mastaa wa Kike: Watoto Kwanza, Ndoa Siyo Ishu

WAKATI mastaa kadhaa wa kike wa filamu Tanzania wakionekana umri wao kuwatupa mkono, lakini wakiwa hawana ndoa wala watoto, baadhi yao wamefunguka kuwa wanahitaji zaidi kupata uzao kuliko kuishi maisha ya kuolewa.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam, walisema suala la ndoa ni majaaliwa na si jambo unaloweza kupanga, kwa vile mwenye uwezo wa kufanya hayo yote ni Mungu, kama ilivyo katika kuamua kuzaa au la.

Coletha Raymond ‘Koletha’, alisema katika maisha ya Kitanzania,...

 

10 years ago

GPL

STEPS ISHU SIYO KUUZA BUKUBUKU, TUTAWAMALIZAJE MAHARAMIA?

KWENU wasambazaji wakongwe wa sinema za Kibongo, Kampuni ya Steps Entertainment. Bila shaka mko poa na mnaendelea na shughuli zenu za kusambaza kazi za wasanii wetu wa Bongo Movies.
Binafsi mimi ni mzima wa afya, naendelea vizuri na majukumu yangu ya kila siku. Kwa heshima ya pekee naomba niutambue uwepo wa Mkurugenzi wa Steps, Diresh Solanki, umechangia kwa kiasi fulani kukuza sanaa nchini. Dhumuni la barua hii ni kutaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani