Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JACK WA CHUZ: NDOA SIYO ISHU

Mwigizaji Jacqueline Steven Pentezel ‘Jack wa Chuzi’. Brighton masalu
SIKU chache baada ya kudaiwa kuachana na mumewe, mwigizaji Jacqueline Steven Pentezel ‘Jack wa Chuzi’ amesema watu wasimshangae kuwa na mgogoro na mwanandoa mwenzake na kuweka bayana kuwa ndoa siyo kila kitu katika maisha! Katika mazungumzo ya njia ya simu na mwandishi wetu, msanii huyo alionekana kuwa mbogo kidogo, huku akijaribu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

JACK CHUZ ATAMBIA NDOA YAKE

Imelda Mtema STAA wa filamu za Kibongo Jacqueline Pentzel maarufu kama Jack wa Chuz ametamba kuwa ndoa yake na Gardner Dibibi ipo imara licha ya kukumbwa na misukosuko ya kuachana na kurudiana. Akiteta na gazeti hili hivi karibuni, msanii huyo alisema kuwa hakwenda kucheza kwenye ndoa kama wasanii wenzake wanavyodhani, kwani licha ya kumuombea mabaya, amemudu kuwa imara kwa kumaliza matatizo yao kila yanapotokea na maisha...

 

9 years ago

Global Publishers

Mzazi mwenza achokonoa ndoa ya Jack Chuz

JACK3Na Gladness Mallya
KERO! Baada ya kurudiana na mumewe Gardner Dibibi, msanii wa filamu za Kibongo, Jacqueline Pentzel maarufu kama Jack Chuz, mzazi mwenza wa mume wake anadaiwa kuichokonoa ndoa yao hivyo kumpa kero.

Chanzo makini kililiambia gazeti hili kwamba, Jack Chuz na mumewe wamekuwa wakitibuana chanzo kikiwa ni mwanamke aliyezaa na mwanaume huyo aliyejulikana kwa jina moja la Mariamu, kwani amekuwa akiwafuatilia kila wanachokifanya huku akiendelea kumsumbua Dibibi akitaka...

 

10 years ago

GPL

MASTAA: WATOTO KWANZA, NDOA SIYO ISHU

Stori:  Gladness Mallya na Mayasa Mariwata/Risasi Mchanganyiko
WAKATI mastaa kadhaa wa kike wa filamu Tanzania wakionekana umri wao kuwatupa mkono, lakini wakiwa hawana ndoa wala watoto, baadhi yao wamefunguka kuwa wanahitaji zaidi kupata uzao kuliko kuishi maisha ya kuolewa. Staa wa filamu wa filamuBongo, Anti Lulu akipozi. Wakizungumza kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam, walisema suala la ndoa ni majaaliwa na si...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mastaa wa Kike: Watoto Kwanza, Ndoa Siyo Ishu

WAKATI mastaa kadhaa wa kike wa filamu Tanzania wakionekana umri wao kuwatupa mkono, lakini wakiwa hawana ndoa wala watoto, baadhi yao wamefunguka kuwa wanahitaji zaidi kupata uzao kuliko kuishi maisha ya kuolewa.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam, walisema suala la ndoa ni majaaliwa na si jambo unaloweza kupanga, kwa vile mwenye uwezo wa kufanya hayo yote ni Mungu, kama ilivyo katika kuamua kuzaa au la.

Coletha Raymond ‘Koletha’, alisema katika maisha ya Kitanzania,...

 

9 years ago

Bongo Movies

Jack Chuz Alia Kutopata Mtoto

KARIBU tena msomaji katika kolamu hii inayokuunganisha na mastaa mbalimbali wa muziki na filamu hapa nchini na kupata fursa ya kuwauliza maswali ambayo yamekuwa yakiumiza kichwa huyapatii majibu. Leo tunaye Jack Pentezel ‘Jack Chuz’.

Msomaji: Mbali na sanaa unafanya shughuli gani?

Jack Chuz: Nina saluni yangu Sinza na duka la nguo. Pia ni mtaalam wa kusuka na make up.

Msomaji: Nasikia bila ndumba huwezi kukubalika kwenye sanaa, unaliongeleaje hilo?

Jack Chuz: Si kweli, uzuri wa kazi zako...

 

11 years ago

GPL

MUME WA JACK CHUZ APATA AJALI

Stori: Shakoor Jongo na Musa Mateja
MUME wa msanii wa filamu Bongo, Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuzi’, Gadner Dibibi amesherehekea Sikukuu ya Idd vibaya baada ya kupata ajali wakati akienda msikitini. Mume wa msanii wa filamu Bongo, Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuzi’, Gadner Dibibi akionyesha majeraha baada ya ajali hiyo. Chanzo cha habari kilitiririka kuwa, Gadner alipata ajali hiyo maeneo ya Mlimani...

 

11 years ago

GPL

JACK WA CHUZ, NJEMBA WAZUA UTATA HOSPITALI

Na  Dustan Shekidele
MWIGIZAJI Jacqueline Pentezel ‘Jack wa Chuz’ mwishoni mwa wiki iliyopita alizua utata katika Hospitali ya Aghakani ya mkoani hapa baada ya kunaswa akiuguzwa na kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Rashid Said. MWIGIZAJI Jacqueline Pentezel ‘Jack wa Chuz’ akutwa na njemba aliyejulikana kwa jina la Rashid Said. Baadhi ya watu waliofika kumtembelea Jack aliyekuwa akisumbuliwa...

 

11 years ago

GPL

JACK CHUZ ASHANGAA KUKOMALIWA AMZALIE MUME!

Stori: Mrisho Mapeyo
Msanii wa filamu za Kibongo, Jacqueline Pentzel ‘Jack Chuz’ amewapa makavu laivu baadhi ya watu wanaoshangaa na kuhoji inakuwaje anatimiza mwaka mmoja ndani ya ndoa bila kuzaa. Jacqueline Pentzel ‘Jack Chuz’ akiwa na mumewe siku ya ndoa yao. Akizungumzia maneno ambayo amekuwa akiyasikia kutoka hata kwa watu wake wa karibu wakiwemo wasanii wenzake, Jack alisema anawashangaa kwa...

 

10 years ago

GPL

JACK CHUZ: ETI MUME ANIZUIE KUIGIZA, ANAANZAJE!

Na Imelda Mtema
STAA wa sinema za Kibongo, Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuz’ amefunguka kuwa madai yaliyozagaa kuwa mumewe, Gadna Dibibi amemzuia kuigiza hayana ukweli kwani naye anapenda kumuona runingani. Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuz’ akiwa na mume wake Gadna Dibibi. Jack alifunguka hayo alipokuwa akijibu swali la paparazi wetu lililodai kuwa mume wake amempiga mkwara...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani