JACK WA CHUZ: NDOA SIYO ISHU
![](http://api.ning.com:80/files/EMVKhgUIcMvHH3wRLwwJm*wv1SM*z4Nj5LZes9pTdRTgk6wNdRx5GQDKXxZK1Qm-PTHTvCmMOPwT--GjUFmUv47aXLzLFqTp/JACKYWACHUZII.jpg?width=650)
Mwigizaji Jacqueline Steven Pentezel ‘Jack wa Chuzi’. Brighton masalu SIKU chache baada ya kudaiwa kuachana na mumewe, mwigizaji Jacqueline Steven Pentezel ‘Jack wa Chuzi’ amesema watu wasimshangae kuwa na mgogoro na mwanandoa mwenzake na kuweka bayana kuwa ndoa siyo kila kitu katika maisha! Katika mazungumzo ya njia ya simu na mwandishi wetu, msanii huyo alionekana kuwa mbogo kidogo, huku akijaribu...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/JACKYWACHUZII.jpg?width=650)
JACK CHUZ ATAMBIA NDOA YAKE
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Mzazi mwenza achokonoa ndoa ya Jack Chuz
Na Gladness Mallya
KERO! Baada ya kurudiana na mumewe Gardner Dibibi, msanii wa filamu za Kibongo, Jacqueline Pentzel maarufu kama Jack Chuz, mzazi mwenza wa mume wake anadaiwa kuichokonoa ndoa yao hivyo kumpa kero.
Chanzo makini kililiambia gazeti hili kwamba, Jack Chuz na mumewe wamekuwa wakitibuana chanzo kikiwa ni mwanamke aliyezaa na mwanaume huyo aliyejulikana kwa jina moja la Mariamu, kwani amekuwa akiwafuatilia kila wanachokifanya huku akiendelea kumsumbua Dibibi akitaka...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lET3ABatHUl0oUncw0sttvcfX8097gIx-PYC8O1PTtDUSymvxUHvJinJIEmWsv9JHq-Af0KRgeSgFsYopXaBNWQVQkY6ycpb/g.jpg)
MASTAA: WATOTO KWANZA, NDOA SIYO ISHU
10 years ago
Bongo Movies14 Jan
Mastaa wa Kike: Watoto Kwanza, Ndoa Siyo Ishu
WAKATI mastaa kadhaa wa kike wa filamu Tanzania wakionekana umri wao kuwatupa mkono, lakini wakiwa hawana ndoa wala watoto, baadhi yao wamefunguka kuwa wanahitaji zaidi kupata uzao kuliko kuishi maisha ya kuolewa.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam, walisema suala la ndoa ni majaaliwa na si jambo unaloweza kupanga, kwa vile mwenye uwezo wa kufanya hayo yote ni Mungu, kama ilivyo katika kuamua kuzaa au la.
Coletha Raymond ‘Koletha’, alisema katika maisha ya Kitanzania,...
9 years ago
Bongo Movies20 Oct
Jack Chuz Alia Kutopata Mtoto
KARIBU tena msomaji katika kolamu hii inayokuunganisha na mastaa mbalimbali wa muziki na filamu hapa nchini na kupata fursa ya kuwauliza maswali ambayo yamekuwa yakiumiza kichwa huyapatii majibu. Leo tunaye Jack Pentezel ‘Jack Chuz’.
Msomaji: Mbali na sanaa unafanya shughuli gani?
Jack Chuz: Nina saluni yangu Sinza na duka la nguo. Pia ni mtaalam wa kusuka na make up.
Msomaji: Nasikia bila ndumba huwezi kukubalika kwenye sanaa, unaliongeleaje hilo?
Jack Chuz: Si kweli, uzuri wa kazi zako...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zR-FkEEcSb93awhcfzKonQlBs6pVa7reCzU9ffotoyMB1NRK6n-lwTEMrA*-EN*VMdSWP07px50hR8ciRrEXenW*AYdvUsm9/jack.jpg?width=650)
MUME WA JACK CHUZ APATA AJALI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MjUiWVyv*JLO795OfU1qtyPjYTosNxv*uAzHm*a6eWNe5b126qyKU7WPkI67pKiYIjuHlbftScowfqO-nyKMl-lih1HmJUv*/jack.jpg)
JACK WA CHUZ, NJEMBA WAZUA UTATA HOSPITALI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RnVdzGQ*fcIJtk77C9yEki-uEjbuH2n6eQ3qBreqL01MJuR9Ldia8q39ft3ivSk*3PH*hlpknyXULLCSqeHFxnqAguoCL2Rz/jack.jpg?width=650)
JACK CHUZ ASHANGAA KUKOMALIWA AMZALIE MUME!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NRpz*rV1U-tYBYxJ1eDEp1pnUIko5yIc1ejbEVjOuZ8ekFFxUNjV-h7adUDKX8wzXcrFGnnSY8p4N83AE*xV5b1AVEVyLsnY/jack.jpg)
JACK CHUZ: ETI MUME ANIZUIE KUIGIZA, ANAANZAJE!