JACK CHUZ ATAMBIA NDOA YAKE
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/JACKYWACHUZII.jpg?width=650)
Imelda Mtema STAA wa filamu za Kibongo Jacqueline Pentzel maarufu kama Jack wa Chuz ametamba kuwa ndoa yake na Gardner Dibibi ipo imara licha ya kukumbwa na misukosuko ya kuachana na kurudiana. Akiteta na gazeti hili hivi karibuni, msanii huyo alisema kuwa hakwenda kucheza kwenye ndoa kama wasanii wenzake wanavyodhani, kwani licha ya kumuombea mabaya, amemudu kuwa imara kwa kumaliza matatizo yao kila yanapotokea na maisha...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EMVKhgUIcMvHH3wRLwwJm*wv1SM*z4Nj5LZes9pTdRTgk6wNdRx5GQDKXxZK1Qm-PTHTvCmMOPwT--GjUFmUv47aXLzLFqTp/JACKYWACHUZII.jpg?width=650)
JACK WA CHUZ: NDOA SIYO ISHU
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Mzazi mwenza achokonoa ndoa ya Jack Chuz
Na Gladness Mallya
KERO! Baada ya kurudiana na mumewe Gardner Dibibi, msanii wa filamu za Kibongo, Jacqueline Pentzel maarufu kama Jack Chuz, mzazi mwenza wa mume wake anadaiwa kuichokonoa ndoa yao hivyo kumpa kero.
Chanzo makini kililiambia gazeti hili kwamba, Jack Chuz na mumewe wamekuwa wakitibuana chanzo kikiwa ni mwanamke aliyezaa na mwanaume huyo aliyejulikana kwa jina moja la Mariamu, kwani amekuwa akiwafuatilia kila wanachokifanya huku akiendelea kumsumbua Dibibi akitaka...
9 years ago
Bongo Movies20 Oct
Jack Chuz Alia Kutopata Mtoto
KARIBU tena msomaji katika kolamu hii inayokuunganisha na mastaa mbalimbali wa muziki na filamu hapa nchini na kupata fursa ya kuwauliza maswali ambayo yamekuwa yakiumiza kichwa huyapatii majibu. Leo tunaye Jack Pentezel ‘Jack Chuz’.
Msomaji: Mbali na sanaa unafanya shughuli gani?
Jack Chuz: Nina saluni yangu Sinza na duka la nguo. Pia ni mtaalam wa kusuka na make up.
Msomaji: Nasikia bila ndumba huwezi kukubalika kwenye sanaa, unaliongeleaje hilo?
Jack Chuz: Si kweli, uzuri wa kazi zako...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zR-FkEEcSb93awhcfzKonQlBs6pVa7reCzU9ffotoyMB1NRK6n-lwTEMrA*-EN*VMdSWP07px50hR8ciRrEXenW*AYdvUsm9/jack.jpg?width=650)
MUME WA JACK CHUZ APATA AJALI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RnVdzGQ*fcIJtk77C9yEki-uEjbuH2n6eQ3qBreqL01MJuR9Ldia8q39ft3ivSk*3PH*hlpknyXULLCSqeHFxnqAguoCL2Rz/jack.jpg?width=650)
JACK CHUZ ASHANGAA KUKOMALIWA AMZALIE MUME!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MjUiWVyv*JLO795OfU1qtyPjYTosNxv*uAzHm*a6eWNe5b126qyKU7WPkI67pKiYIjuHlbftScowfqO-nyKMl-lih1HmJUv*/jack.jpg)
JACK WA CHUZ, NJEMBA WAZUA UTATA HOSPITALI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NRpz*rV1U-tYBYxJ1eDEp1pnUIko5yIc1ejbEVjOuZ8ekFFxUNjV-h7adUDKX8wzXcrFGnnSY8p4N83AE*xV5b1AVEVyLsnY/jack.jpg)
JACK CHUZ: ETI MUME ANIZUIE KUIGIZA, ANAANZAJE!
10 years ago
Habarileo29 Dec
Nassari atambia mafanikio yake
MBUNGE wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (Chadema) amesema atapita tena katika jimbo hilo mchana kweupe, kwani amefanya mambo mengi, ikiwemo kuhakikisha usafi wa Soko la Tengeru, hivyo wafanyabiashara kufanya biashara sehemu safi na salama.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nd24W9ECLPPE9ljOONJR9hga9W3GCqcw0fBMRJmABXec1p-AVEhz1FA8F1fsbjmzR1PIN0VjK3-hdb9X9YOV4rnE89M3BGYt/aisha.jpg)
AISHA BUI ATAMBIA KAZI YAKE