Mzazi mwenza achokonoa ndoa ya Jack Chuz
Na Gladness Mallya
KERO! Baada ya kurudiana na mumewe Gardner Dibibi, msanii wa filamu za Kibongo, Jacqueline Pentzel maarufu kama Jack Chuz, mzazi mwenza wa mume wake anadaiwa kuichokonoa ndoa yao hivyo kumpa kero.
Chanzo makini kililiambia gazeti hili kwamba, Jack Chuz na mumewe wamekuwa wakitibuana chanzo kikiwa ni mwanamke aliyezaa na mwanaume huyo aliyejulikana kwa jina moja la Mariamu, kwani amekuwa akiwafuatilia kila wanachokifanya huku akiendelea kumsumbua Dibibi akitaka...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/JACKYWACHUZII.jpg?width=650)
JACK CHUZ ATAMBIA NDOA YAKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EMVKhgUIcMvHH3wRLwwJm*wv1SM*z4Nj5LZes9pTdRTgk6wNdRx5GQDKXxZK1Qm-PTHTvCmMOPwT--GjUFmUv47aXLzLFqTp/JACKYWACHUZII.jpg?width=650)
JACK WA CHUZ: NDOA SIYO ISHU
9 years ago
Bongo Movies20 Oct
Jack Chuz Alia Kutopata Mtoto
KARIBU tena msomaji katika kolamu hii inayokuunganisha na mastaa mbalimbali wa muziki na filamu hapa nchini na kupata fursa ya kuwauliza maswali ambayo yamekuwa yakiumiza kichwa huyapatii majibu. Leo tunaye Jack Pentezel ‘Jack Chuz’.
Msomaji: Mbali na sanaa unafanya shughuli gani?
Jack Chuz: Nina saluni yangu Sinza na duka la nguo. Pia ni mtaalam wa kusuka na make up.
Msomaji: Nasikia bila ndumba huwezi kukubalika kwenye sanaa, unaliongeleaje hilo?
Jack Chuz: Si kweli, uzuri wa kazi zako...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zR-FkEEcSb93awhcfzKonQlBs6pVa7reCzU9ffotoyMB1NRK6n-lwTEMrA*-EN*VMdSWP07px50hR8ciRrEXenW*AYdvUsm9/jack.jpg?width=650)
MUME WA JACK CHUZ APATA AJALI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MjUiWVyv*JLO795OfU1qtyPjYTosNxv*uAzHm*a6eWNe5b126qyKU7WPkI67pKiYIjuHlbftScowfqO-nyKMl-lih1HmJUv*/jack.jpg)
JACK WA CHUZ, NJEMBA WAZUA UTATA HOSPITALI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RnVdzGQ*fcIJtk77C9yEki-uEjbuH2n6eQ3qBreqL01MJuR9Ldia8q39ft3ivSk*3PH*hlpknyXULLCSqeHFxnqAguoCL2Rz/jack.jpg?width=650)
JACK CHUZ ASHANGAA KUKOMALIWA AMZALIE MUME!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NRpz*rV1U-tYBYxJ1eDEp1pnUIko5yIc1ejbEVjOuZ8ekFFxUNjV-h7adUDKX8wzXcrFGnnSY8p4N83AE*xV5b1AVEVyLsnY/jack.jpg)
JACK CHUZ: ETI MUME ANIZUIE KUIGIZA, ANAANZAJE!
10 years ago
Bongo Movies31 Jan
Jini Kabula Amtaka Mzazi Mwenzie Chuz Aoe
Mwigizaji wa filamu z kibongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ amemtaka mzazi mwenziye, Tuesday Kihangala ‘Mr Chuz’ aoe ili kulinda heshima yake.
Akizungumzia maisha yake ya uhusiano mbele ya mwanahabari wa GPL, Kabula alisema anajivunia kuzaa na Chuz lakini kwa kuwa yeye hakupanga kuolewa na prodyuza huyo mkongwe, ni bora aoe kwani umri unamtupa mkono.
“Chuz aoe tu sasa umri umeenda. Tena akioa mimi nitacheza muziki balaa siku hiyo, si unajua mambo yangu. Mbaya zaidi sina kabisa wivu naye,”...
10 years ago
Bongo Movies05 Aug
Picha : ‘Bethidei’ Party ya Mzazi Mwenza wa Aunt Ezekiel , Moses Iyobo ya Kusanya Mastaa Kibao
Hizi ni baadhi ya picha za kwenye sherehe ya kuzaliwa ya siku ya kuzaliwa ya Moses Iyobo ambaye ni baba wa mototo wa Aunt Ezekiel .
Mastaa wengi wajikitokeza kwenye sherehe hiyo jionee.