JACK WA CHUZ, NJEMBA WAZUA UTATA HOSPITALI
![](http://api.ning.com:80/files/MjUiWVyv*JLO795OfU1qtyPjYTosNxv*uAzHm*a6eWNe5b126qyKU7WPkI67pKiYIjuHlbftScowfqO-nyKMl-lih1HmJUv*/jack.jpg)
Na Dustan Shekidele MWIGIZAJI Jacqueline Pentezel ‘Jack wa Chuz’ mwishoni mwa wiki iliyopita alizua utata katika Hospitali ya Aghakani ya mkoani hapa baada ya kunaswa akiuguzwa na kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Rashid Said. MWIGIZAJI Jacqueline Pentezel ‘Jack wa Chuz’ akutwa na njemba aliyejulikana kwa jina la Rashid Said. Baadhi ya watu waliofika kumtembelea Jack aliyekuwa akisumbuliwa...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/JACKYWACHUZII.jpg?width=650)
JACK CHUZ ATAMBIA NDOA YAKE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zR-FkEEcSb93awhcfzKonQlBs6pVa7reCzU9ffotoyMB1NRK6n-lwTEMrA*-EN*VMdSWP07px50hR8ciRrEXenW*AYdvUsm9/jack.jpg?width=650)
MUME WA JACK CHUZ APATA AJALI
9 years ago
Bongo Movies20 Oct
Jack Chuz Alia Kutopata Mtoto
KARIBU tena msomaji katika kolamu hii inayokuunganisha na mastaa mbalimbali wa muziki na filamu hapa nchini na kupata fursa ya kuwauliza maswali ambayo yamekuwa yakiumiza kichwa huyapatii majibu. Leo tunaye Jack Pentezel ‘Jack Chuz’.
Msomaji: Mbali na sanaa unafanya shughuli gani?
Jack Chuz: Nina saluni yangu Sinza na duka la nguo. Pia ni mtaalam wa kusuka na make up.
Msomaji: Nasikia bila ndumba huwezi kukubalika kwenye sanaa, unaliongeleaje hilo?
Jack Chuz: Si kweli, uzuri wa kazi zako...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EMVKhgUIcMvHH3wRLwwJm*wv1SM*z4Nj5LZes9pTdRTgk6wNdRx5GQDKXxZK1Qm-PTHTvCmMOPwT--GjUFmUv47aXLzLFqTp/JACKYWACHUZII.jpg?width=650)
JACK WA CHUZ: NDOA SIYO ISHU
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Mzazi mwenza achokonoa ndoa ya Jack Chuz
Na Gladness Mallya
KERO! Baada ya kurudiana na mumewe Gardner Dibibi, msanii wa filamu za Kibongo, Jacqueline Pentzel maarufu kama Jack Chuz, mzazi mwenza wa mume wake anadaiwa kuichokonoa ndoa yao hivyo kumpa kero.
Chanzo makini kililiambia gazeti hili kwamba, Jack Chuz na mumewe wamekuwa wakitibuana chanzo kikiwa ni mwanamke aliyezaa na mwanaume huyo aliyejulikana kwa jina moja la Mariamu, kwani amekuwa akiwafuatilia kila wanachokifanya huku akiendelea kumsumbua Dibibi akitaka...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RnVdzGQ*fcIJtk77C9yEki-uEjbuH2n6eQ3qBreqL01MJuR9Ldia8q39ft3ivSk*3PH*hlpknyXULLCSqeHFxnqAguoCL2Rz/jack.jpg?width=650)
JACK CHUZ ASHANGAA KUKOMALIWA AMZALIE MUME!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NRpz*rV1U-tYBYxJ1eDEp1pnUIko5yIc1ejbEVjOuZ8ekFFxUNjV-h7adUDKX8wzXcrFGnnSY8p4N83AE*xV5b1AVEVyLsnY/jack.jpg)
JACK CHUZ: ETI MUME ANIZUIE KUIGIZA, ANAANZAJE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1R1gqINM7bwN8urPHz1WLp7sKnIUCBrk8eag1ToCoq6nxNMpchpmCdJ84WYJTuGdHA7Ag0n50efozmqQu5M*o0hUBXjPYX9W/AUNT.jpg)
MARTIN,AUNT WAZUA UTATA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wfufAsrgkK*avof-8Hp4X5pwi7hMSWYUOyxmS5WDOYoJmQewrZGWyGM06oFECueiGpdBd3pmg3FwJFnTNIilMrybRQR9irWu/WOSIA.jpg?width=650)
WOSIA WA GURUMO WAZUA UTATA