Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KABURI LA KUAMBIANA LAZIDI KUBOMOKA

Stori: Waandishi Wetu INASIKITISHA! Tofauti na makaburi mengine ya wasanii mbalimbali wa filamu yaliyopo Kinondoni jijini Dar, la marehemu Adam Kuambiana limeendelea kubomoka na kuwa na mashimo huku likionekana kutelekezwa. Kaburi la marehemu Adam Phillip Kuambiana. Gazeti hili lilitembelea makaburini hapo na kushuhudia kaburi hilo likiwa na mashimo mengi pembeni tofauti na yale yaliyowahi kuripotiwa awali na magazeti Pendwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

JB AFUNGUKIA KABURI LA KUAMBIANA

Staa wa filamu Bongo, Jacob Steven ‘JB’. GLADNESS MALLYA BAADA ya wadau mbalimbali kuhoji kwa nini staa wa filamu Bongo, Jacob Steven ‘JB’ ameliacha kaburi la aliyekuwa mwongozaji wa filamu katika kampuni yake, marehemu Adam Kuambiana mwenyewe amefunguka kwamba hali ya kifedha ni ngumu kwa sasa. Akipiga stori na Centre Spread, JB alisema anatamani kulikarabati kaburi la Kuambiana ambalo limetoboka na...

 

11 years ago

GPL

KABURI LA KUAMBIANA LATOBOKA KIMAAJABU

SIKU chache baada ya kukutwa mauzauza katika kaburi la mwigizaji Rachel Haule ‘Recho’, kaburi la mwigizaji Adam Kuambiana (pichani)limekutwa limetoboka kimaajabu. Kaburi la aliyekuwa mwigizaji wa muvi Bongo, Adam Phillip Kuambiana. Gazeti la Risasi Jumamosi toleo la Julai 19, mwaka huu lilikuwa na babari yenye kichwa cha habari kisemacho: ‘Uchawi kaburini kwa Recho.’ Kwenye habari hiyo, ilielezwa kuwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

JB Asema Haya Kuhusu Kaburi la Kuambiana

Kufuatia wadau mbalimbali kuhoji kwa nini staa wa filamu Bongo, Jacob Steven ‘JB’ ameliacha kaburi la aliyekuwa mwongozaji wa filamu katika kampuni yake, marehemu Adam Kuambiana mwenyewe amefunguka kwamba hali ya kifedha ni ngumu kwa sasa.

Akiongea na gazeti la Amani, JB alisema anatamani kulikarabati kaburi la Kuambiana ambalo limetoboka na mpango huo upo kwenye ratiba yake ila kwa sasa hali ya kifedha ni ngumu ikiwa nzuri ataanza ujenzi wake mara moja.

“Unajua ni muda mrefu nilikuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Deni la taifa lazidi kupaa

Mtandao wa Madeni na Maendeleo Tanzania (TCDD), umebaini ongezeko la madeni ya ndani, ambayo sasa yamefikia Sh6.8 trilioni na kusababisha athari kubwa kwa jamii.

 

9 years ago

Mwananchi

Wingu lazidi kutanda Z’bar

Wingu zito linaendelea kutanda kwenye anga za siasa visiwani hapa baada ya Makamu wa Pili wa Rais, Balozi Seif Ali Iddi kusema mchakato wa kupanga bajeti kwa ajili ya marudio ya uchaguzi umekamilika, huku CUF ikishangazwa na kupinga tamko hilo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Soko la hisa la Asia lazidi kuporomoka

Dunia inamkia siku nyingine ya anguko la soko la hisa huko bara la Asia.

 

11 years ago

Mwananchi

Sakata IPTL lazidi kuwavuruga wabunge

>Sakata la fedha za IPTL limechukua sura mpya baada ya baadhi ya wabunge kudai kurubuniwa na wenzao kwa fedha ili wakwamishe Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini, wakidai balozi mmoja yuko nyuma ya mpango huo.

 

11 years ago

Mwananchi

Tatizo la maji Dar lazidi kukua

Kilio cha wakazi wa Dar es Salaam kupatiwa maji safi na salama, bado ni ndoto pamoja na Serikali kutoa ahadi za kumaliza tatizo hilo.

 

10 years ago

Michuzi

ONESHO LA SITE LAZIDI KUVUTIA WADHAMINI

Na: Geofrey Tengeneza
Taasisi na makampuni kadhaa yameendelea kujitokea kudhamini onesho la kimataifa la utalii la Swahili ‘Swahili International Tourism Expo’ (SITE) linaloandaliwa na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) na ambalo linatarajiwa kufanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani City kuanzia Oktoba 1 – 4, 2014.
Aidha Bodi ya Utalii Tanzania imesema milango bado ipo wazi kwa makampuni na taasisi mbalimbali za serikali na binafsi kuwaunga mkono kwa kujitokeza kudhamini onesho...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani