Sakata IPTL lazidi kuwavuruga wabunge
>Sakata la fedha za IPTL limechukua sura mpya baada ya baadhi ya wabunge kudai kurubuniwa na wenzao kwa fedha ili wakwamishe Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini, wakidai balozi mmoja yuko nyuma ya mpango huo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziVYAMA VITANO VYA SIASA VISIVYO NA WABUNGE VYAOMBA SAKATA LA IPTL LIMALIZWE
Na Dotto Mwaibale
MAKATIBU wakuu wa vyama vitano vya kisiasa visivyo na wabunge bungeni wameomba suala la utata wa ufisadi zaidi ya sh.bilioni 300 zilizowekwa katika akaunti ya Tegeta Escrow zilizokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) limalizwe ili kuendelea kwa mambo mengine ya kitaifa.
Katika hatua nyingine makatibu hao wamepinga hatua ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (Takukuru) kukabidhi ripoti ya uchunguzi kwa Waziri Mkuu na kudai ipelekwe kwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini...
MAKATIBU wakuu wa vyama vitano vya kisiasa visivyo na wabunge bungeni wameomba suala la utata wa ufisadi zaidi ya sh.bilioni 300 zilizowekwa katika akaunti ya Tegeta Escrow zilizokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) limalizwe ili kuendelea kwa mambo mengine ya kitaifa.
Katika hatua nyingine makatibu hao wamepinga hatua ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (Takukuru) kukabidhi ripoti ya uchunguzi kwa Waziri Mkuu na kudai ipelekwe kwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini...
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Sakata la rufaa ya Ndumbaro sasa laanza kuwavuruga TFF
Makamu mwenyekiti wa Kamati ya Rufaa ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Hammidu Mbwezeleni amesema TFF isipotoshe umma kwa vile bado haijawasilisha rufaa ya Damas Ndumbaro kwenye kamati yao.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YIi6je0KpJPOUfG7cA5oUsRubqyZaVb1ZtMRhGiN5r4bedkltnTO4kplJm2AGI1CC7kQZZdB5rKrvbMUOiQktiwnUc3-XCm8/BACKMIZENGWE.jpg)
SAKATA LA DK. SLAA KUTAKA KUUAWA LAZIDI KUPAMBA MOTO
Na Uwazi Mizengwe
Lile sakata linaloendelea kutingisha katika siasa za Tanzania, la aliyekuwa mlinzi wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Dk. Wilbroad Slaa aitwaye Khalid Kangezi, kudaiwa kushirikiana na baadhi ya wanachama wa CCM, akiwemo makamu mwenyekiti wake (Bara), Philip Mangula na maafisa wa usalama wa taifa (TISS) kupanga njama za kumuua kiongozi huyo, linazidi kuchukua sura mpya. Katibu Mkuu wa Chama...
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Sakata la kampeni za kuwania urais 2015 lazidi kuibua mapya CCM
Siku nne baada ya Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye kueleza kuwa amekata rufaa Kamati Kuu (CCM) kupinga adhabu ya onyo aliyopewa kwa kuanza mapema kampeni za urais, wenzake watano waliokumbwa pia na adhabu hiyo wamesita kufanya hivyo
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Wataka sakata la IPTL bungeni
Bunge limetakiwa kuwachukulia hatua za kisheria wale wote waliohusika na sakata la IPTL, badala ya kupigia kelele jambo linalosababisha masuala muhimu yanayowahusu wananchi kutojadiliwa bungeni.
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Sakata la IPTL kutinga bungeni Novemba 27
Ripoti ya ufisadi katika akaunti ya Escrow itawasilishwa bungeni Novemba 27, mwaka huu na kujadiliwa baada ya Kamati ya Uongozi ya Bunge kuridhia kwamba Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) inaweza kushughulikia suala hilo.
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Sakata la IPTL, sasa wanasiasa waonywa
Wanasiasa wametakiwa kukaa kimya na kusubiri matokeo ya ripoti ya IPTL itakayotolewa na Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru) na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG) watakapoendelea kuongea watasababisha kuchakachuliwa.
10 years ago
GPLKAMPUNI YA VIP YAFAFANUA SAKATA LA IPTL
 Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea James Rugemalira akizungumza na waandishi wa habari pamoja na jopo la wanasheria kutoka Marekani (hawapo pichani kuhusu jambo hilo Dar es Salaam jana.  Mwanasheria maarufu kutoka Amterdam Holand, Dk. Camilo Schutte (kushoto), akitoa ufafanuzi wa kisheria kuhusu jambo hilo. Kulia ni Mmoja wa wakurugenzi wa kampuni ya VIP na Mabibo Beer Wines and Spirits Limited,… ...
10 years ago
Mwananchi11 Jan
SAKATA LA IPTL: Mabalozi waitaka Serikali kuchukua hatua kali
>Licha ya Rais Jakaya Kikwete kutoa ufafanuzi wa sakata la uchotaji fedha kutoka Akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu na kutangaza kuchukua hatua dhidi ya baadhi ya viongozi na watendaji, nchi wahisani wamesema bado suala hilo linawachanganya na wanasubiri tamko la Serikali.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania