SAKATA LA DK. SLAA KUTAKA KUUAWA LAZIDI KUPAMBA MOTO
![](http://api.ning.com:80/files/YIi6je0KpJPOUfG7cA5oUsRubqyZaVb1ZtMRhGiN5r4bedkltnTO4kplJm2AGI1CC7kQZZdB5rKrvbMUOiQktiwnUc3-XCm8/BACKMIZENGWE.jpg)
Na Uwazi Mizengwe Lile sakata linaloendelea kutingisha katika siasa za Tanzania, la aliyekuwa mlinzi wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Dk. Wilbroad Slaa aitwaye Khalid Kangezi, kudaiwa kushirikiana na baadhi ya wanachama wa CCM, akiwemo makamu mwenyekiti wake (Bara), Philip Mangula na maafisa wa usalama wa taifa (TISS) kupanga njama za kumuua kiongozi huyo, linazidi kuchukua sura mpya. Katibu Mkuu wa Chama...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-27K-ePqK9WQ/VccxG9QNgTI/AAAAAAAHvdc/achIfE_tIJc/s72-c/unnamed%2B%252870%2529.jpg)
SHINDANO LA DANCE 100% LAZIDI KUPAMBA MOTO CHINI YA VODACOM TANZANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-27K-ePqK9WQ/VccxG9QNgTI/AAAAAAAHvdc/achIfE_tIJc/s640/unnamed%2B%252870%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hz-nBsgINaM/VccxG1rChtI/AAAAAAAHvdg/Ab5DHrXZWHY/s640/unnamed%2B%252871%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kBRypExPEVw/Vn1in8sUGeI/AAAAAAAIOso/BYhys5HOyPg/s72-c/001.UBUNGO-MBAGALA.jpg)
ZOEZI LA KUTOA ELIMU KWA MADEREVA NA ABIRIA LAZIDI KUPAMBA MOTO CHINI YA VODACOM TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-kBRypExPEVw/Vn1in8sUGeI/AAAAAAAIOso/BYhys5HOyPg/s640/001.UBUNGO-MBAGALA.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YIi6je0KpJMTL*k*SB3ZmOvM0jrIJ-gohRRCeX10WwpLzPNWtBpnil0bsfqOHHuh75pvPioHWE0K8egII6zt85OieMdVbhHM/DK.SLAA.jpg)
DK SLAA APELEKA MALALAMIKO YA KUTAKA KUUAWA NA MLINZI WAKE MAKAO MAKUU YA POLISI DAR
10 years ago
GPLSAKATA LA JARIBIO LA KUUAWA, DR. SLAA ATINGA KITUO CHA POLISI
11 years ago
Mwananchi19 May
Sakata IPTL lazidi kuwavuruga wabunge
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Sakata la kampeni za kuwania urais 2015 lazidi kuibua mapya CCM
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
SAKATA LA CHID BENZ KUTAKA KUMUUA DEMU
10 years ago
Mtanzania09 Mar
Marando: Dk. Slaa anusurika kuuawa
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, amenusurika kuuawa na mlinzi wake.
Hilo limebainika baada ya kitengo cha ulinzi cha chama hicho kutibua mpango unaodaiwa kuratibiwa na maofisa wa Idara ya Usalama wa Taifa (TIS), wa kumuua kiongozi huyo kwa kumtumia mlinzi wake binafsi (PSU), Khalidi Kagenzi.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, Mabere Marando, alisema...
10 years ago
Mtanzania14 Mar
Sakatala kuuawa Dk. Slaa lageuka
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limeanza kumchunguza Josephine Mushumbusi, ambaye ni mke wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, anayetuhumiwa kula njama za kumuangamiza.
Uchunguzi dhidi ya Mushumbusi ulitangazwa jana na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova, katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyia ofisini kwake, Dar es Salaam.
Kamishna Kova alisema...