Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sakatala kuuawa Dk. Slaa lageuka

Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limeanza kumchunguza Josephine Mushumbusi, ambaye ni mke wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, anayetuhumiwa kula njama za kumuangamiza.
Uchunguzi dhidi ya Mushumbusi ulitangazwa jana na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova, katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyia ofisini kwake, Dar es Salaam.
Kamishna Kova alisema...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Marando: Dk. Slaa anusurika kuuawa

Dk.slaaNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, amenusurika kuuawa na mlinzi wake.
Hilo limebainika baada ya kitengo cha ulinzi cha chama hicho kutibua mpango unaodaiwa kuratibiwa na maofisa wa Idara ya Usalama wa Taifa (TIS), wa kumuua kiongozi huyo kwa kumtumia mlinzi wake binafsi (PSU), Khalidi Kagenzi.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, Mabere Marando, alisema...

 

10 years ago

Habarileo

Polisi waelezwa Slaa alivyotaka kuuawa

Mchumba wa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willbrod Slaa, Josephine Mushumbusi MCHUMBA wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willbrod Slaa, Josephine Mushumbusi jana ametoa maelezo yake katika Kituo Kikuu cha Polisi, Dar es Salaam kuhusu tuhuma za kutaka kuuawa kwa katibu huyo.

 

10 years ago

GPL

SAKATA LA DK. SLAA KUTAKA KUUAWA LAZIDI KUPAMBA MOTO

Na Uwazi Mizengwe
Lile sakata linaloendelea kutingisha katika siasa za Tanzania, la aliyekuwa mlinzi wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Dk. Wilbroad Slaa aitwaye Khalid Kangezi, kudaiwa kushirikiana na baadhi ya wanachama wa CCM, akiwemo makamu mwenyekiti wake (Bara), Philip Mangula na maafisa wa usalama wa taifa (TISS) kupanga njama za kumuua kiongozi huyo, linazidi kuchukua sura mpya. Katibu Mkuu wa Chama...

 

10 years ago

GPL

SAKATA LA JARIBIO LA KUUAWA, DR. SLAA ATINGA KITUO CHA POLISI

Akihojiwa na Wanahabari.     ..Slaa (kulia), akitoka katika lango kuu la kituo cha Polisi akiwa na viongozi wengine wa chama hicho.…

 

10 years ago

GPL

DK SLAA APELEKA MALALAMIKO YA KUTAKA KUUAWA NA MLINZI WAKE MAKAO MAKUU YA POLISI DAR

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbroad Slaa (pichani kushoto) muda huu ametoka katika ofisi za Makao Makuu ya Polisi jijini Dar es Salaam alipokwenda kupeleka malalamiko yake ya kutaka kuuawa na mlinzi wake aitwaye Khalid Kangezi. Dk. Slaa amekabidhi malalamiko yake hayo kwa maandishi ambapo zaidi ya kurasa tisa amezikabidhi kituoni hapo. Akiongea na wanahabari, Dk. Slaa amesema kuwa hajaitwa...

 

9 years ago

Mtanzania

Sakata uuzwaji Cocobeach lageuka

Pg 4Na Jonas Mushi, Dar es Salaam

WAKATI  Serikali ikimsimamisha kazi aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, Mhandisi Mussa Natty, kwa madai kuwa pamoja na mambo mengine alihusika kuuza ufukwe wa Cocobeach, sakata hilo limevaa sura mpya baada ya Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea na Diwani wa Kata ya Ubungo, Boniface Jacob, kuibuka na kutoa mktaba unaaonyesha kuwa eneo hilo liliuzwa kabla ya Mhandisi huyo kuanza kazi Kinondoni.

Mbunge huyo na Diwani ambao wote wanatoka Chama cha Demokrasia...

 

11 years ago

Habarileo

Soko lageuka maficho ya vibaka

SOKO lililojengwa katika Kata ya Mjimwema wilayani Njombe mkoani Njombe, limegeuzwa maficho ya vibaka. Gharama halisi zilizotumika kujenga soko hilo, hazijajulikana. Soko hilo lilizinduliwa kwa matumizi ya biashara Novemba 10, 2011.

 

9 years ago

StarTV

Jimbo la Busega lageuka uwanja wa mapambano

1.Baadhi ya wagombea wa chama cha mapinduzi CCM wanaowania nafasi ya Ubunge jimbo  la Busega Mkoani Simiyu akiwemo aliyekuwa mbunge wa Jimbo hilo, Titus Kamani wamepinga  Matokeo yaliyotangazwa kwa utata kufuatia uchaguzi wa marudio wa kura za maoni wakidai yamechakachuliwa.

 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani