Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Soko lageuka maficho ya vibaka

SOKO lililojengwa katika Kata ya Mjimwema wilayani Njombe mkoani Njombe, limegeuzwa maficho ya vibaka. Gharama halisi zilizotumika kujenga soko hilo, hazijajulikana. Soko hilo lilizinduliwa kwa matumizi ya biashara Novemba 10, 2011.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Bado kuna maficho ya mabilioni Uswisi

Wakati kukiwa na taarifa zinazothibitisha kuendelea kwa utoroshaji wa fedha kwenda nje ya nchi, imebainika kuwa ni vigumu kumalizwa kwa tatizo hilo kutokana na ukweli kwamba uhai wa baadhi ya benki nchini Uswisi unategemea fedha haramu.

 

10 years ago

Mwananchi

Jinsi polisi walivyofyeka maficho ya ‘magaidi’ Mkuranga

Jeshi la Polisi lina uwezo mkubwa wa kubaini maficho ya majambazi na hata magaidi isipokuwa hufuatilia kwa uangalifu mkubwa kutokana na hatari inayowakabili. Na pale linapokamilisha mitego yake huvamia eneo husika kwa nguvu kama lilivyofanya, hivi karibuni, katika kijiji cha Mnandikongo kilichoko Kata ya Bupu wilayani Mkuranga, Mkoa wa Pwani.

 

10 years ago

Mtanzania

Sakatala kuuawa Dk. Slaa lageuka

Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limeanza kumchunguza Josephine Mushumbusi, ambaye ni mke wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, anayetuhumiwa kula njama za kumuangamiza.
Uchunguzi dhidi ya Mushumbusi ulitangazwa jana na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova, katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyia ofisini kwake, Dar es Salaam.
Kamishna Kova alisema...

 

9 years ago

Mtanzania

Sakata uuzwaji Cocobeach lageuka

Pg 4Na Jonas Mushi, Dar es Salaam

WAKATI  Serikali ikimsimamisha kazi aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, Mhandisi Mussa Natty, kwa madai kuwa pamoja na mambo mengine alihusika kuuza ufukwe wa Cocobeach, sakata hilo limevaa sura mpya baada ya Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea na Diwani wa Kata ya Ubungo, Boniface Jacob, kuibuka na kutoa mktaba unaaonyesha kuwa eneo hilo liliuzwa kabla ya Mhandisi huyo kuanza kazi Kinondoni.

Mbunge huyo na Diwani ambao wote wanatoka Chama cha Demokrasia...

 

9 years ago

StarTV

Jimbo la Busega lageuka uwanja wa mapambano

1.Baadhi ya wagombea wa chama cha mapinduzi CCM wanaowania nafasi ya Ubunge jimbo  la Busega Mkoani Simiyu akiwemo aliyekuwa mbunge wa Jimbo hilo, Titus Kamani wamepinga  Matokeo yaliyotangazwa kwa utata kufuatia uchaguzi wa marudio wa kura za maoni wakidai yamechakachuliwa.

 

 

9 years ago

Mtanzania

Vibaka wamliza Harmonize

harmonizeNA MWANDISHI WETU

MSANII kutoka lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Rajabu Abdulkhali ‘Harmonize’, amewashukuru wakazi wa Tanga kwa kujitokeza kwa wingi kwenye onyesho lake la kwanza alilolifanya mkoani humo siku ya Krismasi licha ya watu wasiofahamika kumuibia vitu vya thamani.

Akizungumzia onyesho hilo, Harmonize alisema hakutarajia kupata mapokezi makubwa kama aliyoyapata, lakini anasikitika baadhi ya mashabiki wasio waaminifu waliweza kumuibia cheni na saa.

“Baada ya onyesho nilishuka...

 

11 years ago

Habarileo

Vibaka tishio Sumbawanga

WAKAZI wa Mji wa Sumbawanga mkoani hapa waishio maeneo ya Majengo walilitaka Jeshi la Polisi kufanya doria za mara kwa mara za usiku ili kukabiliana na visa vya kihalifu vilivyokithiri sasa katika maeneo hayo. Wengi waliohojiwa na mwandishi wa habari hizi kwa masharti ya majina yao kutoandikwa gazetini, wamekiri kuongezeka kwa visa vya kihalifu katika maeneo hayo nyakati za usiku vikiwemo ukabaji , ubakaji na uvunjaji wa nyumba.

 

11 years ago

GPL

FLORA ALIA NA VIBAKA

STAA wa sinema za Kibongo, Flora Mvungi  ameeleza masikitiko yake baada ya kuibiwa na vibaka. Kioo kilichovunjwa pamoja na sehemu zilizoibiwa vitu kwenye gari hilo. Akizungumza na paparazi wetu, Flora alisema siku ya tukio mumewe H. Baba alitoka na gari lake aina ya Toyota I.S.T kwenda mtaa wa Lumumba-Kariakoo, akapaki na kuingia kwenye mizunguko yake lakini aliporejea alishtuka baada ya kukuta kioo kimevunjwa na vitu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani