Soko lageuka maficho ya vibaka
SOKO lililojengwa katika Kata ya Mjimwema wilayani Njombe mkoani Njombe, limegeuzwa maficho ya vibaka. Gharama halisi zilizotumika kujenga soko hilo, hazijajulikana. Soko hilo lilizinduliwa kwa matumizi ya biashara Novemba 10, 2011.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Bado kuna maficho ya mabilioni Uswisi
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Jinsi polisi walivyofyeka maficho ya ‘magaidi’ Mkuranga
10 years ago
Mtanzania14 Mar
Sakatala kuuawa Dk. Slaa lageuka
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limeanza kumchunguza Josephine Mushumbusi, ambaye ni mke wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, anayetuhumiwa kula njama za kumuangamiza.
Uchunguzi dhidi ya Mushumbusi ulitangazwa jana na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova, katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyia ofisini kwake, Dar es Salaam.
Kamishna Kova alisema...
9 years ago
Mtanzania21 Dec
Sakata uuzwaji Cocobeach lageuka
Na Jonas Mushi, Dar es Salaam
WAKATI Serikali ikimsimamisha kazi aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, Mhandisi Mussa Natty, kwa madai kuwa pamoja na mambo mengine alihusika kuuza ufukwe wa Cocobeach, sakata hilo limevaa sura mpya baada ya Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea na Diwani wa Kata ya Ubungo, Boniface Jacob, kuibuka na kutoa mktaba unaaonyesha kuwa eneo hilo liliuzwa kabla ya Mhandisi huyo kuanza kazi Kinondoni.
Mbunge huyo na Diwani ambao wote wanatoka Chama cha Demokrasia...
9 years ago
StarTV14 Aug
Jimbo la Busega lageuka uwanja wa mapambano
1.Baadhi ya wagombea wa chama cha mapinduzi CCM wanaowania nafasi ya Ubunge jimbo la Busega Mkoani Simiyu akiwemo aliyekuwa mbunge wa Jimbo hilo, Titus Kamani wamepinga Matokeo yaliyotangazwa kwa utata kufuatia uchaguzi wa marudio wa kura za maoni wakidai yamechakachuliwa.
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Vibaka wamliza Harmonize
NA MWANDISHI WETU
MSANII kutoka lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Rajabu Abdulkhali ‘Harmonize’, amewashukuru wakazi wa Tanga kwa kujitokeza kwa wingi kwenye onyesho lake la kwanza alilolifanya mkoani humo siku ya Krismasi licha ya watu wasiofahamika kumuibia vitu vya thamani.
Akizungumzia onyesho hilo, Harmonize alisema hakutarajia kupata mapokezi makubwa kama aliyoyapata, lakini anasikitika baadhi ya mashabiki wasio waaminifu waliweza kumuibia cheni na saa.
“Baada ya onyesho nilishuka...
11 years ago
Habarileo14 Feb
Vibaka tishio Sumbawanga
WAKAZI wa Mji wa Sumbawanga mkoani hapa waishio maeneo ya Majengo walilitaka Jeshi la Polisi kufanya doria za mara kwa mara za usiku ili kukabiliana na visa vya kihalifu vilivyokithiri sasa katika maeneo hayo. Wengi waliohojiwa na mwandishi wa habari hizi kwa masharti ya majina yao kutoandikwa gazetini, wamekiri kuongezeka kwa visa vya kihalifu katika maeneo hayo nyakati za usiku vikiwemo ukabaji , ubakaji na uvunjaji wa nyumba.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S6leBpJ8ovBvkbD1WKlIDxPLHUd710KXBBpsOUBywJAckvsF*89RpunGRDvtTIETQfUlw4D-YN08A*6lhzVWW6sdxHIVhtIV/FLORA.jpg?width=650)
FLORA ALIA NA VIBAKA