Jinsi polisi walivyofyeka maficho ya ‘magaidi’ Mkuranga
Jeshi la Polisi lina uwezo mkubwa wa kubaini maficho ya majambazi na hata magaidi isipokuwa hufuatilia kwa uangalifu mkubwa kutokana na hatari inayowakabili. Na pale linapokamilisha mitego yake huvamia eneo husika kwa nguvu kama lilivyofanya, hivi karibuni, katika kijiji cha Mnandikongo kilichoko Kata ya Bupu wilayani Mkuranga, Mkoa wa Pwani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania17 Apr
Jinsi ‘magaidi’ kumi walivyonaswa Moro
Na Waandishi Wetu
SIKU moja baada ya Jeshi la Polisi kukamata watu tisa waliokuwa na milipuko, sare za jeshi na silaha za jadi msikitini mkoani Morogoro, imebainika kuwa walikamatwa saa tatu kabla ya kutoka kwenye eneo hilo na kwenda kutekeleza azma yao.
Ingawa haijajulikana kuwa watu hao walikuwa waende wapi, habari hizo zimebainisha kwamba walipanga kuondoka saa 11 alfajiri, lakini polisi wakawakamata saa nane usiku.
Mwandishi wa gazeti hili alivyofika kwenye Kijiji cha Chikago, Kata ya...
11 years ago
BBCSwahili04 Feb
Polisi wapambana na magaidi Tunisia
10 years ago
GPL
POLISI WAKANUSHA TISHIO LA MAGAIDI KUSHAMBULIA CHUO CHA UHASIBU ARUSHA
10 years ago
Mwananchi27 Jun
Majambazi yaua polisi, yachota mamilioni NMB Mkuranga
11 years ago
Habarileo20 Mar
Soko lageuka maficho ya vibaka
SOKO lililojengwa katika Kata ya Mjimwema wilayani Njombe mkoani Njombe, limegeuzwa maficho ya vibaka. Gharama halisi zilizotumika kujenga soko hilo, hazijajulikana. Soko hilo lilizinduliwa kwa matumizi ya biashara Novemba 10, 2011.
10 years ago
Michuzi31 Mar
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Bado kuna maficho ya mabilioni Uswisi
10 years ago
Michuzi19 Jun