Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jinsi polisi walivyofyeka maficho ya ‘magaidi’ Mkuranga

Jeshi la Polisi lina uwezo mkubwa wa kubaini maficho ya majambazi na hata magaidi isipokuwa hufuatilia kwa uangalifu mkubwa kutokana na hatari inayowakabili. Na pale linapokamilisha mitego yake huvamia eneo husika kwa nguvu kama lilivyofanya, hivi karibuni, katika kijiji cha Mnandikongo kilichoko Kata ya Bupu wilayani Mkuranga, Mkoa wa Pwani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Jinsi ‘magaidi’ kumi walivyonaswa Moro

Na Waandishi Wetu

SIKU moja baada ya Jeshi la Polisi kukamata watu tisa waliokuwa na milipuko, sare za jeshi na silaha za jadi msikitini mkoani Morogoro, imebainika kuwa walikamatwa saa tatu kabla ya kutoka kwenye eneo hilo na kwenda kutekeleza azma yao.
Ingawa haijajulikana kuwa watu hao walikuwa waende wapi, habari hizo zimebainisha kwamba walipanga kuondoka saa 11 alfajiri, lakini polisi wakawakamata saa nane usiku.
Mwandishi wa gazeti hili alivyofika kwenye Kijiji cha Chikago, Kata ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi wapambana na magaidi Tunisia

Vikosi vya usalama vimeizingira nyumba ambapo afisa wa polisi na washukiwa 2 wanaotuhumiwa kuwa wapiganaji wa kiislamu waliuawa.

 

10 years ago

GPL

POLISI WAKANUSHA TISHIO LA MAGAIDI KUSHAMBULIA CHUO CHA UHASIBU ARUSHA

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Liberatus Sabas. Wanafunzi wa Chuo cha Uhasibu Arusha wakiendelea na masomo. KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas,  amekanusha uvumi ulioenea katika mitandao ya jamii kuhusu kukamatwa magaidi  mkoani  Arusha usiku wa kuamkia leo waliokuwa wamejitayarisha kukishambulia Chuo cha Uhasibu (Institute of Accountancy Arusha - IAA) wakidaiwa kuwa na gari aina ya Toyota Premio nyeusi...

 

10 years ago

Mwananchi

Majambazi yaua polisi, yachota mamilioni NMB Mkuranga

 Mkuranga. Majambazi watatu, wakiwa na silaha aina ya SMG, jana asubuhi waliua askari mmoja na kujeruhi watu wengine wawili na baadaye kupora bunduki na mamilioni ya fedha kwenye benki ya NMB, Tawi la Mkuranga  mkoani hapa.

 

11 years ago

Habarileo

Soko lageuka maficho ya vibaka

SOKO lililojengwa katika Kata ya Mjimwema wilayani Njombe mkoani Njombe, limegeuzwa maficho ya vibaka. Gharama halisi zilizotumika kujenga soko hilo, hazijajulikana. Soko hilo lilizinduliwa kwa matumizi ya biashara Novemba 10, 2011.

 

11 years ago

Mwananchi

Bado kuna maficho ya mabilioni Uswisi

Wakati kukiwa na taarifa zinazothibitisha kuendelea kwa utoroshaji wa fedha kwenda nje ya nchi, imebainika kuwa ni vigumu kumalizwa kwa tatizo hilo kutokana na ukweli kwamba uhai wa baadhi ya benki nchini Uswisi unategemea fedha haramu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani