Polisi wapambana na magaidi Tunisia
Vikosi vya usalama vimeizingira nyumba ambapo afisa wa polisi na washukiwa 2 wanaotuhumiwa kuwa wapiganaji wa kiislamu waliuawa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima23 Jun
Polisi wapambana na raia Sirari
POLISI mkoa wa Kipolisi Tarime na Rorya, wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya waandamaji katika katika mji mdogo wa Sirari kupinga mauaji ya kijana Tandeka Ryoba Mserega. Mserega anadaiwa kuuawa...
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Waandamanaji wapambana na Polisi Mexico
11 years ago
Habarileo12 Apr
Bodaboda, polisi wapambana saa 3
JESHI la Polisi mkoani Mbeya limelazimika kutumia mabomu ya machozi, kuwatawanya madereva wa pikipiki za kubeba abiria (bodaboda).
11 years ago
Mwananchi02 May
Wamachinga wapambana na polisi Kariakoo
11 years ago
BBCSwahili23 Apr
Polisi wapambana na waandamanaji Brazil
10 years ago
BBCSwahili26 May
Polisi wapambana na Al shabaab Kenya
10 years ago
Mtanzania19 Aug
Polisi, albino wapambana Dar
![Kamishna Suleiman Kova](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Suleiman-Kova.jpg)
Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova
NA SHABANI MATUTU
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limetumia mabomu ya machozi kuwatawanya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), waliokuwa wakizuia gari la polisi lililokuwa limebeba mtuhumiwa wa kutishia kuua albino kwa maneno.
Tukio hilo lilitokea jijini Dar es Salaam jana, ambako albino hao walivamia gari hilo na kuwataka askari polisi wamshushe ndani ya gari mtuhumiwa huyo aliyetambulika kwa jina la Ombeni...
10 years ago
Mtanzania21 May
Polisi wapambana na wananchi Njombe
Na Francis Godwin, Njombe
JESHI la Polisi jana lililazimika kutumia zaidi ya saa 5.00 kupambana na wananchi waliokuwa wakiandamana bila kibali wakitaka kuchukua maiti ya mmoja wa wakazi wa Njombe aliyedaiwa kuuawa kwa kupigwa risasi na askari wa jeshi hilo wakati wa msako wa wanywa pombe.
Mtu huyo inaelezwa alifariki dunia juzi na mwili wake kuhifadhiwa katika Hospitali ya Kibena.
Inaelezwa wananchi hao walikuwa wakiandamana kuuchukua mwili wa marehemu huyo na kuupeleka...