Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wamachinga wapambana na polisi Kariakoo

>Jeshi la Polisi limelazimika  kutumia mabomu ya machozi kuwaondoa wafanyabiashara ndogondogo (wamachinga) katika Soko Kuu la Kariakoo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi waondoa wamachinga Kariakoo

JESHI la Polisi limesema operesheni ya kuwaondoa wafanyabiashara ndogondogo ‘wamachinga’ kwenye maeneo yasiyo rasmi katika eneo la Kariakoo, Dar es Salaam imefanikiwa. Operesheni hiyo ilihusisha zaidi ya askari 200 wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mapambano yazuka Kariakoo kati ya wamachinga, polisi

>Mitaa ya Kariakoo imegeuka kuwa uwanja wa  mapambano baada ya polisi na wafanyabiashara ndogo ndogo, kushambuliana kwa mawe na mabomu ya machozi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Operesheni hii ianze na wamachinga Kariakoo

KUMEKUWA na mipango mingi inayotangazwa na serikali ya kuwaondoa wafanyabiashara (wamachinga) katika maeneo ambayo si rasmi jijini Dar es Salaam lakini hakuna utekelezaji.   Kutokana na kauli hizo zinazotolewa na viongozi...

 

10 years ago

Mtanzania

Dk. Slaa, polisi wapambana Dar

slaaNa Faraja asinde, Dar es salaam,

HALI ya tafrani ilizuka jijini Dar es Salaam jana, baina ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbrod Slaa na askari wa Jeshi la Polisi.
Hali hiyo ilijitokeza, baada ya askari polisi kumhoji kiongozi huyo wa chama kikuu cha upinzani nchini, hatua yake ya kufanya mkutano bila kibali.
Tafrani hiyo ambayo iliibuka katika eneo la Tegeta Gereji ilianza saa 11:50 jioni baada ya Dk. Slaa kuwasili katika eneo hilo na kuanza kuhutubia...

 

10 years ago

Mtanzania

Polisi, albino wapambana Dar

Kamishna Suleiman Kova

Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova

NA SHABANI MATUTU

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limetumia mabomu ya machozi kuwatawanya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), waliokuwa wakizuia gari la polisi lililokuwa limebeba mtuhumiwa wa kutishia kuua albino kwa maneno.

Tukio hilo lilitokea jijini Dar es Salaam jana, ambako albino hao walivamia gari hilo na kuwataka askari polisi wamshushe ndani ya gari mtuhumiwa huyo aliyetambulika kwa jina la Ombeni...

 

11 years ago

Habarileo

Bodaboda, polisi wapambana saa 3

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas KandoroJESHI la Polisi mkoani Mbeya limelazimika kutumia mabomu ya machozi, kuwatawanya madereva wa pikipiki za kubeba abiria (bodaboda).

 

11 years ago

Habarileo

Polisi wapambana na wajenzi wa barabara

POLISI wamefyatua risasi za moto, kuwatawanya wafanyakazi wa kampuni ya Aaarsleef/Bam International, inayojenga barabara Laela-Sumbawanga kwa kiwango cha lami.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waandamanaji wapambana na Polisi Mexico

Kitendawili hakijapata majibu kuhusu walipo Wanafunzi 43 waliopotea nchini Mexico

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani