Waandamanaji wapambana na Polisi Mexico
Kitendawili hakijapata majibu kuhusu walipo Wanafunzi 43 waliopotea nchini Mexico
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili23 Apr
Polisi wapambana na waandamanaji Brazil
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Polisi,waandamanaji wapambana Hong Kong
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7Mjb3aaC8YsII6bUim*aiDfdaBbBrAGY4O4uLbMxiYIc-bPbHRqQ9oR9f6OpyWfaomC-R5cAgIRxmoxudEIyg3IB/1.jpg)
VURUGU: POLISI WAPAMBANA NA WAANDAMANAJI HONG KONG
10 years ago
BBCSwahili26 May
Polisi wapambana na Al shabaab Kenya
11 years ago
Habarileo28 Apr
Polisi wapambana na wajenzi wa barabara
POLISI wamefyatua risasi za moto, kuwatawanya wafanyakazi wa kampuni ya Aaarsleef/Bam International, inayojenga barabara Laela-Sumbawanga kwa kiwango cha lami.
10 years ago
Mtanzania21 May
Polisi wapambana na wananchi Njombe
Na Francis Godwin, Njombe
JESHI la Polisi jana lililazimika kutumia zaidi ya saa 5.00 kupambana na wananchi waliokuwa wakiandamana bila kibali wakitaka kuchukua maiti ya mmoja wa wakazi wa Njombe aliyedaiwa kuuawa kwa kupigwa risasi na askari wa jeshi hilo wakati wa msako wa wanywa pombe.
Mtu huyo inaelezwa alifariki dunia juzi na mwili wake kuhifadhiwa katika Hospitali ya Kibena.
Inaelezwa wananchi hao walikuwa wakiandamana kuuchukua mwili wa marehemu huyo na kuupeleka...
11 years ago
Mwananchi02 May
Wamachinga wapambana na polisi Kariakoo
10 years ago
Mtanzania19 Aug
Polisi, albino wapambana Dar
![Kamishna Suleiman Kova](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Suleiman-Kova.jpg)
Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova
NA SHABANI MATUTU
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limetumia mabomu ya machozi kuwatawanya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), waliokuwa wakizuia gari la polisi lililokuwa limebeba mtuhumiwa wa kutishia kuua albino kwa maneno.
Tukio hilo lilitokea jijini Dar es Salaam jana, ambako albino hao walivamia gari hilo na kuwataka askari polisi wamshushe ndani ya gari mtuhumiwa huyo aliyetambulika kwa jina la Ombeni...