Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waandamanaji wapambana na Polisi Mexico

Kitendawili hakijapata majibu kuhusu walipo Wanafunzi 43 waliopotea nchini Mexico

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Polisi wapambana na waandamanaji Brazil

Kumezuka mapigano kati ya jeshi la polisi na wakaazi wenye hasira usiku kucha katika mojawapo ya viunga vya Rio de Janeiro.

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi,waandamanaji wapambana Hong Kong

Polisi na waandamanaji wanaodai demokrasia wamepambana mjini Hong Kong katika eneo linalozunguka makao makuu ya serikali.

 

10 years ago

GPL

VURUGU: POLISI WAPAMBANA NA WAANDAMANAJI HONG KONG

Polisi wakielekea kuwakabili waandamanaji mjiini Hong Kong. Polisi wakimtia nguvuni mmoja wa waandamanaji.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wapambana na Al shabaab Kenya

Maafisa wa polisi nchini Kenya wapambana na Wanamgambo wa Al shabaab

 

11 years ago

Habarileo

Polisi wapambana na wajenzi wa barabara

POLISI wamefyatua risasi za moto, kuwatawanya wafanyakazi wa kampuni ya Aaarsleef/Bam International, inayojenga barabara Laela-Sumbawanga kwa kiwango cha lami.

 

10 years ago

Mtanzania

Polisi wapambana na wananchi Njombe

Na Francis Godwin, Njombe

JESHI la Polisi jana lililazimika kutumia zaidi ya saa 5.00 kupambana na wananchi waliokuwa wakiandamana bila kibali wakitaka kuchukua maiti ya mmoja wa wakazi wa Njombe aliyedaiwa kuuawa kwa kupigwa risasi na askari wa jeshi hilo wakati wa msako wa wanywa pombe.

Mtu huyo inaelezwa alifariki dunia juzi na mwili wake kuhifadhiwa katika Hospitali ya Kibena.
Inaelezwa wananchi hao walikuwa wakiandamana kuuchukua mwili wa marehemu huyo na kuupeleka...

 

11 years ago

Mwananchi

Wamachinga wapambana na polisi Kariakoo

>Jeshi la Polisi limelazimika  kutumia mabomu ya machozi kuwaondoa wafanyabiashara ndogondogo (wamachinga) katika Soko Kuu la Kariakoo.

 

10 years ago

Mtanzania

Polisi, albino wapambana Dar

Kamishna Suleiman Kova

Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova

NA SHABANI MATUTU

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limetumia mabomu ya machozi kuwatawanya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), waliokuwa wakizuia gari la polisi lililokuwa limebeba mtuhumiwa wa kutishia kuua albino kwa maneno.

Tukio hilo lilitokea jijini Dar es Salaam jana, ambako albino hao walivamia gari hilo na kuwataka askari polisi wamshushe ndani ya gari mtuhumiwa huyo aliyetambulika kwa jina la Ombeni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani