Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majambazi yaua polisi, yachota mamilioni NMB Mkuranga

 Mkuranga. Majambazi watatu, wakiwa na silaha aina ya SMG, jana asubuhi waliua askari mmoja na kujeruhi watu wengine wawili na baadaye kupora bunduki na mamilioni ya fedha kwenye benki ya NMB, Tawi la Mkuranga  mkoani hapa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAJAMBAZI YAUA ASKARI NA KUPORA FEDHA BENKI YA NMB, MKURANGA

WATU wanaodhaniwa kuwa majambazi wamevamia Benki ya NMB tawi la Mkuranga mkoani Pwani na kupora fedha kisha kumuua askari mmoja. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Jafary Mohamed ameuthibitishia mtandao huu kutokea kwa tukio hilo na kwamba kwa sasa yupo njiani kuelekea eneo la tukio. "Taarifa hizo nimezipata kuwa watu hao wanaodhaniwa kuwa majambazi kuvamia Benki ya NMB, Mkuranga na kupora fedha ambazo kiasi chake bado...

 

11 years ago

Habarileo

Majambazi yaua polisi hotelini

ASKARI Polisi, Mohamed Mjomba (44) amepoteza maisha baada ya kushambuliwa na majambazi, waliovamia Hoteli ya Kitalii ya Pongwe Uroa Wilaya ya Kati Unguja.

 

11 years ago

Habarileo

Majambazi yaua Polisi wawili

ASKARI Polisi wawili kutoka Tarafa ya Usoke wilayani Urambo mkoani Tabora, wameuawa kwa kupigwa risasi na majambazi. Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi mkoani Tabora, Suzan Kaganda, alisema mauaji hayo yamefanyika juzi saa 2: 30 usiku katika kijiji cha Usoke wilayani Urambo.

 

10 years ago

Mwananchi

Majambazi yaua polisi mpelelezi Mbeya

Mbeya. Majambazi yamemuua polisi wa upelelezi, William Mtika (29) wa jijini hapa wakati wa mapambano kwenye tukio la kutaka kupora fedha za Kampuni ya Export And Trading eneo la Iwambi.

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi yaua majambazi wawili Dar

Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, wamefanikiwa kukamata silaha moja aina ya SMG namba BA172288 na risasi 10 wakati wa mapambano makali ya ana kwa ana kati ya polisi na majambazi.

 

10 years ago

Vijimambo

Majambazi yavamia, yaua polisi kituoni

Waliouawa wawili, yapora bunduki saba na risasi kibao, Ni tukio la tatu katika miezi saba, IGP atangaza bingo ya milioni 20/-Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu.
Matukio ya kuvamia, kuteka, kuwaua askari na kupora silaha katika vituo vya polisi, yameanza kushamiri nchini, hali inayoashiria hatari iliyopo kwa wananchi kwani sasa majambazi yameanza kuvigeuza vituo hivyo kuwa eneo la kujipatia silaha.

Katika kipindi cha miezi saba sasa kuanzia Juni, mwaka jana hadi Januari, mwaka huu,...

 

9 years ago

Habarileo

Polisi yaua majambazi hatari Arusha

WATU watatu wanaosadikiwa kuwa majambazi ambao ni raia wa Kenya pamoja na Mtanzania mmoja wameuawa katika mapambano na polisi yaliyotokea eneo la Chekereni mpakani mwa wilaya ya Arumeru na Jiji la Arusha.

 

11 years ago

Mwananchi

Majambazi yateka kituo cha polisi, yaua

Hili linawezekana kuwa ni tukio la kwanza na la aina yake. Majambazi wanaokisiwa kuwa sita, wakiwa na pikipiki tatu, juzi walivamia Kituo Kidogo cha Polisi Mkamba kilichopo Kimanzichana, Wilaya ya Mkuranga, Pwani na kuua askari mmoja na mgambo na kujeruhi mgambo mwingine na kisha kupora bunduki tano na risasi 60 usiku wa kuamkia juzi.

 

10 years ago

Mwananchi

Majambazi yateka kituo cha polisi, yaua askari wawili, yapora SMG tano

WATU 15 wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wakiwa na silaha za kivita na mabomu ya kurushwa kwa mkono wamevamia kituo cha polisi Ikwiriri  wilayani Rufiji Mkoani Pwani na kuua askari polisi wawili na kupora silaha tano za SMG na mbili za kufyatulia mabomu ya machozi zilizokuwepo kituo hapo na kutokomea kusikojulikana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani