Polisi yaua majambazi hatari Arusha
WATU watatu wanaosadikiwa kuwa majambazi ambao ni raia wa Kenya pamoja na Mtanzania mmoja wameuawa katika mapambano na polisi yaliyotokea eneo la Chekereni mpakani mwa wilaya ya Arumeru na Jiji la Arusha.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CrfMSzuE5d4vRC8Bj--8CuBlt0qGRbBJTj6Iq67TINQ8UndD9aPpnBUEkwovUU7NROehynsnpG3uHbSE*sCn-b17RoW-6Vrp/AUAWA2.jpg?width=650)
MAJAMBAZI YAUA ARUSHA
11 years ago
Habarileo30 Apr
Majambazi yaua Polisi wawili
ASKARI Polisi wawili kutoka Tarafa ya Usoke wilayani Urambo mkoani Tabora, wameuawa kwa kupigwa risasi na majambazi. Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi mkoani Tabora, Suzan Kaganda, alisema mauaji hayo yamefanyika juzi saa 2: 30 usiku katika kijiji cha Usoke wilayani Urambo.
11 years ago
Habarileo04 Mar
Majambazi yaua polisi hotelini
ASKARI Polisi, Mohamed Mjomba (44) amepoteza maisha baada ya kushambuliwa na majambazi, waliovamia Hoteli ya Kitalii ya Pongwe Uroa Wilaya ya Kati Unguja.
10 years ago
Mwananchi12 Jun
Majambazi yaua polisi mpelelezi Mbeya
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Polisi yaua majambazi wawili Dar
10 years ago
Vijimambo22 Jan
Majambazi yavamia, yaua polisi kituoni
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mangu-22Jan2015.jpg)
Matukio ya kuvamia, kuteka, kuwaua askari na kupora silaha katika vituo vya polisi, yameanza kushamiri nchini, hali inayoashiria hatari iliyopo kwa wananchi kwani sasa majambazi yameanza kuvigeuza vituo hivyo kuwa eneo la kujipatia silaha.
Katika kipindi cha miezi saba sasa kuanzia Juni, mwaka jana hadi Januari, mwaka huu,...
11 years ago
Michuzimajambazi yaua mpitanjia wakati wa uporaji arusha leo
Kunradhi kwa picha ya kusumbua hisia
Mtu mmoja ambaye hakufahamika jina lake mara moja ameuawa kwa kupigwa risasi na majambazi eneo na Clock Tower jijini Arusha.
Inasemekana majambazi hayo yalikuwa yakipora kwenye Bureau Change iitwayo Nothern ambapo marehemu alikuwa akipita jirani na eneo hilo na alipowaona alipiga kelele ndipo akafyatuliwa risasi kadhaa na kupoteza maisha.
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Majambazi yateka kituo cha polisi, yaua
10 years ago
Mwananchi27 Jun
Majambazi yaua polisi, yachota mamilioni NMB Mkuranga