Bado kuna maficho ya mabilioni Uswisi
Wakati kukiwa na taarifa zinazothibitisha kuendelea kwa utoroshaji wa fedha kwenda nje ya nchi, imebainika kuwa ni vigumu kumalizwa kwa tatizo hilo kutokana na ukweli kwamba uhai wa baadhi ya benki nchini Uswisi unategemea fedha haramu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Mabilioni Uswisi yachotwa
10 years ago
Raia Mwema15 Jul
Zitto, mabilioni ya Uswisi na Yeremia 5:21
KUNA wakati, Mwenyezi Mungu ametumia lugha inayoweza kuonekana kali kupitia maandiko yake matakat
Mwandishi Wetu
10 years ago
Mtanzania19 Feb
Mabilioni yaliyofichwa Uswisi yachunguzwa
Elias Msuya na mashirika ya habari ya kimataifa
WAENDESHA mashtaka nchini Uswisi wamevamia katika ofisi za benki ya HSBC iliyopo Geneva na kuanza kuhoji madai ya fedha zilizopo kinyume na sheria katika benki hiyo.
Hivi karibuni mtandao wa Swiss Leaks chini ya Waandishi wa Habari za Uchunguzi wa Kimataifa (ICIJ) ulifichua kuwepo kwa Watanzania 99 wenye akaunti za siri nchini humo zenye zaidi ya Sh 205 bilioni na kwamba Tanzania ni nchi ya 100 kwa nchi zenye fedha nyingi nchini Uswisi.
Hata...
10 years ago
Vijimambo27 Feb
Mabilioni yaliyofichwa Uswisi kutaifishwa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mwingulu-27Feb2015.jpg)
Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, amekoleza moto wa sakata la mabilioni ya fedha zinazodaiwa kufichwa benki nchini Uswisi kwa kuzitaka mamlaka zinazochunguza, kuzitaifisha ili zitumike kutekeleza miradi ya maendeleo nchini.
Nchemba alitoa wito huo jana wakati akizungumza katika mahojiano na kipindi cha Kumepambazuka kinachorushwa na Kituo cha Redio One nchini.
“Kuficha fedha nje ni uhujumu uchumi kwani fedha yeyote iliyofichwa nje ni lazima itakuwa...
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
Mabilioni ya Uswisi yaitesa serikali
SERIKALI imezidi kuweweseka juu ya kuweka hadharani taarifa ya Watanzania walioficha fedha nchini Uswisi, baada ya kamati iliyoundwa na Bunge kushindwa kutoa taarifa yake na kuomba muda zaidi wa kujiandaa....
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Kesi tano za mabilioni Uswisi zachunguzwa
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Zitto: Siwataji walioficha mabilioni Uswisi ng’o
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Zitto aanika majina mabilioni ya Uswisi
10 years ago
Vijimambo24 Feb
Mabilioni Uswisi: Ndullu, Masaju kiti moto Machi 9.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Zitto-24Feb2015.jpg)
Mbivu au mbichi za vigogo 99 wa Tanzania waliotajwa kuficha mabilioni ya fedha kwenye akaunti za siri nchini Uswiss zitajulikana hivi karibuni, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe, amesema.
Kwa mujibu wa Zitto, PAC imewaita Gavana wa Benki Kuu (BoT), Prof. Benno...