Sakata la IPTL kutinga bungeni Novemba 27
Ripoti ya ufisadi katika akaunti ya Escrow itawasilishwa bungeni Novemba 27, mwaka huu na kujadiliwa baada ya Kamati ya Uongozi ya Bunge kuridhia kwamba Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) inaweza kushughulikia suala hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Wataka sakata la IPTL bungeni
Bunge limetakiwa kuwachukulia hatua za kisheria wale wote waliohusika na sakata la IPTL, badala ya kupigia kelele jambo linalosababisha masuala muhimu yanayowahusu wananchi kutojadiliwa bungeni.
10 years ago
Vijimambo27 Nov
HII NDIO MAELEZO YA SERIKALI KUHUSU SAKATA LA IPTL NA TEGETA ESCROW ALIYOIWASILISHA BUNGENI LEO
TAARIFA YA WAZIRI WA NISHANI NA MADINI PROF.MUHONGO KUHUSIANA NA SAKATA LA IPTL NA TEGETA ESCROW ALIYOIWASILISHA BUNGENI LEO BONYEZA HAPA USOME TAARIFA KAMILI
10 years ago
GPLSOMA TAARIFA YA PROF.MUHONGO KUHUSIANA NA SAKATA LA IPTL NA TEGETA ESCROW ALIYOIWASILISHA BUNGENI LEO
Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo. TAARIFA YA WAZIRI WA NISHANI NA MADINI PROF.MUHONGO KUHUSIANA NA SAKATA LA IPTL NA TEGETA ESCROW ALIYOIWASILISHA BUNGENI LEO BONYEZA HAPA…
10 years ago
MichuziSAKATA LA ASKOFU GWAJIMA, MAASKOFU KUTINGA KWA IGP LEO KUMUOMBEA MSAMAHA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwIi57zG26LPAGySfa29Lkgq-Efih1r3Qf20h8q6pafEd6kfuyESiYJt97H2foHHG9tdm*qD9AOS9aUwG6L7VVxQ/fg.jpg?width=650)
SHERIA YA MATUMIZI YA MTANDAO KUTINGA BUNGENI
Na Elvan Stambuli
‘SARAKASI’ za Mkutano wa 19 wa Bunge la 10 zitaanza leo mjini Dodoma na imeelezwa kuwa ni maalum kwa ajili ya kushughulikia miswada ya sheria ikiwemo Sheria ya Makosa ya Mtandao (The Computer and Cyber Crimes Bill, 2015) na ya vyombo vya habari ambazo tayari zimetinga bungeni. Bunge la jamhuli ya muungano wa Tanzania. Kwa mujibu wa taarifa ya Idara ya Habari, Elimu kwa Umma na Uhusiano wa...
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Sakata la IPTL, sasa wanasiasa waonywa
Wanasiasa wametakiwa kukaa kimya na kusubiri matokeo ya ripoti ya IPTL itakayotolewa na Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru) na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG) watakapoendelea kuongea watasababisha kuchakachuliwa.
11 years ago
Mwananchi19 May
Sakata IPTL lazidi kuwavuruga wabunge
>Sakata la fedha za IPTL limechukua sura mpya baada ya baadhi ya wabunge kudai kurubuniwa na wenzao kwa fedha ili wakwamishe Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini, wakidai balozi mmoja yuko nyuma ya mpango huo.
10 years ago
GPLKAMPUNI YA VIP YAFAFANUA SAKATA LA IPTL
 Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea James Rugemalira akizungumza na waandishi wa habari pamoja na jopo la wanasheria kutoka Marekani (hawapo pichani kuhusu jambo hilo Dar es Salaam jana.  Mwanasheria maarufu kutoka Amterdam Holand, Dk. Camilo Schutte (kushoto), akitoa ufafanuzi wa kisheria kuhusu jambo hilo. Kulia ni Mmoja wa wakurugenzi wa kampuni ya VIP na Mabibo Beer Wines and Spirits Limited,… ...
10 years ago
Mwananchi21 Mar
Zitto: Tukutane ‘bungeni’ Novemba
Dar es Salaam. Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe amewaaga rasmi wabunge baada ya kuvuliwa uanachama wa Chadema na kuahidi kuwa “Mungu akipenda†atakuwa tena ndani ya chombo hicho cha kutunga sheria Novemba.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania