Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHERIA YA MATUMIZI YA MTANDAO KUTINGA BUNGENI

Na Elvan Stambuli
‘SARAKASI’ za Mkutano wa 19 wa Bunge la 10 zitaanza leo mjini Dodoma na imeelezwa kuwa ni maalum kwa ajili ya kushughulikia miswada ya sheria ikiwemo Sheria ya Makosa ya Mtandao (The Computer and Cyber Crimes Bill, 2015) na ya vyombo vya habari ambazo tayari zimetinga bungeni. Bunge la jamhuli ya muungano wa Tanzania. Kwa mujibu wa taarifa ya Idara ya Habari, Elimu kwa Umma na Uhusiano wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Ykileo

BUNGE LINATEGEMEA KUWASILISHA BUNGENI MUSWADA SHERIA ZA MAKOSA MTANDAO.

Wizara ya Mawasilano, Sayansi na Teknolojia ipo katika mkakati wa kuandaa muswada wa sheria za matumizi salama ya mtandao ili kukabiliana na changamoto za uhalifu kupitia mtandao.

Kupitishwa kwa miswada hiyo kuwa sheria kutapunguza hali ya kukithiri kwa matukio ya uhalifu wa kutumia mtandao, uvujaji wa taarifa za siri pamoja na upotevu wa haki miliki kutokana na kukosekana kwa sheria ya kudhibiti vitendo hivyo.

Miongoni mwa Miswada ya sheria itakayoandaliwa na Wizara hiyo ni pamoja na muswada...

 

10 years ago

Mwananchi

Sakata la IPTL kutinga bungeni Novemba 27

Ripoti ya ufisadi katika akaunti ya Escrow itawasilishwa bungeni Novemba 27, mwaka huu na kujadiliwa baada ya Kamati ya Uongozi ya Bunge kuridhia kwamba Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) inaweza kushughulikia suala hilo.

 

10 years ago

Michuzi

Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini watoa tamko didi ya muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao,2015

 Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini, Tanzania Bloggers Network (TBN) tunamuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete kutumia mamlaka yake vyema kwa kutokupitisha muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao, 2015 unaokandamiza uhuru wa mawasiliano mitandaoni.  Muswada wa sheria ya makosa ya Mtandaoni unaainisha makosa yanayohusiana na matumizi ya mfumo wa kompyuta na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, na kuweka utaratibu wa upelelezi, ukusanyaji na matumizi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Usawa wa matumizi ya mtandao kuangaziwa

Mwenyekiti wa shirika linalopigania haki ya mawasiliano nchini Marekani FCC amesema anapendekeza mikakati ya ulinzi wa mitandao

 

11 years ago

Habarileo

Kanuni kudhibiti matumizi ya mtandao

WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa amesema kuwa wizara yake inatayarisha Kanuni, zitakazodhibiti matumizi mabaya ya mtandao wa intaneti, ikiwemo uwekezaaji wa picha chafu mtandaoni.

 

5 years ago

Ykileo

UKUAJI WA MATUMIZI YA TEHAMA WAONGEZA UHALIFU MTANDAO

Mataifa mengi yameendelea kuwekeza katika sekta ya TEHAMA ili kurahisisha huduma mbali mbali kwa jamii za mataifa husika – Ikiwa ni pamoja na mawasiliano, huduma za Afya, kifedha na hata usafirishaji ambapo TEHAMA imekua ikitumika kwa kiwango cha juu zaidi tofauti na miaka iliyopita.


---------------------

UPDATE:Apple has addressed a glitch that caused some iPhones to unexpectedly start auto-correcting the letter "i" to a capital "A" and a question mark.

--------------------


Kuwepo na Kinacho...

 

5 years ago

Michuzi

TAASISI YA BASIC INTERNET FOUNDATION YAZUNGUMZIA MATUMIZI YA MTANDAO


Na Mwandishi Wetu,Michuzi TV

TASISI ya Basic Internet Foundation (BIF)imesema kwamba limetambua matumizi ya mtandao itakayosaiflla kukuza utangamano wa nchi rafiki.

Hayo yalibainishwa leo jijini Dar es Salaam na Katibu wa Internet Inclusion,Profesa Josef Noll alipokutana na wadau wa nchi nne ikiwemo mwenyeji wao Tanzania kwa lengo la kujadili umuhimu wa matuminzi ya internet hasa katika shule na vijijini.

Josef amesema ili kutambua matumizi ya internet yanayokuwa kwa kasi wakaona ...

 

9 years ago

GPL

SHERIA YA MTANDAO INAMFILISI 50

Mwanamuziki wa Hip Hop kutoka nchini Marekani, 50 Cent. WALE wanaopenda muziki wa Hip Hop au wanaofuatilia showbiz ya kimataifa wanafahamu vizuri jinsi 50 Cent alivyo na ‘sinema’ nyingi katika maisha yake. Moja kati ya mijengo anayomiliki 50 Cent. 50 Cent ambaye alikulia katika maisha ya kifukara kabla ya kupata utajiri mkubwa, amekuwa ni mtu wa kutawala katika vyombo vya habari kwa mambo tofauti, ikiwemo bifu, kutambia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani