Kanuni kudhibiti matumizi ya mtandao
WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa amesema kuwa wizara yake inatayarisha Kanuni, zitakazodhibiti matumizi mabaya ya mtandao wa intaneti, ikiwemo uwekezaaji wa picha chafu mtandaoni.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboUzinduzi wa kanuni ya kudhibiti matumizi ya misumeno ya moto
11 years ago
Habarileo14 Dec
Wafikiri kubadili kanuni kudhibiti utoro barazani
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho amesema kamati ya uongozi ya Baraza la Wawakilishi inatazamiwa kukaa na kuangalia uwezekano wa kubadilisha kanuni za Baraza kwa ajili ya kudhibiti utoro wa wajumbe ambao ulisababisha kikao kuahirishwa kwa dakika 15.
11 years ago
Mwananchi22 Dec
Serikali kudhibiti matumizi kemikali
10 years ago
Vijimambo28 Mar
MISWAADA KUDHIBITI MATUMIZI YA SIMU YAJA
Serikali ya Tanzania imesema mnamo mapema mwakani iyapeleka bungeni miswada mitatu ya sheria za usalama wa mtandao yenye lengo la kuongeza usalama wa matumizi ya huduma za kimtandao.Aidha, kumekuwa na jumla ya matukio ya makosa mbalimbali ya kimtandao yaliyoripotiwa Polisi kati ya 2012 hadi 2014, huku kesi 212 zenye watuhumiwa 132 zikifikishwa mahakamani.
Naibu Waziri wa Mawasilino,Sayansi na Teknolojia, January Makamba aliyasema hayo bungeni jana wakati akijibu swali la Mbunge...
10 years ago
MichuziSERIKALI KUDHIBITI MATUMIZI MABAYA YA TEHAMA.
5 years ago
MichuziMAHAKAMA YABORESHA MATUMIZI YA TEHAMA KUDHIBITI CORONA
TEHAMA
Mahakama ya Tanzania imesikiliza jumla ya mashauri 1,519 kupitia Mahakama Mtandao (Video Conferencing) kati ya Machi 23 hadi Aprili 21mwaka huu ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Jaji Mkuu wa Tanzania alilolitoa Machi 23 mwaka huu.
Ambapo akiitaka Mahakama kutumia Tekknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika kupambana na ugonjwa wa COVID 19 unaosababishwa na virusi vya Corona.
Mkurugenzi Msaidizi wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wa Mahakama...
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Sheria kudhibiti matumizi ya tindikali nchini yaiva
10 years ago
Mwananchi15 May
Wataalamu: Tanzania iwe na sera maalumu kudhibiti matumizi ya pombe
10 years ago
MichuziUmuhimu wa kudhibiti matumizi ya vyombo vya elektroniki kwa watoto na vijana
Zaidi ya asilimia 60 ya watoto wenye umri wa miaka 13 hadi 17 wanatumia zaidi ya masaa mawili kila siku kuangalia mitandao ya kijamii pamoja na vipindi mbalimbali vya Televisheni. Hii inaweza kuwa njia kubwa ya kuunganisha, lakini pia kuna hatari zinazohusiana na kutumia muda mwingi sana kwenye vyombo vya habari kijamii.
Leo hii ni nadra kukuta familia ambazo watoto na vijana wake hawajaathirika na vyombo vya habari na elektroniki kama vile televisheni, intaneti na michezo mingine tofauti...