Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kanuni kudhibiti matumizi ya mtandao

WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa amesema kuwa wizara yake inatayarisha Kanuni, zitakazodhibiti matumizi mabaya ya mtandao wa intaneti, ikiwemo uwekezaaji wa picha chafu mtandaoni.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

Uzinduzi wa kanuni ya kudhibiti matumizi ya misumeno ya moto

Baadhi ya misumeno ya moto iliokamatwa katika sehemu mbalimbali ambayo ikitumika katika kukata miti ikiwa imewekwa kusubiri kuangamizwa kwa moto katika Uzinduzi wa Kanuni ya kudhibiti na matumizi ya Misumeno ya moto Maruhubi mjini Zanzibar.Wafanyakazi wa Kilimo na mali ya Asili wakikusanya kuni kwa ajili ya kuichoma moto Misumeno ya moto iliokamatwa sehemu mbalimbali katika Uzinduzi wa Kanuni ya kudhibiti na matumizi ya Misumeno ya moto Maruhubi mjini Zanzibar.Mkurugenzi wa Idara ya Misitu...

 

11 years ago

Habarileo

Wafikiri kubadili kanuni kudhibiti utoro barazani

Pandu Ameir KifichoSPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho amesema kamati ya uongozi ya Baraza la Wawakilishi inatazamiwa kukaa na kuangalia uwezekano wa kubadilisha kanuni za Baraza kwa ajili ya kudhibiti utoro wa wajumbe ambao ulisababisha kikao kuahirishwa kwa dakika 15.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali kudhibiti matumizi kemikali

>Katika kupambana na matumizi mabaya ya kemikali, Serikali inaandaa kanuni zitakazosimamia matumizi mabaya ya kemikali hizo hapa nchini.

 

10 years ago

Vijimambo

MISWAADA KUDHIBITI MATUMIZI YA SIMU YAJA

26 March 2015.
Serikali ya Tanzania imesema mnamo mapema mwakani iyapeleka bungeni miswada mitatu ya sheria za usalama wa mtandao yenye lengo la kuongeza usalama wa matumizi ya huduma za kimtandao.Aidha, kumekuwa na jumla ya matukio ya makosa mbalimbali ya kimtandao yaliyoripotiwa Polisi kati ya 2012 hadi 2014, huku kesi 212 zenye watuhumiwa 132 zikifikishwa mahakamani.
Naibu Waziri wa Mawasilino,Sayansi na Teknolojia, January Makamba aliyasema hayo bungeni jana wakati akijibu swali la Mbunge...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI KUDHIBITI MATUMIZI MABAYA YA TEHAMA.

 Makamu Mkuu wa Chuo cha Bagamoyo.Profesa Costa Mahalu akizungumza na waandishi wa habari leo juu ya utumiaji wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) katika semina iliyofanyika leo katika hoteli ya New Afrika,Jijini Dar es Salaam.Katibu Mkuu wa Wizara ya Sayansi,Teknolojia na Mawasiliano,Profesa Patrick Makungu akizungumza na waandishi wa habari leo juu ya utumiaji wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) katika semina iliyofanyika leo katika hoteli ya New Afrika,Jijini Dar es...

 

5 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YABORESHA MATUMIZI YA TEHAMA KUDHIBITI CORONA

Na Magreth Kinabo- Mahakama
TEHAMA

Mahakama ya Tanzania imesikiliza jumla ya mashauri 1,519 kupitia Mahakama Mtandao (Video Conferencing) kati ya Machi 23 hadi Aprili 21mwaka huu ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Jaji Mkuu wa Tanzania alilolitoa Machi 23 mwaka huu.

Ambapo akiitaka Mahakama kutumia Tekknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika kupambana na ugonjwa wa COVID 19 unaosababishwa na virusi vya Corona.

Mkurugenzi Msaidizi wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wa Mahakama...

 

11 years ago

Mwananchi

Sheria kudhibiti matumizi ya tindikali nchini yaiva

Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali, imekamilisha kazi ya kufanya mapitio ya kanuni na sheria za kemikali za mwaka 2012, kilichosalia ni mapitio hayo kuwekwa sawa na wataalamu wa sheria kabla haijaidhinishwa kwa ajili ya kutumiwa, kudhibiti ajali zitokanazo na kemikali.

 

10 years ago

Mwananchi

Wataalamu: Tanzania iwe na sera maalumu kudhibiti matumizi ya pombe

Ni kawaida kushuhudia watu wengi, hasa nyakati za jioni, wakijiburudisha kwa kunywa pombe maeneo mbalimbali. Kuwapo kwa baa katika maeneo mengi nchini ni uthibitisho kuwa ni biashara yenye wateja wengi. Pombe zipo za aina nyingi kuanzia vinywaji vikali, yaani vyenye kiwango kikubwa cha kilevi pamoja na vile vya wastani.

 

10 years ago

Michuzi

Umuhimu wa kudhibiti matumizi ya vyombo vya elektroniki kwa watoto na vijana


Zaidi ya asilimia 60 ya watoto wenye umri wa miaka 13 hadi 17 wanatumia zaidi ya masaa mawili kila siku kuangalia mitandao ya kijamii pamoja na vipindi mbalimbali vya Televisheni. Hii inaweza kuwa njia kubwa ya kuunganisha, lakini pia kuna hatari zinazohusiana na kutumia muda mwingi sana kwenye vyombo vya habari kijamii.
Leo hii ni nadra kukuta familia ambazo watoto na vijana wake hawajaathirika na vyombo vya habari na elektroniki kama vile televisheni, intaneti na michezo mingine tofauti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani