Wataalamu: Tanzania iwe na sera maalumu kudhibiti matumizi ya pombe
Ni kawaida kushuhudia watu wengi, hasa nyakati za jioni, wakijiburudisha kwa kunywa pombe maeneo mbalimbali. Kuwapo kwa baa katika maeneo mengi nchini ni uthibitisho kuwa ni biashara yenye wateja wengi. Pombe zipo za aina nyingi kuanzia vinywaji vikali, yaani vyenye kiwango kikubwa cha kilevi pamoja na vile vya wastani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 Aug
Serikali yashauriwa kutunga sera ya kudhibiti pombe
Banda la Mtandao wa mashirika yapatayo 30 ya kupambana na matumizi ya kupita kiasi ya pombe nchini (Tanzania Network Against Alcohol Abuse) kwenye maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog).
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI imeshauriwa kutunga sera madhubuti ya udhibiti wa pombe katika jamii ili pamoja na mambo mengine kuhakikisha vijana wanalindwa dhidi ya bidhaa hiyo kwenye soko.
Akizungumza na Moblog Tanzania jijini Dar es Salaam katika viwanja vya...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0279.jpg)
SERIKALI YASHAURIWA KUTUNGA SERA YA KUDHIBITI POMBE
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/NuRISITRVTs/default.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
‘Sera ya gesi iwe wazi kwa wananchi’
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba amewataka wajumbe kutoka taasisi mbalimbali kuwa wawazi kwa wananchi katika utungaji wa sera ya upatikanaji wa gesi asilia na petroli. Prof....
10 years ago
Habarileo15 Aug
Mkapa: Sera ya gesi wapewe wataalamu
RAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ametaka suala la utungaji sera za nchi katika mafuta na gesi, washirikishwe zaidi wanasayansi na wataalamu wa jiolojia badala ya kuachiwa wanasiasa. Amesema wataalamu hao wana mchango mkubwa na wamefanya utafiti mbalimbali, hivyo wanapaswa wasipuuzwe.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GXfHCFk2tdw/Xql5GcDw4OI/AAAAAAALokA/6M8S0vaTPZ0TQPHSyzjn2Ezndgvn3oX7wCLcBGAsYHQ/s72-c/022.jpg)
Wataalamu wa tiba ya usingizi Mloganzila wahitimu mafunzo maalumu
![](https://1.bp.blogspot.com/-GXfHCFk2tdw/Xql5GcDw4OI/AAAAAAALokA/6M8S0vaTPZ0TQPHSyzjn2Ezndgvn3oX7wCLcBGAsYHQ/s640/022.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kEqPtLnNYzA/Xql5F3NEd7I/AAAAAAALoj8/MmyKIs95BfoXkReYfXNkFuf-RydJi2XHQCLcBGAsYHQ/s640/01.jpg)
5 years ago
BBCSwahili11 Mar
Coronavirus: Uganda yazindua sera mpya ya usafiri kudhibiti maambukizi
11 years ago
Habarileo10 Jun
Kanuni kudhibiti matumizi ya mtandao
WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa amesema kuwa wizara yake inatayarisha Kanuni, zitakazodhibiti matumizi mabaya ya mtandao wa intaneti, ikiwemo uwekezaaji wa picha chafu mtandaoni.
11 years ago
Mwananchi22 Dec
Serikali kudhibiti matumizi kemikali