Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkapa: Sera ya gesi wapewe wataalamu

RAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ametaka suala la utungaji sera za nchi katika mafuta na gesi, washirikishwe zaidi wanasayansi na wataalamu wa jiolojia badala ya kuachiwa wanasiasa. Amesema wataalamu hao wana mchango mkubwa na wamefanya utafiti mbalimbali, hivyo wanapaswa wasipuuzwe.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mkapa ‘awapigia debe’ wataalamu wazawa

Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin MkapaRAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ameitaka Wizara ya Ujenzi kuweka mazingira mazuri ya kuwawezesha wataalamu wa ndani kuweza kupata fursa za kushiriki katika ujenzi wa miradi mikubwa ili kuiongezea nchi mapato.

 

10 years ago

Mwananchi

Wataalamu: Tanzania iwe na sera maalumu kudhibiti matumizi ya pombe

Ni kawaida kushuhudia watu wengi, hasa nyakati za jioni, wakijiburudisha kwa kunywa pombe maeneo mbalimbali. Kuwapo kwa baa katika maeneo mengi nchini ni uthibitisho kuwa ni biashara yenye wateja wengi. Pombe zipo za aina nyingi kuanzia vinywaji vikali, yaani vyenye kiwango kikubwa cha kilevi pamoja na vile vya wastani.

 

11 years ago

Habarileo

Tanzania kuongoza Afrika wataalamu wa gesi

UTEKELEZAJI wa ahadi ya Rais Jakaya Kikwete, ya kumwachia mrithi wake mazingira ya kuongoza nchi tajiri, umeanza kutoa mwanga, ambapo Tanzania sasa inajiandaa kuongoza Afrika kwa kuwa na wataalamu wazawa wa mafuta na gesi.

 

10 years ago

Mwananchi

Hisia tofauti kuhusu wataalamu wa gesi

Inawezekana hofu ya Watanzania kuhusu udhaifu wa mikataba ya gesi asilia inachochewa na idadi ndogo ya wataalamu, mabadiliko ya sayansi na teknolojia katika taaluma hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanzania yasaidiwa kusomesha wataalamu wa gesi

UMOJA wa Ulaya umeisaidia Serikali ya Tanzania katika sekta ya elimu kwa lengo la kupata wataalamu katika sekta ya gesi na petroli ambao kwa sasa wapo wachache. Waziri wa Nishati...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mzumbe Dar kusomesha wataalamu gesi, mafuta

CHUO Kikuu Mzumbe, Kampasi ya Dar es Salaam, kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Stellenbosch, Afrika ya Kusini, kinaandaa mitaala ya programu ya shahada ya uzamili katika menejimenti ya miradi...

 

9 years ago

Michuzi

Wataalamu wa Gesi wametakiwa kujifunza kwa Mkandarasi

Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omar Chambo (kulia) akimsikiliza Meneja wa Kampuni ya GASCO, Mhandisi Mhandisi Kapuulya Musomba (katikati). Wa Kwanza kushoto ni Naibu Katibu Mkuu, Mhandisi Paul Masanja. Kituo cha Kuchakata Gesi Asilia cha Madimba Baadhi ya mitambo kwenye Kituo cha kuchakata Gesi Asilia cha Madimba. Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omar Chambo (kushoto) na Naibu wake, Mhandisi Paul Masanja mara baada ya kukagua Kituo cha Kuchakata Gesi...

 

11 years ago

Habarileo

Chuo Kikuu Mzumbe kufunda wataalamu mafuta na gesi

Prof. Joseph KuzilwaCHUO Kikuu Mzumbe, Kampasi ya Dar es Salaam, kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Stellenbosch, cha Afrika Kusini kinaandaa mitaala ya programu ya shahada ya uzamili katika menejimenti ya miradi mikubwa ya sekta za madini, gesi na mafuta.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani