Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkapa aruka matokeo ya sera yake Ubinafsishaji

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mkapa: Sera ya gesi wapewe wataalamu

RAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ametaka suala la utungaji sera za nchi katika mafuta na gesi, washirikishwe zaidi wanasayansi na wataalamu wa jiolojia badala ya kuachiwa wanasiasa. Amesema wataalamu hao wana mchango mkubwa na wamefanya utafiti mbalimbali, hivyo wanapaswa wasipuuzwe.

 

10 years ago

Habarileo

Jeshi la Magereza laandaa sera yake

Kamishna Jenerali wa Magereza, John MinjaJESHI la Magereza nchini linaandaa Sera yake ya Taifa ili kuleta ufanisi katika utendaji kazi na pia kuboresha huduma zake kwa askari wake na wafungwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Apple music yabadili sera yake ya malipo

Huduma ya Apple music imebadilisha sera ya malipo yake ,siku moja baada ya msanii Taylor Swift kusema kuwa ataizuia kampuni hiyo kucheza mziki wa albamu yake 1989.

 

11 years ago

Mwananchi

Umakini unahitajika ubinafsishaji kinu cha NMC

Mchakato wa kukibinafsisha kinu cha Shirika la Usagishaji la Taifa (NMC), Tawi la Arusha ambacho ni pekee kimesalia mikononi mwa umma kati ya vinu zaidi ya 12 vilivyokuwapo katika mikoa mbalimbali nchini, unaendelea.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola na matokeo yake

Sierra Leone imeshutumu uamuzi wa Australia kusitisha utoaji visa kwa Africa Magharibi kutokana na ugonjwa wa Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool yaimarisha matokeo yake

Bao la kipindi cha kwanza lililofungwa na mchezaji Lazar Markovic lilitosha kuipa ushindi Liverpool dhidi ya Sunderland

 

10 years ago

Michuzi

MH. PINDA AKUTANA NA MZEE MKAPA NA MAMA ANNA MKAPA JIJINI MWANZA

PG4A2748Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na  Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa na mkewe Mama Anna Mkapa kwenye Ikulu ya Mwanza  ambako atakuwa  mgeni rasmi katiaka harambee ya Mkapa Foundation inayotarajiwa kufanyika  jijini Mwanza.
PG4A2753Waziri Mkuu Mizengo  Pinda akizungumza na  Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa na mkewe Mama Anna Mkapa kwenye Ikulu ya Mwanza  ambako  atakuwa   mgeni rasmi katiaka harambee ya Mkapa Foundation inayotarajiwa kufanyika  jijini Mwanza. (Picha na Ofisi ya Waziri...

 

9 years ago

StarTV

Wakazi Isunga Nzega wailalamikia Serikali Ubinafsishaji Mgodi Wa Kijiji

Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Isunga wilayani Nzega mkoani Tabora wanaojihusisha na uchimbaji mdogo wa dhahabu wameilalamikia Serikali ya kijiji kwa kutaka kuubinafsisha mgodi huo kwa kampuni ya uwekezaji ya Duva bila kutoa taarifa rasmi kwa wananchi.

Hofu hiyo inakuja baada ya kuona kampuni ya Duva ikiingia mkataba na kijiji hicho wa kuchenjua mchanga wa dhahabu bila wananchi kupewa taarifa kama sheria za Serikali za mitaa zinavyoelekeza.

Shuguli kubwa za kiuchumi katika kijiji hicho ni...

 

9 years ago

Mwananchi

ZEC yafuta uchaguzi na matokeo yake Zanzibar

Tume ya Uchaguzi Zanzibar leo imetangaza kufuta uchaguzi na matokeo yake kwa kile ilichosema ni kuwa uchaguzi huo umegubikwa na ukiukwaji na taratibu za sheria za uchaguzi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani