Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Liverpool yaimarisha matokeo yake

Bao la kipindi cha kwanza lililofungwa na mchezaji Lazar Markovic lilitosha kuipa ushindi Liverpool dhidi ya Sunderland

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MATOKEO EPL LEO: LIVERPOOL WASHIKA USUKANI

Wachezaji wa Liverpool wakimpongeza Luis Suarez (wa pili kulia) baada ya kuwafungia moja ya bao dhidi ya Cardiff leo Jesus Navas akishangilia bao la tatu aliloifungia Manchester City dhidi ya Fulham leo.…

 

11 years ago

GPL

MATOKEO RAUNDI YA 3 KOMBE LA FA: LIVERPOOL, CHELSEA ZAPETA, MAN UTD HOI

Wilfried Bony wa Swansea baada ya kufunga bao la pili na la ushindi dhidi ya Manchester United.
Mchezaji wa Manchester United, Danny Welbeck, akiwa kichwa chini miguu juu wakati wa mtanange huo uliomalizika kwa Swansea kushinda 2-1. Manchester United 1-2 Swansea City…

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola na matokeo yake

Sierra Leone imeshutumu uamuzi wa Australia kusitisha utoaji visa kwa Africa Magharibi kutokana na ugonjwa wa Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kocha wa Liverpool ahofia hatma yake

Mkufunzi wa timu ya liverpool Brendan Rodgers amesema kuwa anakabiliwa na tishio la kufutwa kutokana na msururu wa matokeo mabaya.

 

9 years ago

Mwananchi

ZEC yafuta uchaguzi na matokeo yake Zanzibar

Tume ya Uchaguzi Zanzibar leo imetangaza kufuta uchaguzi na matokeo yake kwa kile ilichosema ni kuwa uchaguzi huo umegubikwa na ukiukwaji na taratibu za sheria za uchaguzi.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mtemvu atinga Mahakama Kuu kusikiliza kesi yake ya kupinga matokeo ya uchaguzi

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu (wa pili kulia) akitoka nje ya Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, kusikiliza kesi yake ya kupinga matokeo ya uchaguzi yaliyomtangaza Abdallah Mtolea (CUF) kuwa  Mbunge wa jimbo hilo Dar es Salaam. kulia ni msemaji wa wa Timu ya Simba Haji Manara (PICHA ZOTE  NA KHAMISI MUSSA) Mmliliki wa ujijirahaa blog. Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu kulia akitoka nje ya Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam,...

 

9 years ago

Bongo5

Fabregas hajui nini tatizo katika klabu yake Chelsea kuhusu matokeo mabaya

Fabregas

Kiungo Cesc Fabregas wa Chelsea na timu ya taifa ya Hispania ameelezea hasira kutokana na matokeo duni ya klabu ya Chelsea msimu huu kwao umekua mbaya sana na kwamba hajui nini kinaenda vibaya katika kikosi hicho cha kocha Jose Mourinho.

Fabregas

Akiongea kwa uchungu sana na Gazeti la kihispania Marca., Cesc ameonesha kukasirishwa sana na jinsi msimu unavyoenda huku akisema matokeo hayawatendei haki kwani wanacheza vizuri kuliko matokeo wanayopata uwanjani.

”Kwa hakika sifahamu ninikimetusibu msimu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani