Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola na matokeo yake

Sierra Leone imeshutumu uamuzi wa Australia kusitisha utoaji visa kwa Africa Magharibi kutokana na ugonjwa wa Ebola.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool yaimarisha matokeo yake

Bao la kipindi cha kwanza lililofungwa na mchezaji Lazar Markovic lilitosha kuipa ushindi Liverpool dhidi ya Sunderland

 

9 years ago

Mwananchi

ZEC yafuta uchaguzi na matokeo yake Zanzibar

Tume ya Uchaguzi Zanzibar leo imetangaza kufuta uchaguzi na matokeo yake kwa kile ilichosema ni kuwa uchaguzi huo umegubikwa na ukiukwaji na taratibu za sheria za uchaguzi.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mtemvu atinga Mahakama Kuu kusikiliza kesi yake ya kupinga matokeo ya uchaguzi

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu (wa pili kulia) akitoka nje ya Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, kusikiliza kesi yake ya kupinga matokeo ya uchaguzi yaliyomtangaza Abdallah Mtolea (CUF) kuwa  Mbunge wa jimbo hilo Dar es Salaam. kulia ni msemaji wa wa Timu ya Simba Haji Manara (PICHA ZOTE  NA KHAMISI MUSSA) Mmliliki wa ujijirahaa blog. Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu kulia akitoka nje ya Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam,...

 

9 years ago

Bongo5

Fabregas hajui nini tatizo katika klabu yake Chelsea kuhusu matokeo mabaya

Fabregas

Kiungo Cesc Fabregas wa Chelsea na timu ya taifa ya Hispania ameelezea hasira kutokana na matokeo duni ya klabu ya Chelsea msimu huu kwao umekua mbaya sana na kwamba hajui nini kinaenda vibaya katika kikosi hicho cha kocha Jose Mourinho.

Fabregas

Akiongea kwa uchungu sana na Gazeti la kihispania Marca., Cesc ameonesha kukasirishwa sana na jinsi msimu unavyoenda huku akisema matokeo hayawatendei haki kwani wanacheza vizuri kuliko matokeo wanayopata uwanjani.

”Kwa hakika sifahamu ninikimetusibu msimu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Liberia sasa kufungua mipaka yake

Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf anasema kuwa mipaka ya nchi yake itafunguliwa kesho Jumapili baada ya kufungwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Liberia sasa yafungua mipaka yake

Mipaka ya Liberia imefunguliwa rasmi, miezi 7 baada ya kufungwa kwa sababu ya janga la ebola.

 

10 years ago

Vijimambo

Lemutuz: Aliyevuruga Matokeo ya Jana Tuzo za Watu Yupo Busy Pia Kuvuruga Matokeo ya KTMA, Nitamtaja Laivu


lemutuz_nation 'Well, huwa ninaongea na FACTS with EVIDENCE toka jana Usiku nimesema I smell fish kama nilivyo smell Fishy kwenye matokeo ya Miss Tanzania ya Mwaka jana kuna wajinga akili ndogo walioanza kunirushia matusi LE AKILI KUBWAZZZZ now ninasema jana HAKI HAIKUTENDEKA kuna wanaojaribu kuninyamazisha na matusi...great ninarudia tena sikuenda Shule kuwa mjinga so toka jana niliingia kwenye uchunguzi wa FACTS and EVIDENCE of WHO IS BEHIND LAST NIGHT MESS tayari nimeshaanza kupata...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani