Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola:Liberia sasa yafungua mipaka yake

Mipaka ya Liberia imefunguliwa rasmi, miezi 7 baada ya kufungwa kwa sababu ya janga la ebola.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Liberia sasa kufungua mipaka yake

Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf anasema kuwa mipaka ya nchi yake itafunguliwa kesho Jumapili baada ya kufungwa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Ebola: World Bank Group Provides New Financing to Help Guinea, Liberia and Sierra Leone Recover from Ebola Emergency

World Bank President Jim Yong Kim speaks during a news conference in New Delhi March 13, 2013. REUTERS/B Mathur (INDIA - Tags: BUSINESS)

New GDP Estimates Show International Support Vital to Speed Recovery

The World Bank Group (WBG) announced today that it would provide at least US$650 million during the next 12 to 18 months to help Guinea, Liberia and Sierra Leone recover from the devastating social and economic impact of the Ebola crisis and advance their longer-term development needs. The new WBG pledge brings the organization’s total financing for Ebola response and recovery efforts to date to US$1.62 billion.

The...

 

10 years ago

KwanzaJamii

SERIKALI KUFUNGA MIPAKA ITAKAPOBIDI KUJIHAMI NA EBOLA

Serikali imesema haipo tayari kufunga mipaka yake kwa sasa kuzuia wananchi wa nchi zinazo kabiliwa na ugonjwa wa ebola kuingia nchini kama Kenya ilivyo fanya mpaka itakapopata ushauri wa kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO). Kauli hiyo ilitolewa  jana jijini Dar es Salaam na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashidi, alipozungumza na   NIPASHE.Kwa sasa ugonjwa wa ebola umezitikisa nchi kadhaa za Afrika Magharibi huku ikiripotiwa kuwa takribani watu zaidi ya 400 nchini...

 

11 years ago

Mwananchi

Ofisi ya Msajili iheshimu mipaka yake

Tumesikitishwa na mgogoro kati ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kiasi cha viongozi wake kudai ofisi hiyo inatumiwa na wasaliti wa chama hicho kutaka kukivuruga.

 

10 years ago

BBCSwahili

Africa kusini yafunga Mipaka yake

Nchi ya Africa Kusini inafunga mipaka yake kwa wasafiri kutoka katika nchi za Liberia,Guine na Sierra Leone.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uturuki yafunga baadhi ya mipaka yake

Uturuki imefunga baadhi ya mipaka yake na nchi ya Syria kuhofia idadi kubwa ya jamii ya kikurdi kutoka Syria

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge Maalumu la Katiba liheshimu mipaka yake

>Wakati Bunge Maalumu la Katiba likitarajiwa kuanza kikao chake Jumanne ijayo mjini Dodoma kujadili na hatimaye kupitisha Rasimu ya Katiba Mpya, Jaji Joseph Warioba ambaye ni Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyoandaa Rasimu hiyo ametoa angalizo muhimu kwa Bunge hilo kuzingatia kanuni na hadidu za rejea katika kutimiza majukumu yake

 

11 years ago

Habarileo

Liberia yaelemewa na ebola

WAZIRI wa Habari nchini Liberia amekiri kuwa mfumo wa huduma za afya, umezidiwa kutokana na kasi ya kusambaa kwa virusi vya ugonjwa wa ebola nchini humo.

 

10 years ago

BBC

VIDEO: WHO: Ebola in Liberia 'now over'

The World Health Organisation has declared Liberia free of Ebola, after the country reached the milestone of no new cases in 42 days.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani