Africa kusini yafunga Mipaka yake
Nchi ya Africa Kusini inafunga mipaka yake kwa wasafiri kutoka katika nchi za Liberia,Guine na Sierra Leone.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili22 Sep
Uturuki yafunga baadhi ya mipaka yake
5 years ago
BBCSwahili16 May
Virusi vya corona: Kenya yafunga mipaka yake Tanzania na Somalia kwa siku 30
10 years ago
Mtanzania18 Apr
Vurugu Afrika Kusini zavuka mipaka
Durban, Afrika Kusini
LICHA ya Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma kulaani vurugu zinazoendelea nchini humo dhidi ya wageni (xenophobia), vurugu hizo zimezidi kupamba moto na sasa zimevuka mipaka ya nchi hiyo.
Wakati vurugu zikiendelea kwa wenyeji kuvamia na kuiba kwenye maduka ya raia wa kigeni katika hali ambayo imeonesha kama ni kulipa kisasi, raia wa Afrika Kusini wanaoishi na kufanya biashara katika nchi za Msumbiji na Zimbabwe siku nzima ya jana baadhi yao wameanza kushambuliwa.
Taarifa...
9 years ago
BBCSwahili14 Oct
Uchumi yafunga maduka yake TZ na UG
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Ukraine yafunga anga yake kwa Urusi
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HfIXzVrPfI07a0mvALdtJcyMVoyDVMZVuylrG9wbkRCZ1j8MFZecSCTOUirT5KNSqmuNF7myTCVqztj*-fCLUotaF27OJJ8j/uchumi2.jpg)
UCHUMI YAFUNGA MADUKA YAKE TANZANIA NA UGANDA
11 years ago
Mwananchi03 Jul
Ofisi ya Msajili iheshimu mipaka yake
5 years ago
BBCSwahili30 May
Virusi vya corona: Korea Kusini yafunga shule tena baada ya maambukizi kuongezeka zaidi
10 years ago
BBCSwahili21 Feb
Ebola:Liberia sasa kufungua mipaka yake