Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uturuki yafunga baadhi ya mipaka yake

Uturuki imefunga baadhi ya mipaka yake na nchi ya Syria kuhofia idadi kubwa ya jamii ya kikurdi kutoka Syria

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Africa kusini yafunga Mipaka yake

Nchi ya Africa Kusini inafunga mipaka yake kwa wasafiri kutoka katika nchi za Liberia,Guine na Sierra Leone.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kenya yafunga mipaka yake Tanzania na Somalia kwa siku 30

Rais Uhuru Kenyatta ametangaza kufungwa kwa mipaka ya nchi yake kwa kipindi cha muda wa siku 30

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Mahakama Kenya yafunga baadhi ya shughuli zake

Sekta ya mahakama nchini Kenya imechukua hatua ya kufunga baadhi ya shughuli zake kufuatia taarifa ya kupatikana na mtu wa Kwanza mwenye virusi vya corona nchini humo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uchumi yafunga maduka yake TZ na UG

Maduka ya jumla ya Uchumi yametangaza kufungwa kwa oparesheni zake nchini Tanzania na Uganda katika zoezi la kubana matumizi .

 

9 years ago

BBCSwahili

Ukraine yafunga anga yake kwa Urusi

Ukraine imefunga anga yake kwa ndege zote za Urusi kufuatia mzozo kuhusu kukatizwa kwa kawi ya jimbo la Crimea

 

9 years ago

GPL

UCHUMI YAFUNGA MADUKA YAKE TANZANIA NA UGANDA

Uchumi Supermarket Makumbusho.  MADUKA ya jumla ya Uchumi yametangaza kufungwa kwa oparesheni zake nchini Tanzania na Uganda katika zoezi la kubana matumizi . Mkurugenzi mkuu wa maduka hayo Dr.Julius Kipng'etich amesema kuwa bodi yake imeamua kufunga vituo hivyo kwa lengo la kutathmini muundo wa oparesheni zake nchini Kenya. ''Maduka yetu nchini Tanzania na Uganda yanajumlisha asilimia 4.75 ya oparesheni zetu licha ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Ofisi ya Msajili iheshimu mipaka yake

Tumesikitishwa na mgogoro kati ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kiasi cha viongozi wake kudai ofisi hiyo inatumiwa na wasaliti wa chama hicho kutaka kukivuruga.

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge Maalumu la Katiba liheshimu mipaka yake

>Wakati Bunge Maalumu la Katiba likitarajiwa kuanza kikao chake Jumanne ijayo mjini Dodoma kujadili na hatimaye kupitisha Rasimu ya Katiba Mpya, Jaji Joseph Warioba ambaye ni Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyoandaa Rasimu hiyo ametoa angalizo muhimu kwa Bunge hilo kuzingatia kanuni na hadidu za rejea katika kutimiza majukumu yake

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Liberia sasa kufungua mipaka yake

Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf anasema kuwa mipaka ya nchi yake itafunguliwa kesho Jumapili baada ya kufungwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani