SERIKALI KUFUNGA MIPAKA ITAKAPOBIDI KUJIHAMI NA EBOLA
Serikali imesema haipo tayari kufunga mipaka yake kwa sasa kuzuia wananchi wa nchi zinazo kabiliwa na ugonjwa wa ebola kuingia nchini kama Kenya ilivyo fanya mpaka itakapopata ushauri wa kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO). Kauli hiyo ilitolewa jana jijini Dar es Salaam na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashidi, alipozungumza na NIPASHE.Kwa sasa ugonjwa wa ebola umezitikisa nchi kadhaa za Afrika Magharibi huku ikiripotiwa kuwa takribani watu zaidi ya 400 nchini...
KwanzaJamii
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog21 Feb
WHO yatoa vifaa vya dola za Marekani 46,000 kwa serikali ya Tanzania kujihami na Ebola
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (HWO) nchini, Rutaro Chatora (kulia), akimkabidhi Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando, moja ya kompyuta na baadhi ya vifaa tiba vyenye thamani ya dola za Marekani 46,000 vilivyotolewa na WHO kwa Serikali ya Tanzania Dar es Salaam jana, kwa ajili ya maandalizi ya udhibiti wa magonjwa ya kuambukiza na ebola.
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) nchini, Rutaro Chatora (kulia), na Katibu Mkuu wa Wizara ya...
9 years ago
BBCSwahili25 Oct
Mataifa ‘maskini’ Ulaya yatishia kufunga mipaka
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eH8Bxf01cew/XmnAXrbW9hI/AAAAAAALitY/JRdBeYWZm_w8TDbjGbHSgQytuttZJZT-ACLcBGAsYHQ/s72-c/52722240_354.jpg)
Merkel akataa kufunga mipaka ya Ujerumani kujikinga na corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-eH8Bxf01cew/XmnAXrbW9hI/AAAAAAALitY/JRdBeYWZm_w8TDbjGbHSgQytuttZJZT-ACLcBGAsYHQ/s640/52722240_354.jpg)
10 years ago
BBCSwahili22 Feb
Ebola:Liberia sasa yafungua mipaka yake
10 years ago
BBCSwahili21 Feb
Ebola:Liberia sasa kufungua mipaka yake
11 years ago
BBCSwahili30 Mar
Ebola yafanya Senegal kufunga mpaka
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b90UzIrtu4E/XvMvEyEtLAI/AAAAAAALvOg/aVdxWZMXjXYy5te6QFjzeyPaWeFZNXiIgCLcBGAsYHQ/s72-c/1-46.jpg)
Serikali kudhibiti mipaka 53 isiyo rasmi Kanda ya Magharibi
![](https://1.bp.blogspot.com/-b90UzIrtu4E/XvMvEyEtLAI/AAAAAAALvOg/aVdxWZMXjXYy5te6QFjzeyPaWeFZNXiIgCLcBGAsYHQ/s640/1-46.jpg)
***********************************
Na Mwandishi Wetu- TBS
Wizara ya Viwanda na Biashara kwa kushirikiana na Wizara nyingine zitadhibiti mipaka isiyo rasmi 53 katika mikoa ya Kigoma, Katavi na Rukwa ili kukabiliana na changamoto ya uingizaji...
10 years ago
GPLSERIKALI YATOA TAARIFA YA UIMARISHAJI WA MIPAKA YA KIMATAIFA NCHINI
9 years ago
StarTV10 Nov
Serikali yapiga marufuku matumizi mabaya ya mipaka kwa vyombo vya habari
Serikali imepiga marufuku matumizi mabaya ya ramani ya Tanzania kwa vyombo vya habari nchini ikiwa ni pamoja na uuzwaji wa Ramani hizo mitaani.
Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Assa Mwambene alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Assa Mwambene amesema vyombo vya habari hapa nchini vimekuwa vikitumia ramani ya Tanzania isivyo sahihi ambayo inaonyesha ziwa nyasa kuwa upande wa nchi ya...