Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Merkel akataa kufunga mipaka ya Ujerumani kujikinga na corona


Huku mripuko wa kirusi cha corona ukizidi kuyakumba maeneo mbalimbali duniani, Kansela Angela Merkel wa Ujerumani ameweka bayana kwamba nchi yake haikusudii kufunga mipaka yake, akihoji kwamba ni jambo la maana zaidi kwa watu wanaowasili kutoka mataifa yaliyoathiriwa na kirusi hicho kujiwekea karantini wenyewe majumbani mwao. Akizungumza kwenye mkutano wa dharura na waandishi wa habari mchana wa leo mjini Berlin, Merkel amesema ni muhimu kwa viongozi wa Ulaya kujadiliana njia nzuri na zenye...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

JK akutana na Kiongozi wa Ujerumani Angela Merkel jijini New York

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana  na kiongozi wa Ujerumani Chancellor Angela Merkel kwenye ubalozi wa kudumu wa Ujerumani Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani jana  jioni.Rais Kikwete yupo katika ziara ya kikazi nchini Marekani ambapo mbali na kukutana na wadau wa Maendeleo anatarajiwa kutoa hotuba yake katika kikao cha 70 cha Baraza Kuu la Umioja wa Mataifa(UN General AssemblyRais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na kiongozi wa Ujerumani Chancellor Angela Merkel kwenye...

 

10 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete akutana na Kiongozi wa Ujerumani Angela Merkel jijini New York

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na kiongozi wa Ujerumani Chancellor Angela Merkel kwenye ubalozi wa kudumu wa Ujerumani Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani leo jioni.Rais Kikwete yupo katika ziara ya kikazi nchini Marekani ambapo mbali na kukutana na wadau wa Maendeleo anatarajiwa kutoa hotuba yake katika kikao cha 70 cha Baraza Kuu la Umioja wa Mataifa(UN General Assembly.(picha na Freddy Maro)

 

10 years ago

BBCSwahili

Mataifa ‘maskini’ Ulaya yatishia kufunga mipaka

Mataifa ya eneo la Balkan ambayo yamekuwa yakitumiwa na wakimbizi kufikia nchi nyingine za Ulaya wametishia kufunga mipaka iwapo nchi hizo zitakataa kuwapokea wakimbizi zaidi.

 

11 years ago

KwanzaJamii

SERIKALI KUFUNGA MIPAKA ITAKAPOBIDI KUJIHAMI NA EBOLA

Serikali imesema haipo tayari kufunga mipaka yake kwa sasa kuzuia wananchi wa nchi zinazo kabiliwa na ugonjwa wa ebola kuingia nchini kama Kenya ilivyo fanya mpaka itakapopata ushauri wa kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO). Kauli hiyo ilitolewa  jana jijini Dar es Salaam na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashidi, alipozungumza na   NIPASHE.Kwa sasa ugonjwa wa ebola umezitikisa nchi kadhaa za Afrika Magharibi huku ikiripotiwa kuwa takribani watu zaidi ya 400 nchini...

 

5 years ago

Michuzi

Merkel: 60% hadi 70% ya Wajerumani huenda wakakumbwa na Corona

Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel amesema yumkini asilimia 60 hadi 70 ya jamii ya nchi hiyo ya Ulaya itaambukizwa virusi vya Corona.

Merkel alisema hayo jana Jumanne mbele ya Bunge la nchi hiyo ambalo lilipokea kwa mshtuko mkubwa takwimu hizo za kuogofya za Kansela wa nchi hiyo.

Amesema ikilazimu, vikao vya Bunge la nchi hiyo ya Ulaya vitasimamishwa, sambamba na kufutwa kwa mikutano na shughuli zenye mijumuiko ya watu wengi. Hata hivyo hajaeleza serikali yake imejiandaa vipi kukabiliana na...

 

11 years ago

GPL

KIOJA CHA KUFUNGA MWAKA: JAMAA APANDA JUU YA MNARA, AKATAA KUSHUKA MPAKA AONANE NA RAIS KIKWETE

Wanausalama wakipanda juu ya mnara kumnusuru jamaa huyo.…

 

5 years ago

Michuzi

SINGIDA KUFUNGA VILABU VYA POMBE ZA KIENYEJI KWA WASIOFUATA MASHARTI YA KUJIKINGA NA KORONA


Na Jumbe Ismailly SINGIDA

MKUU wa Mkoa wa Singida,Dkt Rehema Nchimbi amesema serikali Mkoani hapa inatarajia kuwafungia watu wote wanaofanya biashara za kuuza pombe za asili (kienyeji) watakaoshindwa kutekeleza maagizo ya kujikinga na ugonjwa wa korona.

Dkt Nchimbi alitoa agizo hilo kwenye mkutano wa Baraza la Jumuiya wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa wa Singida waliokutana kujadiliana pamoja na mambo mengine tahadhari ya kujikinga na janga na kitaifa la ugonjwa hata korona....

 

5 years ago

Michuzi

Wanaonyonyesha wahimizwa kujikinga na Corona

Bilgither Nyoni na Amiri kilagalila,Njombe

Wanawake wanaonyonyesha wametakiwa kuzingatia maelekezo yanayotolewa na wataalamu wa afya juu ya kujikinga na homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona ili wasiweze kuambukizwa wao pamoja na watoto.

Hayo yamesemwa na mganga mkuu wa halmashauri ya mji wa Makambako mkoani Njombe Dokta Alexander Mchome ambapo amesema endapo mama anaenyonyesha ataambukizwa virus hivyo atapaswa kuendelea kunyonyesha kwa uangalizi wa wataalam wa afya ili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani