Merkel: 60% hadi 70% ya Wajerumani huenda wakakumbwa na Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-FNBkuUtHweY/XmlRZ0DOb_I/AAAAAAALisw/uTLAFX2eZucBwyf6rbkP1LP0jtpwG8SWQCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv72d8bd738f41m614_800C450.jpg)
Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel amesema yumkini asilimia 60 hadi 70 ya jamii ya nchi hiyo ya Ulaya itaambukizwa virusi vya Corona.
Merkel alisema hayo jana Jumanne mbele ya Bunge la nchi hiyo ambalo lilipokea kwa mshtuko mkubwa takwimu hizo za kuogofya za Kansela wa nchi hiyo.
Amesema ikilazimu, vikao vya Bunge la nchi hiyo ya Ulaya vitasimamishwa, sambamba na kufutwa kwa mikutano na shughuli zenye mijumuiko ya watu wengi. Hata hivyo hajaeleza serikali yake imejiandaa vipi kukabiliana na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili11 Mar
Hadi 70% ya Wajerumani katika hatari ya kuambukizwa Coronavirus
5 years ago
BBCSwahili05 May
Virusi vya corona: Mnyama aliyesambaza corona huenda asijulikane
5 years ago
BBCSwahili14 Jun
Virusi vya corona: Je unajua ugonjwa wa corona huenda ulianza mapema mno?
5 years ago
BBCSwahili17 Apr
Virusi ya corona: Afrika huenda ikawa kitovu kipya cha mlipuko wa corona - yaonya WHO
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona: Muuguzi wa wagonjwa wa corona ambaye huenda akarejeshwa kwao kwa lazima.
5 years ago
BBCSwahili11 May
Virusi vya corona: Jinsi ‘mazishi ya kisiri’ Afrika Kusini huenda ikasaidia kukabiliana na corona
9 years ago
BBCSwahili04 Dec
Wenger: Huenda tukamkosa Carzola hadi Machi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eH8Bxf01cew/XmnAXrbW9hI/AAAAAAALitY/JRdBeYWZm_w8TDbjGbHSgQytuttZJZT-ACLcBGAsYHQ/s72-c/52722240_354.jpg)
Merkel akataa kufunga mipaka ya Ujerumani kujikinga na corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-eH8Bxf01cew/XmnAXrbW9hI/AAAAAAALitY/JRdBeYWZm_w8TDbjGbHSgQytuttZJZT-ACLcBGAsYHQ/s640/52722240_354.jpg)
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa wa corona Kenya yaongezeka hadi kufikia 2767