Hadi 70% ya Wajerumani katika hatari ya kuambukizwa Coronavirus
Kansela wa Ujerumani ameonya kuwa karibu watu milioni 58 wako katika hatari ya kuambukizwa virusi vya corona.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Jan
‘Mijimama’ inavyoingiza waosha kucha, miguu katika hatari ya kuambukizwa VVU
>Utengenezaji wa kucha na uoshaji miguu ni biashara inayokuwa kwa kasi hasa maeneo ya mijini ambapo wanawake wengi wanahusudu na kujihusisha na masuala ya urembo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FNBkuUtHweY/XmlRZ0DOb_I/AAAAAAALisw/uTLAFX2eZucBwyf6rbkP1LP0jtpwG8SWQCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv72d8bd738f41m614_800C450.jpg)
Merkel: 60% hadi 70% ya Wajerumani huenda wakakumbwa na Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-FNBkuUtHweY/XmlRZ0DOb_I/AAAAAAALisw/uTLAFX2eZucBwyf6rbkP1LP0jtpwG8SWQCLcBGAsYHQ/s640/4bv72d8bd738f41m614_800C450.jpg)
Merkel alisema hayo jana Jumanne mbele ya Bunge la nchi hiyo ambalo lilipokea kwa mshtuko mkubwa takwimu hizo za kuogofya za Kansela wa nchi hiyo.
Amesema ikilazimu, vikao vya Bunge la nchi hiyo ya Ulaya vitasimamishwa, sambamba na kufutwa kwa mikutano na shughuli zenye mijumuiko ya watu wengi. Hata hivyo hajaeleza serikali yake imejiandaa vipi kukabiliana na...
5 years ago
BBCSwahili29 Feb
Coronavirus: Ni kina nani walio katika hatari ya kupaya ugonjwa huu?
Kwa sasa kukisiwa kwamba uwezekano wa Coronavirus kusababisha kifo ni asilimia sio kwa kila mmoja
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona: Hatari ya kuambukizwa corona Dar es Salaam ipo juu yasema Marekani
Hatari ya kupata maambukizi ya Corona jijini Dar es Salaam ni kubwa sana. Licha ya kwamba taarifa hazitolewi mara kwa mara, ubalozi wa Marekani Tanzania waeleza.
5 years ago
BBCSwahili27 Mar
Coronavirus: Je, unawatambua watu walio hatarini kuambukizwa virusi vya corona?
Virusi vya corona vinaweza kumuathiri mtu yeyote, lakini watu wenye maradhi fulani pamoja na wazee ni rahisi kupata maambukizi ya ugonjwa huo.
5 years ago
BBCSwahili10 Mar
Coronavirus: Italia yachukua hatua za dharura nchi nzima kudhibiti virusi hatari
Takribani watu milioni 60 wameamriwa kubaki majumbani kujiepusha na maambukizi ya virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili13 Mar
Coronavirus: Mechi za Ligi ya soka ya England kuahirishwa hadi tarehe 3 Aprili
Mechi za Ligi kuu ya soka ya England zitaahirishwa hadi tarehe 4 Aprili kufuatia baadhi ya wachezaji wa ligi hio kupatikana na maambukizi ya virusi vya Corona.
10 years ago
BBCSwahili13 Aug
Kenya katika hatari ya kupata Ebola
WHO limeelea kuhusu hatari ya ugonjwa wa Ebola kufika Kenya kutokana na nchi hiyo kuwa kitovu cha usafiri wa ndege kwenda Afrika Magharibi
11 years ago
BBCSwahili08 Aug
Ghana katika hatari ya marufuku ya FIFA
Shirikisho la kandanda la Ghana limo katika hatari ya kupigwa marufuku na fifa kufuatia uchunguzi wa Serikali.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania