Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus: Italia yachukua hatua za dharura nchi nzima kudhibiti virusi hatari

Takribani watu milioni 60 wameamriwa kubaki majumbani kujiepusha na maambukizi ya virusi vya corona

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Nchi za Afrika zilivyochukua hatua kudhibiti virusi

Nchi kadhaa zimezuia raia wa kigeni, kufunga shule na mikusanyiko ya watu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Hatua za Italia za kudhibiti coronavirus: Taifa zima kuchukua hatua ya kujitenga.

Matembezi ya raia wa Italia wapatao milioni 60 yamedhibitiwa kutokana na mlipuko. Italia ina idadi kubwa zaidi ya vifo vya virusi vya corona baada ya China.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Rwanda imefunga shule zote kudhibiti virusi

Rwanda imefunga shule zote pamoja na maeneo ya kuabudu kuanzia leo baada ya kuthibitisha kisa cha kwanza cha corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Nchi za SADC ziko tayari kiasi gani kudhibiti virusi vya corona?

Mawaziri wa afya wa SADC waweka mikakati ya kukabiliana na virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona : Hatari ya kuwepo kwa dawa bandia katika nchi za Afrika

Idadi kubwa ya dawa bandia zinazohusishwa na virusi vya corona zinauzwa katika nchi zinazoendelea, Shirika la Afya Duniani (WHO) limetoa tahadhari

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Mataifa ambayo utafungwa ukiuka maagizo ya kudhibiti virusi vya corona

Kuanzia kutozwa faini, kufungwa jela, hadi kurudishwa katika nchi ulikotoka -ni miongoni mwa hatua za dunia za kukabiliana maambukizi ya virusi vya corona.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yachukua hatua hifadhi za jamii zisifilisike

Waziri Mkuu Mizengo Pinda (kushoto), Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima (kulia), Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Pensheni wa PSPF, George Yambesi (wa pili kulia), Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, Adam Mayingu (wa tatu kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa wakiangalia picha ya mama na mtoto ikiwa ni alama ya uzinduzi wa fao jipya la uzazi litakalokuwa likitolewa na mfuko huo wakati wa mkutano mkuu wa nne wa wanachama na wadau wa mfuko huo mjini Dodoma jana. (Na Mpigapicha Wetu).SERIKALI imesema inachukua hatua mbalimbali zitakazozuia uwezekano wa mifuko ya hifadhi ya jamii kufilisika, kutokana na mifuko hiyo kuidai serikali kiasi cha Sh trilioni 1.8.

 

9 years ago

BBCSwahili

Saud yachukua hatua zaidi dhidi ya Iran

Saud Arabia imetoa kauli kwamba inasitisha safari za anga pamoja na uhusiano wa kibiashara baina yake na nchi ya Iran.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Kwa nini shirika la afya duniani linasema hatua ya kujishika uso ni hatari kwa maisha yako?

Ili kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa coronavirus kuingia katika miili yetu, madaktari na maafisa wa afya wanatuambia kutoshika macho yetu, pua na mdomo. Lakini hilo sio rahisi kama inavyofikiriwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani