Saud yachukua hatua zaidi dhidi ya Iran
Saud Arabia imetoa kauli kwamba inasitisha safari za anga pamoja na uhusiano wa kibiashara baina yake na nchi ya Iran.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-G-yyX6W78PU/XutCbfygPOI/AAAAAAALuZs/4s5If95k3L4UQ-WuBkSjgrr63P5pMm6kgCLcBGAsYHQ/s72-c/5.jpg)
WILAYA YA BUSEGA YACHUKUA HATUA MAPAMBANO DHIDI YA MALARIA
Uzinduzi wa upuliziaji wa viwatilifu kwenye madimbwi ya maji ili kuangamiza mazalia ya Mbu wanaosababisha ugonjwa wa malaria umefanyika katika kituo cha afya NASSA na kuhudhuriwa na Kaimu Mkuu wa Wilaya, David Pallangyo, Mganga Mkuu wa Wilaya, Dkt. Godfrey Mbangali, watumishi wa Afya na Maafisa afya kutoka kata zote 15. Zoezi hilo litakalochukua siku nne kuanzia tarehe 17 hadi 20 Juni, 2020 litafanyika katika kata zote 15 na vijiji vyote 59 vilivyopo wilayani Busega.
Kaimu mkuu...
10 years ago
Habarileo19 Feb
Serikali yachukua hatua hifadhi za jamii zisifilisike
SERIKALI imesema inachukua hatua mbalimbali zitakazozuia uwezekano wa mifuko ya hifadhi ya jamii kufilisika, kutokana na mifuko hiyo kuidai serikali kiasi cha Sh trilioni 1.8.
5 years ago
BBCSwahili10 Mar
Coronavirus: Italia yachukua hatua za dharura nchi nzima kudhibiti virusi hatari
10 years ago
BBCSwahili22 Apr
Kuacha mashambulizi ni hatua nzuri:IRAN
9 years ago
BBCSwahili24 Aug
Vikwazo dhidi ya Iran kuondolewa
10 years ago
BBCSwahili20 Sep
Marekani:Iran ina jukumu dhidi ya IS
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Marekani kubadili sera dhidi ya Iran?
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
Iran yajitegemea katika vita dhidi ya IS
10 years ago
StarTV10 Apr
Iran yataka vita dhidi ya Houthi kusitishwa.
Rais wa Iran Hassan Rouhani, ametoa wito wa kusitishwa kwa mashambulio dhidi ya wapiganaji wa Kihouthi nchini Yemen, akiyataja kama makosa makubwa.
Iran pia imepinga madai ya Saudi Arabia kuwa utawala wa Tehran unawapa wapiganaji hao wa Kihouthi ambao ni wa shia mafunzo ya Kijeshi.
Balozi wa Saudi Arabi mjini Tehran, alishutishwa kufika mbele ya wizara ya mambo ya nje ya Iran, kupokea rasmi malalamishi ya Iran.
Nchini Yemen, Ndege za kivita za muungano unaongozwa na Saudi Arabia, zimefanya...