Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani kubadili sera dhidi ya Iran?

Marekani imepinga madai ya taifa hilo kwamba imebadili sera zake dhidi ya Iran kutokana na kutokana na muungano wa kuwapiga IS.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Marekani:Iran ina jukumu dhidi ya IS

Marekenai imesema kuwa Iran ina jukumu la kutekeleza katika juhudi za kimataifa dhidi ya wapiganaji wa Islamic State.

 

10 years ago

BBCSwahili

Apple yalazimika kubadili sera za malipo

Barua ya mwanamuziki Taylor Swift yailazimisha apple kubadili sera za malipo kwa wanamuziki katika makala ya teknolojia wiki hii

 

10 years ago

BBCSwahili

KHAMENEI:Iran haitabadili sera

Kongozi mkuu nchini Iran amasema kuwa makubaliano yaliyoafikiwa na mataifa makubwa duniani hayawezi kubadili sera za Iran

 

9 years ago

BBCSwahili

Vikwazo dhidi ya Iran kuondolewa

Waziri wa mambo ya nje wa Uingereza amesema huenda vikwazo dhidi ya Iran vikaanza kuondolewa mapema mwaka ujao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Iran yajitegemea katika vita dhidi ya IS

Maafisa wa kijeshi wa Marekani na Iran wamesema hawana ushirikiano katika vita dhidi ya wapiganaji wa IS

 

10 years ago

StarTV

Iran yataka vita dhidi ya Houthi kusitishwa.

Rais wa Iran Hassan Rouhani, ametoa wito wa kusitishwa kwa mashambulio dhidi ya wapiganaji wa Kihouthi nchini Yemen, akiyataja kama makosa makubwa.

Iran pia imepinga madai ya Saudi Arabia kuwa utawala wa Tehran unawapa wapiganaji hao wa Kihouthi ambao ni wa shia mafunzo ya Kijeshi.

Balozi wa Saudi Arabi mjini Tehran, alishutishwa kufika mbele ya wizara ya mambo ya nje ya Iran, kupokea rasmi malalamishi ya Iran.

Nchini Yemen, Ndege za kivita za muungano unaongozwa na Saudi Arabia, zimefanya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Saud yachukua hatua zaidi dhidi ya Iran

Saud Arabia imetoa kauli kwamba inasitisha safari za anga pamoja na uhusiano wa kibiashara baina yake na nchi ya Iran.

 

10 years ago

BBCSwahili

Iran yataka vita dhidi ya Houthi kukoma

Rais wa Iran Hassan Rouhani, ametoa wito wa kusitishwa kwa mashambulio dhidi ya wapiganaji wa Kihouthi nchini Yemen,

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani