Marekani kubadili sera dhidi ya Iran?
Marekani imepinga madai ya taifa hilo kwamba imebadili sera zake dhidi ya Iran kutokana na kutokana na muungano wa kuwapiga IS.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili20 Sep
Marekani:Iran ina jukumu dhidi ya IS
10 years ago
BBCSwahili27 Jun
Apple yalazimika kubadili sera za malipo
10 years ago
BBCSwahili18 Jul
KHAMENEI:Iran haitabadili sera
9 years ago
BBCSwahili24 Aug
Vikwazo dhidi ya Iran kuondolewa
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
Iran yajitegemea katika vita dhidi ya IS
10 years ago
StarTV10 Apr
Iran yataka vita dhidi ya Houthi kusitishwa.
Rais wa Iran Hassan Rouhani, ametoa wito wa kusitishwa kwa mashambulio dhidi ya wapiganaji wa Kihouthi nchini Yemen, akiyataja kama makosa makubwa.
Iran pia imepinga madai ya Saudi Arabia kuwa utawala wa Tehran unawapa wapiganaji hao wa Kihouthi ambao ni wa shia mafunzo ya Kijeshi.
Balozi wa Saudi Arabi mjini Tehran, alishutishwa kufika mbele ya wizara ya mambo ya nje ya Iran, kupokea rasmi malalamishi ya Iran.
Nchini Yemen, Ndege za kivita za muungano unaongozwa na Saudi Arabia, zimefanya...
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Saud yachukua hatua zaidi dhidi ya Iran
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Iran yataka vita dhidi ya Houthi kukoma