Iran yajitegemea katika vita dhidi ya IS
Maafisa wa kijeshi wa Marekani na Iran wamesema hawana ushirikiano katika vita dhidi ya wapiganaji wa IS
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Iran yataka vita dhidi ya Houthi kukoma
10 years ago
StarTV10 Apr
Iran yataka vita dhidi ya Houthi kusitishwa.
Rais wa Iran Hassan Rouhani, ametoa wito wa kusitishwa kwa mashambulio dhidi ya wapiganaji wa Kihouthi nchini Yemen, akiyataja kama makosa makubwa.
Iran pia imepinga madai ya Saudi Arabia kuwa utawala wa Tehran unawapa wapiganaji hao wa Kihouthi ambao ni wa shia mafunzo ya Kijeshi.
Balozi wa Saudi Arabi mjini Tehran, alishutishwa kufika mbele ya wizara ya mambo ya nje ya Iran, kupokea rasmi malalamishi ya Iran.
Nchini Yemen, Ndege za kivita za muungano unaongozwa na Saudi Arabia, zimefanya...
10 years ago
BBCSwahili11 Feb
UN yajiondoa katika vita dhidi ya waasi
11 years ago
BBCSwahili16 Jul
Habari njema katika vita dhidi ya HIV
11 years ago
Mwananchi21 Oct
Tuepuke siasa katika vita dhidi ya ebola
11 years ago
BBCSwahili10 Sep
Kenya yasaidia katika vita dhidi ya Ebola
5 years ago
MichuziSERIKALI IMEFANIKIWA KATIKA VITA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA KWA ASILIMIA 90
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu akikata utepe leo kuashiria uzinduzi wa kliniki ya Methadone katika Hospitali ya Bombo jijini Tanga.Kliniki hiyo imejengwa kwa thamani ya Sh milioni 17.Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martine Shigela na kushoto kwake ni Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA) James Kaji.
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu akikata utepe leo kuashiria uzinduzi wa...
10 years ago
Michuzi
BENKI YA EXIM YAJIDHATITI KUIUNGA MKONO SERIKALI KATIKA VITA DHIDI YA MALARIA


5 years ago
Michuzi
Rais Kenyatta, mwenyekiti mpya wa ALMA, aainisha vipaumbele vyake katika vita dhidi ya Malaria

Vipaumbele hivyo vinavyotajwa kuleta mapinduzi makubwa, vinalenga kutafuta suluhu dhidi ya changamoto za mapambano ya kutokomeza malaria. Changamoto hizi zinajumuisha; ushiriki hafifu wa...