Habari njema katika vita dhidi ya HIV
Kuna uwezekano kuwa janga la ukimwi huenda likadhibitiwa ifikapo mwaka 2030 , kulingana na ripoti iliyotolewa na shirika la Umoja wa Mataifa la kupambana na ukimwi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
Iran yajitegemea katika vita dhidi ya IS
10 years ago
BBCSwahili11 Feb
UN yajiondoa katika vita dhidi ya waasi
10 years ago
BBCSwahili10 Sep
Kenya yasaidia katika vita dhidi ya Ebola
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Tuepuke siasa katika vita dhidi ya ebola
5 years ago
MichuziSERIKALI IMEFANIKIWA KATIKA VITA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA KWA ASILIMIA 90
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu akikata utepe leo kuashiria uzinduzi wa kliniki ya Methadone katika Hospitali ya Bombo jijini Tanga.Kliniki hiyo imejengwa kwa thamani ya Sh milioni 17.Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martine Shigela na kushoto kwake ni Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA) James Kaji.
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu akikata utepe leo kuashiria uzinduzi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Et_rxpQ9WXo/VUCTccoFRxI/AAAAAAAHT9Q/rhDgM9blaNo/s72-c/NET%2BPIX%2B1%2B-%2BARUSHA.jpg)
BENKI YA EXIM YAJIDHATITI KUIUNGA MKONO SERIKALI KATIKA VITA DHIDI YA MALARIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Et_rxpQ9WXo/VUCTccoFRxI/AAAAAAAHT9Q/rhDgM9blaNo/s1600/NET%2BPIX%2B1%2B-%2BARUSHA.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TdpFTQha9Sc/VUCThiA9OtI/AAAAAAAHT9Y/UQeifz3WzKI/s1600/NET%2BPIX%2B2%2B-%2BMTWARA.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tAVAG12uBLY/XmebNtJOpuI/AAAAAAALib8/_qpWnmk-C2o_K3mszbU9QQ5StjTLIB8CgCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
Rais Kenyatta, mwenyekiti mpya wa ALMA, aainisha vipaumbele vyake katika vita dhidi ya Malaria
![](https://1.bp.blogspot.com/-tAVAG12uBLY/XmebNtJOpuI/AAAAAAALib8/_qpWnmk-C2o_K3mszbU9QQ5StjTLIB8CgCLcBGAsYHQ/s640/maxresdefault.jpg)
Vipaumbele hivyo vinavyotajwa kuleta mapinduzi makubwa, vinalenga kutafuta suluhu dhidi ya changamoto za mapambano ya kutokomeza malaria. Changamoto hizi zinajumuisha; ushiriki hafifu wa...
10 years ago
Dewji Blog05 Dec
Jitihada elekezi siri ya ushindi wa vita dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi katika kipindi cha mlipuko wa ebola
Tarehe 1 Desemba kila mwaka watu wote duniani huazimisha Siku ya Ukimwi Duniani, siku ambayo ilianzishwa mnamo mwaka 1987 na ambayo hubeba maudhui mbali mbali ikiwa kwa mwaka huu ikibeba maudhui ya Focus, Partner, Achieve: An AIDS-free Generation yaani Elekeza, Jiunge na Pata: Kizazi kisicho na Ukimwi. Ujumbe unaokumbusha jamii kuwa ugonjwa wa Ukimwi kuwa bado ni tatizo linalohitaji jitihada endelevu na elekezi hata katika wakati wa milipuko ya magonjwa mengine katika jamii. Siku ambayo...
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Vita dhidi ya ebola ni mapambano dhidi ya adui asiyeonekana