Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jitihada elekezi siri ya ushindi wa vita dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi katika kipindi cha mlipuko wa ebola

apollo-hospitals

Tarehe 1 Desemba kila mwaka watu wote duniani huazimisha Siku ya Ukimwi Duniani, siku ambayo ilianzishwa mnamo mwaka 1987 na ambayo hubeba maudhui mbali mbali ikiwa kwa mwaka huu ikibeba maudhui ya  Focus, Partner, Achieve: An AIDS-free Generation yaani Elekeza, Jiunge na Pata: Kizazi kisicho na Ukimwi. Ujumbe unaokumbusha jamii kuwa ugonjwa wa Ukimwi kuwa bado ni tatizo linalohitaji jitihada endelevu na elekezi hata katika wakati wa milipuko ya magonjwa mengine katika jamii. Siku ambayo...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Jitihada elekezi siri ya ushindi vita dhidi ya Ukimwi

DESEMBA mosi, kila mwaka, watu wote duniani huadhimisha Siku ya Ukimwi Duniani. Siku hiyo ilianzishwa mwaka 1987 na hubeba maudhui mbalimbali kila mwaka. Maudhui ya mwaka huu ni ‘Elekeza, Jiunge...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ugonjwa wa Ebola na jitihada za Serikali katika kupambana nao

PIX 1

Rais Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) akisalimiana na Wauguzi waliovalia mavazi maalumu tayari kutoa huduma kwa  abiria  atayekutwa na ugonjwa wa Ebola  mara atapowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam.

Na Benedict Liwenga, Maelezo-DSM

Ebola ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vya homa ya hemoraji ikimaanisha ugonjwa wa kumwagika damu bila kuganda (Viral Haemorrhagic Fevers).

Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali, ugonjwa huu ni hatari na unasababishwa na...

 

10 years ago

Mwananchi

Tuepuke siasa katika vita dhidi ya ebola

Habari za kifo cha mwanamke mmoja aliyedaiwa kuwa na dalili za ugonjwa wa ebola, ambacho kilitokea wiki iliyopita katika Hospitali Teule ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza, kimeacha maswali mengi yanayohoji kama kweli wataalamu wetu wa afya wamepewa nafasi stahiki katika vita dhidi ya ugonjwa wa ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yasaidia katika vita dhidi ya Ebola

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameadhidi kutoa mchango wa dola milioni moja kwa mataifa yanayokabiliwa na janga la Ebola

 

11 years ago

BBCSwahili

Vita dhidi ya janga la Ukimwi

Hii leo watu wachache zaidi wanafariki kutokana na ukimwi, ingawaje vikundi kadhaa vya watu vimeachwa nyuma.Hizi ndizo takwimu

 

10 years ago

Mwananchi

Dalili za ushindi dhidi ya Ukimwi sasa zinaonekana

Tangu ulipogunduliwa kwa mara ya kwanza katika miaka ya 1980, Ukimwi umeendelea kuwa miongoni mwa magonjwa yanayosumbua wataalamu wa sayansi ya tiba na watafiti wa magonjwa ya binadamu kwa muda mrefu

 

5 years ago

Michuzi

TAARIFA KUHUSU HUDUMA KWA WATEJA WA BENKI KUU KATIKA KIPINDI HIKI CHA UGONJWA WA COVID-19

Benki Kuu ya Tanzania (BOT) inapenda kuutarifu umma kuwa, kufuatia maelekezo ya Serikali kutaka wananchi kuchukua tahadhari za kujikinga na ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya Corona, kuanzia siku ya Jumatano tarehe 22 Aprili 2020, wananchi wote watakaotembelea ofisi za Benki Kuu  kote nchini watatakiwa kuvaa barakoa (masks) kwa lengo la kujikinga wao wenyewe na kuwakinga wafanyakazi watakaowahudumia dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona.
Katika kuepuka msongamano, Benki Kuu...

 

10 years ago

Mwananchi

Vita dhidi ya ebola ni mapambano dhidi ya adui asiyeonekana

Tangu kuzuka kwa ugonjwa wa ebola nchini Guinea mwezi Machi mwaka huu, watu 2,500 wamefariki dunia kutokana na virusi vyake, zaidi ya nusu ni raia wa Liberia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani