Jitihada elekezi siri ya ushindi wa vita dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi katika kipindi cha mlipuko wa ebola
Tarehe 1 Desemba kila mwaka watu wote duniani huazimisha Siku ya Ukimwi Duniani, siku ambayo ilianzishwa mnamo mwaka 1987 na ambayo hubeba maudhui mbali mbali ikiwa kwa mwaka huu ikibeba maudhui ya Focus, Partner, Achieve: An AIDS-free Generation yaani Elekeza, Jiunge na Pata: Kizazi kisicho na Ukimwi. Ujumbe unaokumbusha jamii kuwa ugonjwa wa Ukimwi kuwa bado ni tatizo linalohitaji jitihada endelevu na elekezi hata katika wakati wa milipuko ya magonjwa mengine katika jamii. Siku ambayo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
Jitihada elekezi siri ya ushindi vita dhidi ya Ukimwi
DESEMBA mosi, kila mwaka, watu wote duniani huadhimisha Siku ya Ukimwi Duniani. Siku hiyo ilianzishwa mwaka 1987 na hubeba maudhui mbalimbali kila mwaka. Maudhui ya mwaka huu ni ‘Elekeza, Jiunge...
10 years ago
Dewji Blog23 Sep
Ugonjwa wa Ebola na jitihada za Serikali katika kupambana nao
Rais Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) akisalimiana na Wauguzi waliovalia mavazi maalumu tayari kutoa huduma kwa abiria atayekutwa na ugonjwa wa Ebola mara atapowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-DSM
Ebola ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vya homa ya hemoraji ikimaanisha ugonjwa wa kumwagika damu bila kuganda (Viral Haemorrhagic Fevers).
Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali, ugonjwa huu ni hatari na unasababishwa na...
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Tuepuke siasa katika vita dhidi ya ebola
10 years ago
BBCSwahili10 Sep
Kenya yasaidia katika vita dhidi ya Ebola
11 years ago
BBCSwahili22 Jul
Vita dhidi ya janga la Ukimwi
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Dalili za ushindi dhidi ya Ukimwi sasa zinaonekana
5 years ago
MichuziTAARIFA KUHUSU HUDUMA KWA WATEJA WA BENKI KUU KATIKA KIPINDI HIKI CHA UGONJWA WA COVID-19
Katika kuepuka msongamano, Benki Kuu...
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Vita dhidi ya ebola ni mapambano dhidi ya adui asiyeonekana
10 years ago
Michuzi