Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jitihada elekezi siri ya ushindi vita dhidi ya Ukimwi

DESEMBA mosi, kila mwaka, watu wote duniani huadhimisha Siku ya Ukimwi Duniani. Siku hiyo ilianzishwa mwaka 1987 na hubeba maudhui mbalimbali kila mwaka. Maudhui ya mwaka huu ni ‘Elekeza, Jiunge...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Jitihada elekezi siri ya ushindi wa vita dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi katika kipindi cha mlipuko wa ebola

apollo-hospitals

Tarehe 1 Desemba kila mwaka watu wote duniani huazimisha Siku ya Ukimwi Duniani, siku ambayo ilianzishwa mnamo mwaka 1987 na ambayo hubeba maudhui mbali mbali ikiwa kwa mwaka huu ikibeba maudhui ya  Focus, Partner, Achieve: An AIDS-free Generation yaani Elekeza, Jiunge na Pata: Kizazi kisicho na Ukimwi. Ujumbe unaokumbusha jamii kuwa ugonjwa wa Ukimwi kuwa bado ni tatizo linalohitaji jitihada endelevu na elekezi hata katika wakati wa milipuko ya magonjwa mengine katika jamii. Siku ambayo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Vita dhidi ya janga la Ukimwi

Hii leo watu wachache zaidi wanafariki kutokana na ukimwi, ingawaje vikundi kadhaa vya watu vimeachwa nyuma.Hizi ndizo takwimu

 

10 years ago

Mwananchi

Dalili za ushindi dhidi ya Ukimwi sasa zinaonekana

Tangu ulipogunduliwa kwa mara ya kwanza katika miaka ya 1980, Ukimwi umeendelea kuwa miongoni mwa magonjwa yanayosumbua wataalamu wa sayansi ya tiba na watafiti wa magonjwa ya binadamu kwa muda mrefu

 

10 years ago

Mwananchi

Vita dhidi ya ebola ni mapambano dhidi ya adui asiyeonekana

Tangu kuzuka kwa ugonjwa wa ebola nchini Guinea mwezi Machi mwaka huu, watu 2,500 wamefariki dunia kutokana na virusi vyake, zaidi ya nusu ni raia wa Liberia.

 

10 years ago

Mwananchi

Si ushindi ni vita mpya

Matokeo ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika nchini kote Desemba 14 2014 umeibua mambo na hoja nyingi vichwani mwa Watanzania. Wengi wamepigwa na bumbuwazi kwa kuona kile wasichokitarajia.

 

9 years ago

Mwananchi

Tambwe, Kiiza na siri ya ushindi leo

Mshale wa saa unazunguka, lakini ni dakika 90 pekee mbaya au nzuri kwa Simba au Yanga, zinapokutana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madiwani Iringa kutumia michezo kupiga vita ukimwi

MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Steven Mhapa, amewataka madiwani wa kata zote za wilaya hiyo kuanzisha michezo mbalimbali kwa lengo la kutoa elimu ya ukimwi, kukuza na kuhamasisha...

 

10 years ago

Habarileo

Ngeleja aeleza siri ya ushindi wake Sengerema

MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja aliyeibuka na ushindi wa kishindo katika kura za maoni dhidi ya wagombea wenzake akiwamo aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Lawrence Masha, amesema ushindi wake ni kielelezo kuwa ametekeleza vizuri Ilani ya Uchaguzi ya CCM kuanzia mwaka 2010.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani