Madiwani Iringa kutumia michezo kupiga vita ukimwi
MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Steven Mhapa, amewataka madiwani wa kata zote za wilaya hiyo kuanzisha michezo mbalimbali kwa lengo la kutoa elimu ya ukimwi, kukuza na kuhamasisha...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili22 Jul
Vita dhidi ya janga la Ukimwi
9 years ago
Mwananchi29 Nov
Baraza la Madiwani Iringa kufanyika bustanini
10 years ago
Bongo Movies21 Jul
Baby Madaha Kupiga Vita 'Unga'
Star wa muziki wa miondoko ya Bongofleva Baby Madaha hivi sasa ameamua kutumia sanaa yake ya uigizaji katika kupambana na matumizi ya dawa za kulevya ambayo yanarudisha nyuma maendeleo hasa kwa vijana ambao ni taifa la kesho.
Baby Madaha ameongea na eNewz kuwa hivi sasa anamiliki kampuni yake binafsi akielezea kuwa filamu hiyo mpya ambayo ipo mbioni kukamilika iliyobatizwa jina la 'Saint And Ghost' imewashirikisha wasanii mbalimbali akiwemo Mzee Chilo, Bella fasta, Bi Moza na wengineo...
10 years ago
Habarileo09 Mar
Serikali kuendelea kupiga vita rushwa
SERIKALI imesema itaendelea kupambana na changamoto ya rushwa katika biashara na uwekezaji hapa nchini.
11 years ago
Habarileo26 Mar
Tanzania, China kupiga vita ujangili
SERIKALI ya Jamhuri ya Watu wa China imesema itahakikisha inasaidiana na Tanzania katika mapambano dhidi ya ujangili, ambapo wametoa msaada wa mashine mbili za kukagua makontena katika bandari ya Dar es Salaam na Zanzibar.
10 years ago
Habarileo17 May
Waandishi waaswa kupiga vita rushwa
WAANDISHI wa Habari wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wametakiwa kutumia kalamu zao kupambana na rushwa sambamba na kusisitiza demokrasia na utawala bora katika nchi zao.
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
Sombetini kutumia vituo 62 kupiga kura
MSIMAMIZI wa uchaguzi unaotarajiwa kufanyika kesho kumpata diwani wa Sombetini katika Jiji la Arusha, Elifasi Mollel, ametangaza vituo 62 kutumika kwa ajili ya kupigia kura kumpata diwani huyo. Mollel ambaye...
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
Jitihada elekezi siri ya ushindi vita dhidi ya Ukimwi
DESEMBA mosi, kila mwaka, watu wote duniani huadhimisha Siku ya Ukimwi Duniani. Siku hiyo ilianzishwa mwaka 1987 na hubeba maudhui mbalimbali kila mwaka. Maudhui ya mwaka huu ni ‘Elekeza, Jiunge...
11 years ago
Habarileo22 May
CCM Iringa yapinga madiwani kuzuru Dar
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Iringa kimeingia katika vuta nikuvute na Baraza la Madiwani la halmashauri hiyo, kikipinga madiwani wake kufanya ziara ya mafunzo katika mikoa ya Dar es Salaam, Lindi na Mtwara. Katika kupinga ziara hiyo, CCM imemuandikia barua Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Dk Leticia Warioba ikieleza sababu zake za kufanya hivyo.