Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madiwani Iringa kutumia michezo kupiga vita ukimwi

MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Steven Mhapa, amewataka madiwani wa kata zote za wilaya hiyo kuanzisha michezo mbalimbali kwa lengo la kutoa elimu ya ukimwi, kukuza na kuhamasisha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Vita dhidi ya janga la Ukimwi

Hii leo watu wachache zaidi wanafariki kutokana na ukimwi, ingawaje vikundi kadhaa vya watu vimeachwa nyuma.Hizi ndizo takwimu

 

9 years ago

Mwananchi

Baraza la Madiwani Iringa kufanyika bustanini

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Iringa Mjini kitaanza kufanya vikao vya Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa hiyo, kwenye eneo la bustani lililo wazi ili kutoa nafasi kwa wananchi kuhudhuria.

 

10 years ago

Bongo Movies

Baby Madaha Kupiga Vita 'Unga'

Star wa muziki wa miondoko ya Bongofleva Baby Madaha hivi sasa ameamua kutumia sanaa yake ya uigizaji katika kupambana na matumizi ya dawa za kulevya ambayo yanarudisha nyuma maendeleo hasa kwa vijana ambao ni taifa la kesho.

Baby Madaha ameongea na eNewz kuwa hivi sasa anamiliki kampuni yake binafsi akielezea kuwa filamu hiyo mpya ambayo ipo mbioni kukamilika iliyobatizwa jina la 'Saint And Ghost' imewashirikisha wasanii mbalimbali akiwemo Mzee Chilo, Bella fasta, Bi Moza na wengineo...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali kuendelea kupiga vita rushwa

SERIKALI imesema itaendelea kupambana na changamoto ya rushwa katika biashara na uwekezaji hapa nchini.

 

11 years ago

Habarileo

Tanzania, China kupiga vita ujangili

Balozi wa China nchini, Lu YouqingSERIKALI ya Jamhuri ya Watu wa China imesema itahakikisha inasaidiana na Tanzania katika mapambano dhidi ya ujangili, ambapo wametoa msaada wa mashine mbili za kukagua makontena katika bandari ya Dar es Salaam na Zanzibar.

 

10 years ago

Habarileo

Waandishi waaswa kupiga vita rushwa

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard MembeWAANDISHI wa Habari wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wametakiwa kutumia kalamu zao kupambana na rushwa sambamba na kusisitiza demokrasia na utawala bora katika nchi zao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sombetini kutumia vituo 62 kupiga kura

MSIMAMIZI wa uchaguzi unaotarajiwa kufanyika kesho kumpata diwani wa Sombetini katika Jiji la Arusha, Elifasi Mollel, ametangaza vituo 62 kutumika kwa ajili ya kupigia kura kumpata diwani huyo. Mollel ambaye...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jitihada elekezi siri ya ushindi vita dhidi ya Ukimwi

DESEMBA mosi, kila mwaka, watu wote duniani huadhimisha Siku ya Ukimwi Duniani. Siku hiyo ilianzishwa mwaka 1987 na hubeba maudhui mbalimbali kila mwaka. Maudhui ya mwaka huu ni ‘Elekeza, Jiunge...

 

11 years ago

Habarileo

CCM Iringa yapinga madiwani kuzuru Dar

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Iringa kimeingia katika vuta nikuvute na Baraza la Madiwani la halmashauri hiyo, kikipinga madiwani wake kufanya ziara ya mafunzo katika mikoa ya Dar es Salaam, Lindi na Mtwara. Katika kupinga ziara hiyo, CCM imemuandikia barua Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Dk Leticia Warioba ikieleza sababu zake za kufanya hivyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani