Vita dhidi ya janga la Ukimwi
Hii leo watu wachache zaidi wanafariki kutokana na ukimwi, ingawaje vikundi kadhaa vya watu vimeachwa nyuma.Hizi ndizo takwimu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
Jitihada elekezi siri ya ushindi vita dhidi ya Ukimwi
DESEMBA mosi, kila mwaka, watu wote duniani huadhimisha Siku ya Ukimwi Duniani. Siku hiyo ilianzishwa mwaka 1987 na hubeba maudhui mbalimbali kila mwaka. Maudhui ya mwaka huu ni ‘Elekeza, Jiunge...
10 years ago
Dewji Blog05 Dec
Jitihada elekezi siri ya ushindi wa vita dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi katika kipindi cha mlipuko wa ebola
Tarehe 1 Desemba kila mwaka watu wote duniani huazimisha Siku ya Ukimwi Duniani, siku ambayo ilianzishwa mnamo mwaka 1987 na ambayo hubeba maudhui mbali mbali ikiwa kwa mwaka huu ikibeba maudhui ya Focus, Partner, Achieve: An AIDS-free Generation yaani Elekeza, Jiunge na Pata: Kizazi kisicho na Ukimwi. Ujumbe unaokumbusha jamii kuwa ugonjwa wa Ukimwi kuwa bado ni tatizo linalohitaji jitihada endelevu na elekezi hata katika wakati wa milipuko ya magonjwa mengine katika jamii. Siku ambayo...
11 years ago
BBCSwahili23 Jul
Janga la Ukimwi barani Afrika
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Vita dhidi ya ebola ni mapambano dhidi ya adui asiyeonekana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-I71BQfRggtw/XqADdk20R6I/AAAAAAAC3sA/EdgtPTKayPssAxdQWgjIr4E_bdc6WZRnACLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
MAOMBI YA KITAIFA DHIDI YA JANGA LA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-I71BQfRggtw/XqADdk20R6I/AAAAAAAC3sA/EdgtPTKayPssAxdQWgjIr4E_bdc6WZRnACLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
Maombi hayo yameandaliwa na wizara ya afya kwa kushirikiana na viongozi wa madhehebu ya dini nchini, na yanafanyika katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam
11 years ago
Tanzania Daima30 Apr
Madiwani Iringa kutumia michezo kupiga vita ukimwi
MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Steven Mhapa, amewataka madiwani wa kata zote za wilaya hiyo kuanzisha michezo mbalimbali kwa lengo la kutoa elimu ya ukimwi, kukuza na kuhamasisha...
5 years ago
Michuzi21 Apr
MAOMBI YA KITAIFA DHIDI YA JANGA LA CORONA KUFANYIKA APRILI 22,2020
WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa kushirikiana na Viongozi wa madhehebu ya Dini nchini, imeandaa maombi maalum Kitaifa kuiombea Nchi dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu inayotokana na Virusi vya Corona.
Maombi hayo yatakayoongozwa na Viongozi Wakuu wa madhehebu ya Dini nchini, yatafanyika Jumatano tarehe 22 Aprili, 2020 katika Viwanja vya Karimjee Jijini Dar Es Salaam, kuanzia Saa 3.00 Asubuhi ambapo Mgeni Rasmi atakuwa Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa...
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Dalili za ushindi dhidi ya Ukimwi sasa zinaonekana