Serikali kuendelea kupiga vita rushwa
SERIKALI imesema itaendelea kupambana na changamoto ya rushwa katika biashara na uwekezaji hapa nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo17 May
Waandishi waaswa kupiga vita rushwa
WAANDISHI wa Habari wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wametakiwa kutumia kalamu zao kupambana na rushwa sambamba na kusisitiza demokrasia na utawala bora katika nchi zao.
10 years ago
Tanzania Daima04 Nov
Serikali, viongozi wa dini kupiga vita ujangili
WIZARA ya Maliasili na Utalii imekutana na viongozi wa dini nchini kwa lengo la kupaza sauti ya pamoja katika vita dhidi ya ujangili na uhifadhi wa wanyamapori na biashara ya...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2mplGyKITBg/U3KE6jtP55I/AAAAAAACg_E/V4AGzp_jICA/s72-c/Mantra+1.jpg)
Mantra yasaini makubaliano na Serikali kupiga vita ujangili wa ndovu
![](http://3.bp.blogspot.com/-2mplGyKITBg/U3KE6jtP55I/AAAAAAACg_E/V4AGzp_jICA/s1600/Mantra+1.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima27 Mar
Tupige vita rushwa
MACHI 20 mwaka huu ilikuwa ni Siku ya Mashairi Duniani ambayo iliwekwa kimataifa na Shirika la UNESCO kujikumbusha juu ya umuhimu wa mashairi katika kuelimisha. Makala ya leo inahusu matumizi...
11 years ago
Habarileo26 Mar
Tanzania, China kupiga vita ujangili
SERIKALI ya Jamhuri ya Watu wa China imesema itahakikisha inasaidiana na Tanzania katika mapambano dhidi ya ujangili, ambapo wametoa msaada wa mashine mbili za kukagua makontena katika bandari ya Dar es Salaam na Zanzibar.
10 years ago
Bongo Movies21 Jul
Baby Madaha Kupiga Vita 'Unga'
Star wa muziki wa miondoko ya Bongofleva Baby Madaha hivi sasa ameamua kutumia sanaa yake ya uigizaji katika kupambana na matumizi ya dawa za kulevya ambayo yanarudisha nyuma maendeleo hasa kwa vijana ambao ni taifa la kesho.
Baby Madaha ameongea na eNewz kuwa hivi sasa anamiliki kampuni yake binafsi akielezea kuwa filamu hiyo mpya ambayo ipo mbioni kukamilika iliyobatizwa jina la 'Saint And Ghost' imewashirikisha wasanii mbalimbali akiwemo Mzee Chilo, Bella fasta, Bi Moza na wengineo...
10 years ago
Dewji Blog25 Nov
UDA kuendelea kupiga jeki miradi yakijamii na kiuchumi nchini
Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), Bw John Samangu (kushoto) akikata utepe kuzindua rasmi Saccos ya kwaya ya Kanisa la Kigango cha Mtakatifu Rita wa Kashia jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. (Picha na mpiga picha wetu).
Na Mwandishi Wetu,
Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) limethibitisha kuwa litaendelea kupiga jeki zaidi miradi ya uwezeshaji ya kiuchumi nchini Tanzania katika hatua ya kusaidia kuinua ukuaji wa maendeleo ya kiuchumi nchini.
Akizungumza...
9 years ago
Dewji Blog28 Sep
Inawezekana kupiga vita umaskini kwa ushirikiano-UN
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza wakati akizindua Malengo Endelevu 17 ya Maendeleo nchini (SDG’s) Tanzania katika shule ya Uhuru mchanganyiko, katika hafla ambayo pia benki ya Standard Chartered Tanzania ilishiriki na kugawa vitu mbalimbali kwa ajili ya wanafunzi wa shule hiyo. (Picha na Zainul Mzige wa Modewjiblog)
Na Mwandishi wetu
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi...