Tambwe, Kiiza na siri ya ushindi leo
Mshale wa saa unazunguka, lakini ni dakika 90 pekee mbaya au nzuri kwa Simba au Yanga, zinapokutana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Tambwe aanika siri ya mabao
9 years ago
Mwananchi15 Oct
Siri ya ushindi: Mikoa tisa kuamua rais
9 years ago
Mzalendo Zanzibar23 Aug
Maalim Seif atoboa siri za ushindi wake
Mgombea Urais kupitia Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amesema kuwa mara tu baada ya kura kuhesabiwa watayapata matokeo ya uchaguzi mkuu na kuyatangaza kabla hata tume ya uchaguzi kuyapata. Amesema wameandaa system ya […]
The post Maalim Seif atoboa siri za ushindi wake appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Habarileo05 Aug
Ngeleja aeleza siri ya ushindi wake Sengerema
MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja aliyeibuka na ushindi wa kishindo katika kura za maoni dhidi ya wagombea wenzake akiwamo aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Lawrence Masha, amesema ushindi wake ni kielelezo kuwa ametekeleza vizuri Ilani ya Uchaguzi ya CCM kuanzia mwaka 2010.
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
Jitihada elekezi siri ya ushindi vita dhidi ya Ukimwi
DESEMBA mosi, kila mwaka, watu wote duniani huadhimisha Siku ya Ukimwi Duniani. Siku hiyo ilianzishwa mwaka 1987 na hubeba maudhui mbalimbali kila mwaka. Maudhui ya mwaka huu ni ‘Elekeza, Jiunge...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Agape yaeleza siri ya ushindi kidato cha sita
SHULE ya Sekondari Agape Mbagala imekuwa ya kwanza jijini Dar es Salaam katika matokeo ya kidato cha sita yaliyotangazwa hivi karibuni na kusema nidhamu ya wanafunzi, ushirikiano na kujituma kwa...
10 years ago
Dewji Blog05 Dec
Jitihada elekezi siri ya ushindi wa vita dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi katika kipindi cha mlipuko wa ebola
Tarehe 1 Desemba kila mwaka watu wote duniani huazimisha Siku ya Ukimwi Duniani, siku ambayo ilianzishwa mnamo mwaka 1987 na ambayo hubeba maudhui mbali mbali ikiwa kwa mwaka huu ikibeba maudhui ya Focus, Partner, Achieve: An AIDS-free Generation yaani Elekeza, Jiunge na Pata: Kizazi kisicho na Ukimwi. Ujumbe unaokumbusha jamii kuwa ugonjwa wa Ukimwi kuwa bado ni tatizo linalohitaji jitihada endelevu na elekezi hata katika wakati wa milipuko ya magonjwa mengine katika jamii. Siku ambayo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O0rRt4kCpsr9MkEeIKGku94o2Roahm4SHmcpwZKjf15j1Ali8eZLBr2qW4HMSdILRkIgOi9WA6fEemqRB0TUHSbbuMBQSFpy/TAMBWE.jpg?width=650)
Tambwe aapa kuiangamiza KCC leo