Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tambwe, Kiiza na siri ya ushindi leo

Mshale wa saa unazunguka, lakini ni dakika 90 pekee mbaya au nzuri kwa Simba au Yanga, zinapokutana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tambwe aanika siri ya mabao

Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe ametoa siri ya safu ya ushambuliaji ya timu hiyo kufanya vyema kwenye mechi mbalimbali za hivi karibuni.

 

9 years ago

Mwananchi

Siri ya ushindi: Mikoa tisa kuamua rais

Mikoa tisa ndiyo itakayoamua mshindi wa kinyang’anyiro cha urais, Mwananchi inaweza kukuthibitishia.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Maalim Seif atoboa siri za ushindi wake

Mgombea Urais kupitia Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amesema kuwa mara tu baada ya kura kuhesabiwa watayapata matokeo ya uchaguzi mkuu na kuyatangaza kabla hata tume ya uchaguzi kuyapata. Amesema wameandaa system ya […]

The post Maalim Seif atoboa siri za ushindi wake appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Habarileo

Ngeleja aeleza siri ya ushindi wake Sengerema

MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja aliyeibuka na ushindi wa kishindo katika kura za maoni dhidi ya wagombea wenzake akiwamo aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Lawrence Masha, amesema ushindi wake ni kielelezo kuwa ametekeleza vizuri Ilani ya Uchaguzi ya CCM kuanzia mwaka 2010.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jitihada elekezi siri ya ushindi vita dhidi ya Ukimwi

DESEMBA mosi, kila mwaka, watu wote duniani huadhimisha Siku ya Ukimwi Duniani. Siku hiyo ilianzishwa mwaka 1987 na hubeba maudhui mbalimbali kila mwaka. Maudhui ya mwaka huu ni ‘Elekeza, Jiunge...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Agape yaeleza siri ya ushindi kidato cha sita

SHULE ya Sekondari Agape Mbagala imekuwa ya kwanza jijini Dar es Salaam katika matokeo ya kidato cha sita yaliyotangazwa hivi karibuni na kusema nidhamu ya wanafunzi, ushirikiano na kujituma kwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Jitihada elekezi siri ya ushindi wa vita dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi katika kipindi cha mlipuko wa ebola

apollo-hospitals

Tarehe 1 Desemba kila mwaka watu wote duniani huazimisha Siku ya Ukimwi Duniani, siku ambayo ilianzishwa mnamo mwaka 1987 na ambayo hubeba maudhui mbali mbali ikiwa kwa mwaka huu ikibeba maudhui ya  Focus, Partner, Achieve: An AIDS-free Generation yaani Elekeza, Jiunge na Pata: Kizazi kisicho na Ukimwi. Ujumbe unaokumbusha jamii kuwa ugonjwa wa Ukimwi kuwa bado ni tatizo linalohitaji jitihada endelevu na elekezi hata katika wakati wa milipuko ya magonjwa mengine katika jamii. Siku ambayo...

 

11 years ago

GPL

Tambwe aapa kuiangamiza KCC leo

Mshambuliaji  wa kimataifa wa Simba, Gilbert Kaze ( katikati) na Amissi Tambwe (kulia). Na Lucy Mgina
MSHAMBULIAJI wa Simba, Amissi Tambwe, amesema atakaza na kuhakikisha anaipa kombe la kwanza timu yake watakapocheza na KCC ya Uganda, leo Jumatatu visiwani Zanzibar. Simba imetinga fainali ya michuano ya Kombe la Mapinduzi na leo itaumana na KCC ambao waliwatoa mabingwa watetezi, Azam FC. Akizungumza na… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani